Kuhamanika ni kuwa na wasiwasi mkubwa juu ya jambo au kitu fulani, kuhangaika, kuhaha, kupatwa na mshawasha kwa kuona jambo ambalo hukutarajia au likuvutialo sana moyoni, kuhaha kutokana na kuzingwa na kazi nyingi.
Neno lina mzizi wa kiarabu.
Maana hiyo ya juu imetolewa katika Kamusi Kuu ya Kiswahili. Baraza la Kiswahili la Taifa iliyochapwa na Longhorn chapa ya mwaka 2015. Ukurasa wa 280.
Unaweza kuhoji kwa kuuliza maswali yanayotafuta uthabiti wa kimantiki.
Kwa kujielimisha kwa njia ya uthabiti wa kimantiki nimepata kujua kwamba huyu Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote tuliyepewa kumuamini, hayupi, ana mikanganyiko ya kidhana ambayo inamfanya asiwezekane kuwepo.
Unaposema hatujui kesho yetu unamaanisha nini? Mbina watu wanapanga miadi ya kesho kama hawajui kesho? Mbina kuna utabiri wa hali ya hewa? Mbina watu wanatabiri kupatwa kwa jua kutakakotokea mamia ya miaka ijayo, siyo kesho tu?
Be specific in your questions please.