FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Sasa si ndio ujanja wenyewe huodrone ni ndege isiyo na rubani😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si ndio ujanja wenyewe huodrone ni ndege isiyo na rubani😆
Sio magumu , kwa mtazamo wangu, Ila hatuja yazoea. Mbona, 'kifungashio' , 'barakoa' 'mubashara' yameshazoeleka.'!Yaani Kwa teknolojia wanafeli Majina ya Kiswahili. Afya ndio Usiseme. Mambo ya kimedicine inaleta lugha za Ajabu Ajabu. S
Haya maneno ni magumu kama sio kiswahili vile halaf kutohoa maneno kutoka lugha nyingine sio dhambi eng kina maneno mengi tu ya kigiriki kikatin
Mambo ya teknolojia yabaki kwenye lugha anzilishi, watu wanavumbua vitu sisi kazi yetu kuvibatiza majina tata, sidhan kama ni sawaKiswahili lugha adhimu kabisa.
Mapendekezo yako ni kwamba kiswahili "kisingekuwepo kabisa", maana kila neno la kiingereza umependekeza kiswahili chake kiwe ni "kiingereza kiswahili". Nadhani sio sawia.
Umependekeza hivi:
1. Tablet ingeitwa tableti.
2. Fridge ingeitwa friji
Kwa mtazamo huo kiswahili kama lugha itakua vipi endapo itajibanza kwenye kiingereza kwenye kila kitu mkuu ?
Neno KISHKWAMBI ni neno mujarab kabisa lisilo na tashwishwi yoyote. Na hiyo ndio ladha halisi ya lugha ya kiswahili.
Karibu
Sasa mkuu vitu vinatoka ugenini ila sisi tunataka kuvibatiza majina ya ajabu ajabu. Vitu vinavyotoka kwetu hata majina yake ni mazuri, mfano sisi tumevumbua kudanga au machawa, yaani hapo hakuna utata kabisaWako sahihi kabisa wanaeupaka kutohoa kila neno kutoka lugha za kigeni.
Sio Juisi ni Sharubati [emoji3][emoji3]Wawe wanashirikisha wadau bana.
Na hata kama hawashirikishi wengine watunge basi majina ama maneno mazuri. Sasa kama hili kishkwambi Yani unaltamka huku umekunja uso. Angalau wangeita tu tableti.
Mengine yanayokera jokofu wangeacha tu friji. Smart phone Eti simu janja. Eti password nywila unabaki kushangaa WTF?! Angalau wangeita tu paswedi.
Nahisi ni wakenya Hawa kwasababu juice eti kinywaji tamu unabaki kukasirika tu afadhali bongo tumekomaa na juisi. Shirikisheni wadau mnapotunga nakuita vitu kwa majina ya ajabu ajabu.
Sijui drones wanaziitaje?
Neno lingine 'uke' huwa haikai ndo maana huwa halitumiki, sujawahi sikia mtu akitukanwa 'uke wewe'
Lakini nani? Hajawahi sikia mtu akitukanwa 'kkuma wewe'
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chai ya rangi inaitwa strungi
Mfulumbato = ClutchWawe wanashirikisha wadau bana.
Na hata kama hawashirikishi wengine watunge basi majina ama maneno mazuri. Sasa kama hili kishkwambi Yani unaltamka huku umekunja uso. Angalau wangeita tu tableti.
Mengine yanayokera jokofu wangeacha tu friji. Smart phone Eti simu janja. Eti password nywila unabaki kushangaa WTF?! Angalau wangeita tu paswedi.
Nahisi ni wakenya Hawa kwasababu juice eti kinywaji tamu unabaki kukasirika tu afadhali bongo tumekomaa na juisi. Shirikisheni wadau mnapotunga nakuita vitu kwa majina ya ajabu ajabu.
Sijui drones wanaziitaje?
Uke ni tafsida tuNeno lingine 'uke' huwa haikai ndo maana huwa halitumiki, sujawahi sikia mtu akitukanwa 'uke wewe'
Lakini nani? Hajawahi sikia mtu akitukanwa 'kkuma wewe'
Kibao bonye [emoji3]Keyboard = Kibonyeza mbavu
juice kwa kiswahili ni sharubati.
Bakita ndio kama wamebinafisha kiswahili
nipatie vibanzi vya 1000 na mayai mawili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chips - vibanzi
waiite ndege john kabisaDrones wataita ‘ndege janja’
Drone-ndege tiaraWawe wanashirikisha wadau bana.
Na hata kama hawashirikishi wengine watunge basi majina ama maneno mazuri. Sasa kama hili kishkwambi Yani unaltamka huku umekunja uso. Angalau wangeita tu tableti.
Mengine yanayokera jokofu wangeacha tu friji. Smart phone Eti simu janja. Eti password nywila unabaki kushangaa WTF?! Angalau wangeita tu paswedi.
Nahisi ni wakenya Hawa kwasababu juice eti kinywaji tamu unabaki kukasirika tu afadhali bongo tumekomaa na juisi. Shirikisheni wadau mnapotunga nakuita vitu kwa majina ya ajabu ajabu.
Sijui drones wanaziitaje?
Sasa uke si ni neno rasmi, ungesoma biologu katika shule za msingi za serikali, ungesikia hilo neno ila inaonekana umesoma english medium, darasani mwalimu hawezi kutumia neno k*ma, ama b*lo, darasani huko darasa la sita walimu hutumia maneno uke na uumeNeno lingine 'uke' huwa haikai ndo maana huwa halitumiki, sujawahi sikia mtu akitukanwa 'uke wewe'
Lakini nani? Hajawahi sikia mtu akitukanwa 'kkuma wewe'
Kila lugha duniani ina maneno mepesi na maneno magumu (Kiswahili, Kilatini, Kigiriki, Kihadzabe, n.k).Haya maneno ni magumu kama sio kiswahili vile halaf kutohoa maneno kutoka lugha nyingine sio dhambi eng kina maneno mengi tu ya kigiriki kikatin