DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Unacomment kishabiki sana, badilikaNasrallah mipasho tu huyu si ndio makamanda wake wanauwawa kama mbwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unacomment kishabiki sana, badilikaNasrallah mipasho tu huyu si ndio makamanda wake wanauwawa kama mbwa
Wanapigwa makamanda, raia wa lebanon mamia wanashushwa lakini hawa jamaa hawapoi. Wanazidi kuchokoza tu. Au ndio mbinu za kuwapa morali wapiganaji wake wasivunjike moyo.Nasrallah mipasho tu huyu si ndio makamanda wake wanauwawa kama mbwa
Wakibanwa watu wanakuja kusema oooh mazuyuni wanaua watu ovyo, mazuyuni wabaya.
Huwezi futa hizbullah yaani washapigana proxy war syria pale wakashinda wakamsaidia Assad kuuteka mji wa Homs na kumbuka waasi silaha na ukocha wanaupata usa na israelkwa hio wanajuana vizuri sana na vuta nikuvute ya west vs russia mambo yanakuwa yanamfavor mhizbullah pale lebanon haya yetu macho na masikioSiku ninavyoenda naona kama wanazidi kupata nguvu.
Nimeona wamepost video ya drone iliyokusanya maeneo yote umya kimkakati ya Israel ikiwemo vyanzo vya maji.
Satellite immage ikionyesha mameli katika bandari ya haifa, ambayo hadi sasa live yako vilevile.
Nomeona wamepiga picha za kambi za kijeshi ambazo zina ndege zinazolindwa kwa airdefence.
Kuna wanajeshi 100K kutoka iran wako tayari kuingia lebanon kuwapa backup Hesbullah.
Sijaua uwezo wa hawa jamaa wa Hesbullah kama ni mikwara tu au ni vitu wanavyojitengenezea mitandaoni na photoshop ila kama wako siriasi Israel na washirika wake wanatakiwa kuwa makini na kuongeza namna ya kuwafuta kabisa hawa jamaa na wanaowapa backup maana miaka kama 10 ijayo hali haitakuwa njema.
Ni hayo tu.
Hizbullah na iran ni mtu na mwalimu wake na hapo hapo mwalimu ndio sponsor.Kiswahili fasaha ni kipi ana muogopa au anahofia madhara makubwa zaidi kwa kupigana na jirani aliyenaye pua na mdomo na mwenye silaha nzito kiasi.
Sina hakika kama Israel haimuhofii Iran maana Hezbollah kwa Iran sina hakika hata nusu yake anaingia.
Pia itakuwa ni marudio maana mara ya mwisho vita vya IDF na Hesbullah viliisha kwa kukaa mezani, Israel hakupenda ila ilibidifuta hizbullah yaani washapigana proxy war syria pale wakashinda wakamsaidia Assad kuuteka mji wa Homs na kumbuka waasi silaha na ukocha wanaupata usa na israelkwa hio wanajuana vizuri sana na vuta nikuvute ya west vs russia mambo yanakuwa yanamfavor mhizbullah pale lebanon haya yetu macho na masikio
Sio tu alikaa mezani alimtumia usa kupeleka resolution united nations ndio maana huyo huyo usa hamshauri muisrael kuzipiga na hizbullah kwa kuwa military strength yake hizbullah ni 10times ile ya mwaka 2006 na wapate uzoefu wa urban warfare syria na kuzawadiwa airdefence system kwa sasa hizbullah ndio non state actor powerfull military duniani na ni wasiri mno .kama 2006 conclusion ilikuwa israel defeated je 2024 haya tuone japo 2024 inatokea huku ma military strategist wawili wakiwa hawapo Qassim Suleiman na legend Imad mughniyeh aka "the ghost of beirut" yetu macho na kuangalia sinema la dunia wenye nguvu wakichapana.Pia itakuwa ni marudio maana mara ya mwisho vita vya IDF na Hesbullah viliisha kwa kukaa mezani, Israel hakupenda ila ilibidi
Hatari sana.Sio tu alikaa mezani alimtumia usa kupeleka resolution united nations ndio maana huyo huyo usa hamshauri muisrael kuzipiga na hizbullah kwa kuwa military strength yake hizbullah ni 10times ile ya mwaka 2006 na wapate uzoefu wa urban warfare syria na kuzawadiwa airdefence system kwa sasa hizbullah ndio non state actor powerfull military duniani na ni wasiri mno .kama 2006 conclusion ilikuwa israel defeated je 2024 haya tuone japo 2024 inatokea huku ma military strategist wawili wakiwa hawapo Qassim Suleiman na legend Imad mughniyeh aka "the ghost of beirut" yetu macho na kuangalia sinema la dunia wenye nguvu wakichapana.
