Hivi haya majina ya vitu vipya kwa Kiswahili nani huwa anatunga?

Hivi haya majina ya vitu vipya kwa Kiswahili nani huwa anatunga?

KISHKWAMBI ni neno tulikua tunatumia zamani zana 90s likimaanisha mtu mwenye kiherehere au anayeingilia mambo yasio muhusu
 
Kiswahili lugha adhimu kabisa.

Mapendekezo yako ni kwamba kiswahili "kisingekuwepo kabisa", maana kila neno la kiingereza umependekeza kiswahili chake kiwe ni "kiingereza kiswahili". Nadhani sio sawia.

Umependekeza hivi:
1. Tablet ingeitwa tableti.
2. Fridge ingeitwa friji

Kwa mtazamo huo kiswahili kama lugha itakua vipi endapo itajibanza kwenye kiingereza kwenye kila kitu mkuu ?

Neno KISHKWAMBI ni neno mujarab kabisa lisilo na tashwishwi yoyote. Na hiyo ndio ladha halisi ya lugha ya kiswahili.

Karibu
Friji inaitwa Jokofu
 
Wawe wanashirikisha wadau bana.

Na hata kama hawashirikishi wengine watunge basi majina ama maneno mazuri. Sasa kama hili kishkwambi Yani unaltamka huku umekunja uso. Angalau wangeita tu tableti.

Mengine yanayokera jokofu wangeacha tu friji. Smart phone Eti simu janja. Eti password nywila unabaki kushangaa WTF?! Angalau wangeita tu paswedi.

Nahisi ni wakenya Hawa kwasababu juice eti kinywaji tamu unabaki kukasirika tu afadhali bongo tumekomaa na juisi. Shirikisheni wadau mnapotunga nakuita vitu kwa majina ya ajabu ajabu.

Sijui drones wanaziitaje?
Yaani Kwa teknolojia wanafeli Majina ya Kiswahili. Afya ndio Usiseme. Mambo ya kimedicine inaleta lugha za Ajabu Ajabu. Selimundu
 
K
KISHKWAMBI ni neno tulikua tunatumia zamani zana 90s likimaanisha mtu mwenye kiherehere au anayeingilia mambo yasio muhusu
Kwa Wapate ni tusi. Huwezi tamka Upareni hiyo Kishi kwambi.
 
Wawe wanashirikisha wadau bana.

Na hata kama hawashirikishi wengine watunge basi majina ama maneno mazuri. Sasa kama hili kishkwambi Yani unaltamka huku umekunja uso. Angalau wangeita tu tableti.

Mengine yanayokera jokofu wangeacha tu friji. Smart phone Eti simu janja. Eti password nywila unabaki kushangaa WTF?! Angalau wangeita tu paswedi.

Nahisi ni wakenya Hawa kwasababu juice eti kinywaji tamu unabaki kukasirika tu afadhali bongo tumekomaa na juisi. Shirikisheni wadau mnapotunga nakuita vitu kwa majina ya ajabu ajabu.

Sijui drones wanaziitaje?
Drones wataita ‘ndege janja’
 
Picha ya kusindikizia uzi..
FMGe4n5XMAAJQNu.jpg
 
Wawe wanashirikisha wadau bana.

Na hata kama hawashirikishi wengine watunge basi majina ama maneno mazuri. Sasa kama hili kishkwambi Yani unaltamka huku umekunja uso. Angalau wangeita tu tableti.

Mengine yanayokera jokofu wangeacha tu friji. Smart phone Eti simu janja. Eti password nywila unabaki kushangaa WTF?! Angalau wangeita tu paswedi.

Nahisi ni wakenya Hawa kwasababu juice eti kinywaji tamu unabaki kukasirika tu afadhali bongo tumekomaa na juisi. Shirikisheni wadau mnapotunga nakuita vitu kwa majina ya ajabu ajabu.

Sijui drones wanaziitaje?
Juice ni sharubati na sio kinywaji tamu😆
 
Kiswahili lugha adhimu kabisa.

Mapendekezo yako ni kwamba kiswahili "kisingekuwepo kabisa", maana kila neno la kiingereza umependekeza kiswahili chake kiwe ni "kiingereza kiswahili". Nadhani sio sawia.

Umependekeza hivi:
1. Tablet ingeitwa tableti.
2. Fridge ingeitwa friji

Kwa mtazamo huo kiswahili kama lugha itakua vipi endapo itajibanza kwenye kiingereza kwenye kila kitu mkuu ?

Neno KISHKWAMBI ni neno mujarab kabisa lisilo na tashwishwi yoyote. Na hiyo ndio ladha halisi ya lugha ya kiswahili.

Karibu
Mkuu haya maneno wanayatoa wapi maana wakati vitu vipya vinaundwa hayakuwepo
 
Haya maneno ni magumu kama sio kiswahili vile halaf kutohoa maneno kutoka lugha nyingine sio dhambi eng kina maneno mengi tu ya kigiriki kikatin
 
Wako sahihi kabisa wanaeupaka kutohoa kila neno kutoka lugha za kigeni.
 
Back
Top Bottom