Ighombe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 1,181
- 675
Kwa hiyo ukimtukana MTU kyu ma...ma..y..o unasema Mbususumayo?eg: mbususu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ukimtukana MTU kyu ma...ma..y..o unasema Mbususumayo?eg: mbususu
Mimi nashauri badala ya kuwa na mabaraza ya Kiswahili kwa kila nchi mfano Tanzania (BAKITA) Tuwe na baraza LA kiswahili linalotumika kwa nchi zinazotumia Kiswahili .Ili Kiswahili kisitofautiane baina ya nchi moja na nyingine mfano Stima Hapo Kenya ni umeme.Mtanzania akienda Kenya akisikia Stima atashangaa hatajua maana.Wawe wanashirikisha wadau bana.
Na hata kama hawashirikishi wengine watunge basi majina ama maneno mazuri. Sasa kama hili kishkwambi Yani unaltamka huku umekunja uso. Angalau wangeita tu tableti.
Mengine yanayokera jokofu wangeacha tu friji. Smart phone Eti simu janja. Eti password nywila unabaki kushangaa WTF?! Angalau wangeita tu paswedi.
Nahisi ni wakenya Hawa kwasababu juice eti kinywaji tamu unabaki kukasirika tu afadhali bongo tumekomaa na juisi. Shirikisheni wadau mnapotunga nakuita vitu kwa majina ya ajabu ajabu.
Sijui drones wanaziitaje?
Baobonye KeyboardKichalazio
Zamani kabla ya baraza la kiswahili, wazee wetu walikuwa wanasikiliza wazungu wakisema cabbage wao wanasema kabichi.. wazungu wakisema week wao wiki.. ila hawa watu wa baraza kujua kwingi ukimuuliza decorder kwa kiswahili inaitwaje wanaenda ofisini kujitungia tu kisha wanarudi na kisimbusi!..Wawe wanashirikisha wadau bana.
Na hata kama hawashirikishi wengine watunge basi majina ama maneno mazuri. Sasa kama hili kishkwambi Yani unaltamka huku umekunja uso. Angalau wangeita tu tableti.
Mengine yanayokera jokofu wangeacha tu friji. Smart phone Eti simu janja. Eti password nywila unabaki kushangaa WTF?! Angalau wangeita tu paswedi.
Nahisi ni wakenya Hawa kwasababu juice eti kinywaji tamu unabaki kukasirika tu afadhali bongo tumekomaa na juisi. Shirikisheni wadau mnapotunga nakuita vitu kwa majina ya ajabu ajabu.
Sijui drones wanaziitaje?
Barabara.. asiyetaka aende akatabaruku akalale..Kiswahili lugha adhimu kabisa.
Mapendekezo yako ni kwamba kiswahili "kisingekuwepo kabisa", maana kila neno la kiingereza umependekeza kiswahili chake kiwe ni "kiingereza kiswahili". Nadhani sio sawia.
Umependekeza hivi:
1. Tablet ingeitwa tableti.
2. Fridge ingeitwa friji
Kwa mtazamo huo kiswahili kama lugha itakua vipi endapo itajibanza kwenye kiingereza kwenye kila kitu mkuu ?
Neno KISHKWAMBI ni neno mujarab kabisa lisilo na tashwishwi yoyote. Na hiyo ndio ladha halisi ya lugha ya kiswahili.
Karibu
Kuna mahali niliona eti iCU (intensive care unit) ni SADARUKI..!Wawe wanashirikisha wadau bana.
Na hata kama hawashirikishi wengine watunge basi majina ama maneno mazuri. Sasa kama hili kishkwambi Yani unaltamka huku umekunja uso. Angalau wangeita tu tableti.
Mengine yanayokera jokofu wangeacha tu friji. Smart phone Eti simu janja. Eti password nywila unabaki kushangaa WTF?! Angalau wangeita tu paswedi.
Nahisi ni wakenya Hawa kwasababu juice eti kinywaji tamu unabaki kukasirika tu afadhali bongo tumekomaa na juisi. Shirikisheni wadau mnapotunga nakuita vitu kwa majina ya ajabu ajabu.
Sijui drones wanaziitaje?
Hivi KING'AMUZI na KISIMBUSI ni vitu tofauti?Zamani kabla ya baraza la kiswahili, wazee wetu walikuwa wanasikiliza wazungu wakisema cabbage wao wanasema kabichi.. wazungu wakisema week wao wiki.. ila hawa watu wa baraza kujua kwingi ukimuuliza decorder kwa kiswahili inaitwaje wanaenda ofisini kujitungia tu kisha wanarudi na kisimbusi!..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Propera Shafti kuitwa kipopojoka, aiseee
Sharubati bilauri mbiliSawa [emoji120]
Aya chukua sharubati glass mbili ntakuja kulipia [emoji846]
Makini, makinikaNini tasfiri ya neno" serious" kwa kiswahili? Watz naomba mnijuze tafadhali