Kiufupi tu jua tokea marekani awe superpower pale Lebanon ndio sehemu pekee inaongoza kwa kuua majasusi wa cia duniani pale ni moto wanatumia sana akili na kuusoma mchezo na pia ni wanamikakati hatari sana.ogopa sana mtu unamuuliwa makamanda wake high value lakini hakurupuki na kufanya mambo ya hovyo hovyo yaani bado anaifuata doctrine yake na principle zake ogopa maana kuna vitu amekuandalia akiviachia ni hatari, na pia siku zote adui asiyepaniki asiyekuwa frustrated huyo ni adui mbaya sana kuliko chochote kile kukutana nacho ktk uwanja wa mapambano.Hatari sana.
Pia wanaadvanced tunnels hadi zina AC, Km za kutosha chini ya ardhi tofauti na zile mitaro za Hamas ambazo nazo walishindwa kuwafukua mateka.
Wachambuzi wengine wanasema mashambulizi mengi ya anga ya Israel kule Lebanon yanaishia kuua wasiohusika, wahusika wanaishi chini ya ardhi muda mwingi, labda mara moja moja wakijichanganya na taarifa zao zikidukuliwa. Kikubwa hata wakipigana tusiombe vita iishie hapohapo. Pia wayahudi ukiona wanaingia vitani huwa wamesaidiwa kupima matokeo kabla ya vita kuanza. Ndio maana wanaabza kuomba hadi viwanja Cyprus
taifa la Mungu wa bibilia naona lina lilia kusaidiwa c bobilia zao zinasema Mungu ndio analilinda taifa teule 😄Umeona Netanyahu anamlilia bwanaake Biden ooh mnatunyima salama 😀
Unapenda kutiwa wewe unawaza mabwana tuUmeona Netanyahu anamlilia bwanaake Biden ooh mnatunyima salama 😀
Chomoa ujambishwe.Unapenda kutiwa wewe unawaza mabwana tu
Wale wa Israel wa kwenye Biblia walipitia suluba kubwa sana kuliko hawa. Wale walikuwa wakipewa kichapo na majirani haikuwa kama leo eti kuna wapambe US au UK kuja kusaidia. Ilikuwa ni wao kufutwa au wamlilia Mungu moja kwa moja. Hawa mambo mengi ni kisiasa sio kiroho. Ndio maana 70% ya hawa ni Atheists hawaamini Mungu yupo.taifa la Mungu wa bibilia naona lina lilia kusaidiwa c bobilia zao zinasema Mungu ndio analilinda taifa teule 😄
Bibilia imeanza kujilikana kama ni gazeti la wasanii tu
🙌🙌🙌Kwa raia wao hii inaleta utisho mkubwa.
Toka waanze uchokozi zaidi ya mgambo wao zaidi ya 350 washadidishwa ila hawakaomi... na wao wanataka kudedishwa zaidi ya 40,000,000 waridhike maana bado wanaona wanaiweza Israel... kibaya wanakasirika IDF ni wanatumia wanajeshi maki-makidi yaani ni macharii kinoma babakeeSiku ninavyoenda naona kama wanazidi kupata nguvu.
Nimeona wamepost video ya drone iliyokusanya maeneo yote umya kimkakati ya Israel ikiwemo vyanzo vya maji.
Satellite immage ikionyesha mameli katika bandari ya haifa, ambayo hadi sasa live yako vilevile.
Nomeona wamepiga picha za kambi za kijeshi ambazo zina ndege zinazolindwa kwa airdefence.
Kuna wanajeshi 100K kutoka iran wako tayari kuingia lebanon kuwapa backup Hesbullah.
Sijaua uwezo wa hawa jamaa wa Hesbullah kama ni mikwara tu au ni vitu wanavyojitengenezea mitandaoni na photoshop ila kama wako siriasi Israel na washirika wake wanatakiwa kuwa makini na kuongeza namna ya kuwafuta kabisa hawa jamaa na wanaowapa backup maana miaka kama 10 ijayo hali haitakuwa njema.
Ni hayo tu.
Wala israel haiwaogopi hezbollah wewe subiri lebanon itawaka motoSiku ninavyoenda naona kama wanazidi kupata nguvu.
Nimeona wamepost video ya drone iliyokusanya maeneo yote umya kimkakati ya Israel ikiwemo vyanzo vya maji.
Satellite immage ikionyesha mameli katika bandari ya haifa, ambayo hadi sasa live yako vilevile.
Nomeona wamepiga picha za kambi za kijeshi ambazo zina ndege zinazolindwa kwa airdefence.
Kuna wanajeshi 100K kutoka iran wako tayari kuingia lebanon kuwapa backup Hesbullah.
Sijaua uwezo wa hawa jamaa wa Hesbullah kama ni mikwara tu au ni vitu wanavyojitengenezea mitandaoni na photoshop ila kama wako siriasi Israel na washirika wake wanatakiwa kuwa makini na kuongeza namna ya kuwafuta kabisa hawa jamaa na wanaowapa backup maana miaka kama 10 ijayo hali haitakuwa njema.
Ni hayo tu.
Weh nae, mimi nilijua ni mtu wa Injili, kumbe ni shabiki maandazi tu!Nasrallah mipasho tu huyu si ndio makamanda wake wanauwawa kama mbwa