makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Naomba sharubatiJuice inaitwa Sharubati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba sharubatiJuice inaitwa Sharubati
Ha haa njoo uchukueNaomba sharubati
🏃♂️🏃♂️🏃♂️Ha haa njoo uchukue
Sijui drones wanaziitaje?
Friji inaitwa JokofuKiswahili lugha adhimu kabisa.
Mapendekezo yako ni kwamba kiswahili "kisingekuwepo kabisa", maana kila neno la kiingereza umependekeza kiswahili chake kiwe ni "kiingereza kiswahili". Nadhani sio sawia.
Umependekeza hivi:
1. Tablet ingeitwa tableti.
2. Fridge ingeitwa friji
Kwa mtazamo huo kiswahili kama lugha itakua vipi endapo itajibanza kwenye kiingereza kwenye kila kitu mkuu ?
Neno KISHKWAMBI ni neno mujarab kabisa lisilo na tashwishwi yoyote. Na hiyo ndio ladha halisi ya lugha ya kiswahili.
Karibu
Yaani Kwa teknolojia wanafeli Majina ya Kiswahili. Afya ndio Usiseme. Mambo ya kimedicine inaleta lugha za Ajabu Ajabu. SelimunduWawe wanashirikisha wadau bana.
Na hata kama hawashirikishi wengine watunge basi majina ama maneno mazuri. Sasa kama hili kishkwambi Yani unaltamka huku umekunja uso. Angalau wangeita tu tableti.
Mengine yanayokera jokofu wangeacha tu friji. Smart phone Eti simu janja. Eti password nywila unabaki kushangaa WTF?! Angalau wangeita tu paswedi.
Nahisi ni wakenya Hawa kwasababu juice eti kinywaji tamu unabaki kukasirika tu afadhali bongo tumekomaa na juisi. Shirikisheni wadau mnapotunga nakuita vitu kwa majina ya ajabu ajabu.
Sijui drones wanaziitaje?
Kwa Wapate ni tusi. Huwezi tamka Upareni hiyo Kishi kwambi.KISHKWAMBI ni neno tulikua tunatumia zamani zana 90s likimaanisha mtu mwenye kiherehere au anayeingilia mambo yasio muhusu
Drones wataita ‘ndege janja’Wawe wanashirikisha wadau bana.
Na hata kama hawashirikishi wengine watunge basi majina ama maneno mazuri. Sasa kama hili kishkwambi Yani unaltamka huku umekunja uso. Angalau wangeita tu tableti.
Mengine yanayokera jokofu wangeacha tu friji. Smart phone Eti simu janja. Eti password nywila unabaki kushangaa WTF?! Angalau wangeita tu paswedi.
Nahisi ni wakenya Hawa kwasababu juice eti kinywaji tamu unabaki kukasirika tu afadhali bongo tumekomaa na juisi. Shirikisheni wadau mnapotunga nakuita vitu kwa majina ya ajabu ajabu.
Sijui drones wanaziitaje?
Juice ni sharubati na sio kinywaji tamu😆Wawe wanashirikisha wadau bana.
Na hata kama hawashirikishi wengine watunge basi majina ama maneno mazuri. Sasa kama hili kishkwambi Yani unaltamka huku umekunja uso. Angalau wangeita tu tableti.
Mengine yanayokera jokofu wangeacha tu friji. Smart phone Eti simu janja. Eti password nywila unabaki kushangaa WTF?! Angalau wangeita tu paswedi.
Nahisi ni wakenya Hawa kwasababu juice eti kinywaji tamu unabaki kukasirika tu afadhali bongo tumekomaa na juisi. Shirikisheni wadau mnapotunga nakuita vitu kwa majina ya ajabu ajabu.
Sijui drones wanaziitaje?
drone ni ndege isiyo na rubani😆Drones wataita ‘ndege janja’
Kiswahili sio KipareK
Kwa Wapate ni tusi. Huwezi tamka Upareni hiyo Kishi kwambi.
Uajabu wa neno selimundu ni upi ?Yaani Kwa teknolojia wanafeli Majina ya Kiswahili. Afya ndio Usiseme. Mambo ya kimedicine inaleta lugha za Ajabu Ajabu. Selimundu
Mkuu haya maneno wanayatoa wapi maana wakati vitu vipya vinaundwa hayakuwepoKiswahili lugha adhimu kabisa.
Mapendekezo yako ni kwamba kiswahili "kisingekuwepo kabisa", maana kila neno la kiingereza umependekeza kiswahili chake kiwe ni "kiingereza kiswahili". Nadhani sio sawia.
Umependekeza hivi:
1. Tablet ingeitwa tableti.
2. Fridge ingeitwa friji
Kwa mtazamo huo kiswahili kama lugha itakua vipi endapo itajibanza kwenye kiingereza kwenye kila kitu mkuu ?
Neno KISHKWAMBI ni neno mujarab kabisa lisilo na tashwishwi yoyote. Na hiyo ndio ladha halisi ya lugha ya kiswahili.
Karibu
Kabisa mkuu, kinakera hatari. Kifupi mambo ya teknolojia yabaki kwa lugha anzilishi.Ni kama kiswahili cha kwenye simu , yani bora utumie kingereza