Hivi hawa Hesboullah mbona Israel kama anawaogopa kuliko Iran?

Hivi hawa Hesboullah mbona Israel kama anawaogopa kuliko Iran?

nan anapaswa kuwalinda hao watoto na wanawake ? je hamas wanawaachaj raia wao wanapigwa wao wanakuwa wap ? ebu jichunguze vzr unaeza kuwa na matatizo ya akili , idf wanaingia mpk Gaza hao hamas wanakuwa wap muda wote huo , mambo mengine hauhitaj kuelezewa , acha kuwa msukule

Palestina haina ndege wala jeshi, wana migambo, na ndio hao wanawasumbua watu wa taifa lenu teule, wangelikua na jeshi na silaha kubwa asingejaribu kuingiza guu lake jiji la Gaza au Rafah, pamoja na yote hayo na bado wamefeli, tena sana idf wanaendelea kuuawa, huku wakiendelea kuuwa civilians.

Pili, israel wanatumia anga kubomoa majumba, hospitali, sehemu za ibada, watoto, wamama, wazee wanakufa. Idf ndicho wanachoweza huku wakiendelea kuomba kusaidiwa na swahiba wake.
 
Nisisikie mnasema anauwa akina mama na watoto
Unadhani hamas hawa, israel vita ya hamas imexpose madhaifu yake , hawawezi vita kamili na hawana human resource maana hadi sasa jeshi limeonyesha wazi wazi kupingana na serikali, huku baadhi ya wanajeshi wakigoma kupigana, wengi kujiua na makamanda wakuu kujiuzulu
Huku netanyahu akilazimisha kupigana wakati irone dome ambayo imetengenezwa marekani waliyoitengeneza wamekiri haitaweza kuwasaidia dhidi ya silaha nzito za hezbollah, na marekani anaingia kwenye uchaguzi hataki kuinhia kwenye vita kipindi hiki ndio maana amesitisha kupeleka silaha ili kuzuia netanyahu asiingie kwenye vita
 
Jamaa wanaconsistency za hatari. Wakati wapiganaji wengi wa kiyahudi siku hizi wako soft sana sio kama wale wa miaka ya 70. Kwenye vita vya Hamas tu wengine wanalia hawataki kwenda vitani na wengine wanajiua.

Kimsingi dunia yq sasa haitaki ubabe. Amani ndio kila kitu.
Israeli ndo amepandikiza watu uoga kuwa ili aogopwe safari ameumbuka
 
Siku ninavyoenda naona kama wanazidi kupata nguvu.

Nimeona wamepost video ya drone iliyokusanya maeneo yote umya kimkakati ya Israel ikiwemo vyanzo vya maji.

Satellite immage ikionyesha mameli katika bandari ya haifa, ambayo hadi sasa live yako vilevile.

Nomeona wamepiga picha za kambi za kijeshi ambazo zina ndege zinazolindwa kwa airdefence.

Kuna wanajeshi 100K kutoka iran wako tayari kuingia lebanon kuwapa backup Hesbullah.

Sijaua uwezo wa hawa jamaa wa Hesbullah kama ni mikwara tu au ni vitu wanavyojitengenezea mitandaoni na photoshop ila kama wako siriasi Israel na washirika wake wanatakiwa kuwa makini na kuongeza namna ya kuwafuta kabisa hawa jamaa na wanaowapa backup maana miaka kama 10 ijayo hali haitakuwa njema.

Ni hayo tu.
Angalia Beirut itakavyokuwa 2025
Screenshot_20240626-122713_Chrome.jpg
 
Siku ninavyoenda naona kama wanazidi kupata nguvu.

Nimeona wamepost video ya drone iliyokusanya maeneo yote umya kimkakati ya Israel ikiwemo vyanzo vya maji.

Satellite immage ikionyesha mameli katika bandari ya haifa, ambayo hadi sasa live yako vilevile.

Nomeona wamepiga picha za kambi za kijeshi ambazo zina ndege zinazolindwa kwa airdefence.

Kuna wanajeshi 100K kutoka iran wako tayari kuingia lebanon kuwapa backup Hesbullah.

Sijaua uwezo wa hawa jamaa wa Hesbullah kama ni mikwara tu au ni vitu wanavyojitengenezea mitandaoni na photoshop ila kama wako siriasi Israel na washirika wake wanatakiwa kuwa makini na kuongeza namna ya kuwafuta kabisa hawa jamaa na wanaowapa backup maana miaka kama 10 ijayo hali haitakuwa njema.

Ni hayo tu.
Israeli anaiogopa hezbolla?..... Nitakukumbusha kitakachowafika
 
Back
Top Bottom