Sijakwepa swali hata moja.Mungu wako si mkamilifu? Kashindwa kuumba kiumbe kamilifu ambacho hakiugui wala kufa?
Kwa nini unakwepa maswali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakwepa swali hata moja.Mungu wako si mkamilifu? Kashindwa kuumba kiumbe kamilifu ambacho hakiugui wala kufa?
Kwa nini unakwepa maswali?
Jiwe nalo lina uhai pia siyo?
Mungu wako si mkamilifu? Kashindwa kuumba kiumbe kamilifu ambacho hakiugui wala kufa?
Kwa nini unakwepa maswali?
Nabishana na watu wanaosema upepo ni kiumbe chenye uhai!
Kwa nini kaweka utaratibu unaowatesa viumbe wake kwa magonjwa wakati ana uwezo wa kuweka utaratibu ambao hauwatesi viumbe wake katika ulimwengu ambao magonjwa hayawezekani kuwepo?Huo sio udhaifu bali ni utararibu aliouweka kwa viumbe vyake waweze kumjua aliyewaumba.
Unashikilia kabisa kusema upepo ni kiumbe chenye uhai?Hayo
Hayo ndio madhara ya falsafa.
Thibitisha Mungu wako yupo.Sijakwepa swali hata moja.
We unaona lina make sense hilo suala? Basi kumbe nyie mnachokitaka ni "U sisi na U wao" na si ukweli wa mambo.And why not, lakini kutakuwa na organized body
Mwepesi sana.Kaka huyu mdau anajichetua aisee,yaani hata kujua hoja zake zimejikita wapi nalo ni tatizo kwake,mtu kama huyu si wa kujadiliana.
Huyu anakariri sana fikra za watu,yaani ukimjengea hoja tu kidogo hata kama hoja ni nyepesi sana anajikanganya au anabadilisha mada sasa huu anaotufanyia ni utovu wa adabu na uhuni wa kitoto.
Nimeambiwa eti mizimu Ina ujanja wa kuniua, kwenda yenyewe imeshakufa, nguvu za kuniua inapata wapi?Bujibuji punguza jaziba
Safi Sana.Kaka aya hizo ziko wazi. Swali je umezielewa ?
Na wapi zinajipinga ?
Kwa nini kaweka utaratibu unaowatesa viumbe wake kwa magonjwa wakati ana uwezo wa kuweka utaratibu ambao hauwatesi viumbe wake katika ulimwengu ambao magonjwa hayawezekani kuwepo?
Kwa nini alete ugonjwa na dawa? Kwa nini asifanye kusiwe na ugonjwa kabisa?Ameleta kila ugonjwa na dawa yake. Bali kila dhara amelipa ufumbuzi wake.
Nabishana na watu wanaosema upepo ni kiumbe chenye uhai!
Upepo ni kiumbe chenye uhai, wanasema.
Wanabushana kwa dhati kabisa.
Upepo una uhai?Kaka mimi sibishani na wewe mimi nakupa hoja na kukuelewesha.
Kubisha ni kukataa ukweli ni tofauti na kupinga katika kupinga kuna kukosoa. Hii nimekupa faida huchelewi kusema "hujajibu swali" hata unapopewa faid ya ziada.
Unae bisha ni wewe unae kataa ukweli.
Nabishana na watu wanaosema jiwe ni kiumbe chenye uhai!Ndio jiwe nalo ni kiumbe na lina uhai.
Ila ni sawa, mungu mweupe, tatizo tukisema mweusi☺☺☺☺☺We unaona lina make sense hilo suala? Basi kumbe nyie mnachokitaka ni "U sisi na U wao" na si ukweli wa mambo.
Huna dini yako, hujui historia yako, umeukubali unyonge wakoHizo fikra za sijui dini ya watu fulani na Mungu wa watu fulani mnazo nyie,na ndiyo maana hapa mnaleta habari za myahudi.