Hivi hawa Hesboullah mbona Israel kama anawaogopa kuliko Iran?

Hivi hawa Hesboullah mbona Israel kama anawaogopa kuliko Iran?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Siku ninavyoenda naona kama wanazidi kupata nguvu.

Nimeona wamepost video ya drone iliyokusanya maeneo yote umya kimkakati ya Israel ikiwemo vyanzo vya maji.

Satellite immage ikionyesha mameli katika bandari ya haifa, ambayo hadi sasa live yako vilevile.

Nomeona wamepiga picha za kambi za kijeshi ambazo zina ndege zinazolindwa kwa airdefence.

Kuna wanajeshi 100K kutoka iran wako tayari kuingia lebanon kuwapa backup Hesbullah.

Sijaua uwezo wa hawa jamaa wa Hesbullah kama ni mikwara tu au ni vitu wanavyojitengenezea mitandaoni na photoshop ila kama wako siriasi Israel na washirika wake wanatakiwa kuwa makini na kuongeza namna ya kuwafuta kabisa hawa jamaa na wanaowapa backup maana miaka kama 10 ijayo hali haitakuwa njema.

Ni hayo tu.
 
Kwa kweli raia ndiyo wanaoteseka. Vita ikitokea tutaanza kusikia waliokufa mpaka sasa wamefika 40,000. Hiyo ni idadi kubwa sana ya watu. Hebu ona Gaza. Inasikitisha. Human life is so precious to lose in avoidable and reckless wars.
 
Kwa kweli raia ndiyo wanaoteseka. Vita ikitokea tutaanza kusikia waliokufa mpaka sasa wamefika 40,000. Hiyo ni idadi kubwa sana ya watu. Hebu ona Gaza. Inasikitisha. Human life is so precious to lose in avoidable and reckless wars.
Ni kweli kabisa. Naamini kuna raia wengi wanakufa kwa hofu za tetesi za vita kuliko hata vita vyenyewe.
 
Video imeishangaza dunia, kuna drones pia za Hezbollah zinapiga iron dome bila kugundulika na iron dome hazitoi alarm, inasemekana jeshi la IDF limeweka budget kubwa kuimarisha iron dome.

Hezbollah imekuwa hatari zaidi toka mara ya mwisho walipopambana na Israel 2006.
 
Video imeishangaza dunia, kuna drones pia za Hezbollah zinapiga iron dome bila kugundulika na iron dome hazitoi alarm, inasemekana jeshi la IDF kimeweka budget kubwa kuimarisha iron dome.

Hezbollah imekuwa hatari zaidi toka mara ya mwisho walipopambana na Israel 2006.
Naona wameanzisha kikosi maalum cha hizo drone, na Iran inafanya mass production. Karibu maeneo yote ya kaskazini mwa Israel ambayo ndio yanategemewa na nchi hiyo kuzalisha silaha yanapigwa kwa kushtukiza mara moja moja. IDF inatakiwa kufanya kitu mapema kabla haijatokea balance of power na kuwaweka raia wao kwenye hatari ya kushambuliwa bila kulindwa na mifumo wanayoitegemea, ukizingatia wamezungukwa na maadui.
 
Kiswahili fasaha ni kipi ana muogopa au anahofia madhara makubwa zaidi kwa kupigana na jirani aliyenaye pua na mdomo na mwenye silaha nzito kiasi.

Sina hakika kama Israel haimuhofii Iran maana Hezbollah kwa Iran sina hakika hata nusu yake anaingia.
 
Umeanza vizuri, umemalizia kishabiki
Ni kweli mkuu israel akiwa soft kwenye eneo lolote na kupelekea ulinganifu wa kinguvu na majirani hali itakuwa tete.

Israel miaka yote imekuwa imezungukwa na maadui. Tangu enzi za Biblia, na Yerusalem imeshatekwa na kuvamiwa zaidi ya mara 25. Wakiwa soft tu hali ya raia wao inakuwa tete. Ndio maana ni wajanja na wanaushawishi kwenye mqtaifa makubwa, vyombo vya habari, viongozi wa kidini na kisiasa. Wanapambana kisiasa kijeshi, kidini, kiuchumi na ikibidi kihuni kutetea uwepo wao. Trend ya hawa jamaa naona kama msimu huu inawatoa jasho
 
Siku ninavyoenda naona kama wanazidi kupata nguvu.

Nimeona wamepost video ya drone iliyokusanya maeneo yote umya kimkakati ya Israel ikiwemo vyanzo vya maji.

Satellite immage ikionyesha mameli katika bandari ya haifa, ambayo hadi sasa live yako vilevile.

Nomeona wamepiga picha za kambi za kijeshi ambazo zina ndege zinazolindwa kwa airdefence.

Kuna wanajeshi 100K kutoka iran wako tayari kuingia lebanon kuwapa backup Hesbullah.

Sijaua uwezo wa hawa jamaa wa Hesbullah kama ni mikwara tu au ni vitu wanavyojitengenezea mitandaoni na photoshop ila kama wako siriasi Israel na washirika wake wanatakiwa kuwa makini na kuongeza namna ya kuwafuta kabisa hawa jamaa na wanaowapa backup maana miaka kama 10 ijayo hali haitakuwa njema.

Ni hayo tu.
Nasrallah mipasho tu huyu si ndio makamanda wake wanauwawa kama mbwa
 
Kiswahili fasaha ni kipi ana muogopa au anahofia madhara makubwa zaidi kwa kupigana na jirani aliyenaye pua na mdomo na mwenye silaha nzito kiasi.

Sina hakika kama Israel haimuhofii Iran maana Hezbollah kwa Iran sina hakika hata nusu yake anaingia.
Angalau Iran iko mbali. Hata juzi washakaji zake Israel na vibaraka wake wa kiarabu walishirikiana kuzuia makombora kwa mbali.

Sasa hivi anaibuka mgamo mmoja tu wa Hesbullah anaATMG anashusha kifaru cha zaidi ya Trilioni moja anapotelea lebanon. Au rada ya Billionis za fedha inalipuliwa na Drone ndogo tu.
Kwa raia wao hii inaleta utisho mkubwa.
 
Back
Top Bottom