Hivi haya majina ya vitu vipya kwa Kiswahili nani huwa anatunga?

Hivi haya majina ya vitu vipya kwa Kiswahili nani huwa anatunga?

Yaani Kwa teknolojia wanafeli Majina ya Kiswahili. Afya ndio Usiseme. Mambo ya kimedicine inaleta lugha za Ajabu Ajabu. S
Haya maneno ni magumu kama sio kiswahili vile halaf kutohoa maneno kutoka lugha nyingine sio dhambi eng kina maneno mengi tu ya kigiriki kikatin
Sio magumu , kwa mtazamo wangu, Ila hatuja yazoea. Mbona, 'kifungashio' , 'barakoa' 'mubashara' yameshazoeleka.'!
Cha Msingi BAKITA waendane na ukuaji wa teknolojia, msamiati ukitoka
 
Kiswahili lugha adhimu kabisa.

Mapendekezo yako ni kwamba kiswahili "kisingekuwepo kabisa", maana kila neno la kiingereza umependekeza kiswahili chake kiwe ni "kiingereza kiswahili". Nadhani sio sawia.

Umependekeza hivi:
1. Tablet ingeitwa tableti.
2. Fridge ingeitwa friji

Kwa mtazamo huo kiswahili kama lugha itakua vipi endapo itajibanza kwenye kiingereza kwenye kila kitu mkuu ?

Neno KISHKWAMBI ni neno mujarab kabisa lisilo na tashwishwi yoyote. Na hiyo ndio ladha halisi ya lugha ya kiswahili.

Karibu
Mambo ya teknolojia yabaki kwenye lugha anzilishi, watu wanavumbua vitu sisi kazi yetu kuvibatiza majina tata, sidhan kama ni sawa
 
Wawe wanashirikisha wadau bana.

Na hata kama hawashirikishi wengine watunge basi majina ama maneno mazuri. Sasa kama hili kishkwambi Yani unaltamka huku umekunja uso. Angalau wangeita tu tableti.

Mengine yanayokera jokofu wangeacha tu friji. Smart phone Eti simu janja. Eti password nywila unabaki kushangaa WTF?! Angalau wangeita tu paswedi.

Nahisi ni wakenya Hawa kwasababu juice eti kinywaji tamu unabaki kukasirika tu afadhali bongo tumekomaa na juisi. Shirikisheni wadau mnapotunga nakuita vitu kwa majina ya ajabu ajabu.

Sijui drones wanaziitaje?
Sio Juisi ni Sharubati [emoji3][emoji3]
 
Neno lingine 'uke' huwa haikai ndo maana huwa halitumiki, sujawahi sikia mtu akitukanwa 'uke wewe'

Lakini nani? Hajawahi sikia mtu akitukanwa 'kkuma wewe'

Hata kiingereza sio kawaida kusikia mtu akitukanwa vagina lakini ni kawaida kusikia cu*t au pu**y
 
Wawe wanashirikisha wadau bana.

Na hata kama hawashirikishi wengine watunge basi majina ama maneno mazuri. Sasa kama hili kishkwambi Yani unaltamka huku umekunja uso. Angalau wangeita tu tableti.

Mengine yanayokera jokofu wangeacha tu friji. Smart phone Eti simu janja. Eti password nywila unabaki kushangaa WTF?! Angalau wangeita tu paswedi.

Nahisi ni wakenya Hawa kwasababu juice eti kinywaji tamu unabaki kukasirika tu afadhali bongo tumekomaa na juisi. Shirikisheni wadau mnapotunga nakuita vitu kwa majina ya ajabu ajabu.

Sijui drones wanaziitaje?
Mfulumbato = Clutch
 
Wawe wanashirikisha wadau bana.

Na hata kama hawashirikishi wengine watunge basi majina ama maneno mazuri. Sasa kama hili kishkwambi Yani unaltamka huku umekunja uso. Angalau wangeita tu tableti.

Mengine yanayokera jokofu wangeacha tu friji. Smart phone Eti simu janja. Eti password nywila unabaki kushangaa WTF?! Angalau wangeita tu paswedi.

Nahisi ni wakenya Hawa kwasababu juice eti kinywaji tamu unabaki kukasirika tu afadhali bongo tumekomaa na juisi. Shirikisheni wadau mnapotunga nakuita vitu kwa majina ya ajabu ajabu.

Sijui drones wanaziitaje?
Drone-ndege tiara
 
Neno lingine 'uke' huwa haikai ndo maana huwa halitumiki, sujawahi sikia mtu akitukanwa 'uke wewe'

Lakini nani? Hajawahi sikia mtu akitukanwa 'kkuma wewe'
Sasa uke si ni neno rasmi, ungesoma biologu katika shule za msingi za serikali, ungesikia hilo neno ila inaonekana umesoma english medium, darasani mwalimu hawezi kutumia neno k*ma, ama b*lo, darasani huko darasa la sita walimu hutumia maneno uke na uume
 
Haya maneno ni magumu kama sio kiswahili vile halaf kutohoa maneno kutoka lugha nyingine sio dhambi eng kina maneno mengi tu ya kigiriki kikatin
Kila lugha duniani ina maneno mepesi na maneno magumu (Kiswahili, Kilatini, Kigiriki, Kihadzabe, n.k).

Labda muwe na hoja nyingine, ila hii ya kutaka kiswahili kiwe na maneno yote mepesi mepesi (kwa kutohoa toka lugha zingine) mimi sioni kama lina mashiko.

Na ukipenda sana vitu laini laini, tepetepe au ndembendembe, utaanza kuamini hata neno "MFUNGWA" ni gumu mno, utapendekeza watu waliohukumiwa kutumikia adhabu gerezani waitwe "PRIZONA."

Sio sawa.

Kishkwambi daima, Kishkwambi milele.
 
Back
Top Bottom