Hivi haya yanayofanyika siku hizi ni mapenzi kweli au biashara ya mapenzi?

Hivi haya yanayofanyika siku hizi ni mapenzi kweli au biashara ya mapenzi?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Maana bila pesa hapo katikati ni sawa na hasara kwenye biashara. mapenzi hayafanyiki kabisa..

Mtu moja ana hudumia au kuhumiwa na michepuko zaidi ya minne,
ukavu na msinyao wa via vya uzazi ni wa kupindukia..

Bila pesa wapenzi hawakutani, lakini pia bila fedha hakuna mawasiliano ni ukimya tu, bila pesa hakuna maelewano,
uaminifu unaanza kuchuja...
vurumai, vitimbi na malumbano hayaishi..

Zaidi sana hakuna uvumilivu, ustahimilivu wala subra kwenye pesa, ni kwa wachache sana hili linafanyika na ni nadra sana kubaini..

Kumbe basi, vijana,
ake kwa waume, ni muhimu sana kumake money vya kutosha ili kupata utulivu na kuenjoy mapenzi ya dhati na biashara ya mapenzi kwa pamoja, other wise utapata tabu sana aise 🐒
 
maana bila pesa hapo katikati ni sawa na hasara kwenye biashara. mapenzi hayafanyiki kabisa..

mtu moja ana hudumia au kuhumiwa na michepuko zaidi ya minne,
ukavu na msinyao wa via vya uzazi ni wa kupindukia..

bila pesa wapenzi hawakutani, lakini pia bila fedha hakuna mawasiliano ni ukimya tu, bila pesa hakuna maelewano,
uaminifu unaanza kuchuja...
vurumai, vitimbi na malumbano hayaishi..

zaidi sana hakuna uvumilivu, ustahimilivu wala subra kwenye pesa, ni kwa wachache sana hili linafanyika na ni nadra sana kubaini..

kumbe basi, vijana,
ake kwa waume, ni muhimu sana kumake money vya kutosha ili kupata utulivu na kuenjoy mapenzi ya dhati na biashara ya mapenzi kwa pamoja, other wise utapata tabu sana aise 🐒


Ebu kafanya mambo yako ya msingi ujiingizie kipato, mapenzi hutayajua wala hutaweza rekebisha au kuboresha au kushauri chochote, mapenzi uliyakuta dunia hii na utakufa utayaacha, achana na hayo mambo wewe fanya mengine, ikiwa wataigiza ni wao, ikiwa watakuwa real ni wao: Wewe si uwaache, kuna mtu kafungua kesi kuwa wako feki mapenzini?

Wewe tafuta fedha, mapenzi ni fedha, ufundi peleka VETA:
 
Ebu kafanya mambo yako ya msingi ujiingizie kipato, mapenzi hutayajua wala hutaweza rekebisha au kuboresha au kushauri chochote, mapenzi uliyakuta dunia hii na utakufa utayaacha, achana na hayo mambo wewe fanya mengine, ikiwa wataigiza ni wao, ikiwa watakufa real ni wao:

Wewe tafuta fedha, mapenzi ni fedha, ufundi peleka VETA:
yaani watu wanauana kila siku na kutoboana macho kwasabb ya mapenzi halafu tunyamazie jambo muhimu kama hilo kweli?

wewe kama una tatizo la kiafya katika eneo hilo na umekataa tamaa kwamba huwezi pona wala huwezi enjoy hiyo kitu na huwezi jadili hii mambo..,

si usonge mbele sasa kwa bidii na hiyo veta maana huku sio riziki sasa, ama nakosea ndrugu zango?🐒
 
Mapenzi ni hisia, inategemea hisia zako unawekeza wapi
hii ndio ile mko kwenye mapenzi,

mwenzi wako anakwambia maliza basi nimechoka, wewe ndio unanyonga pedali na kijasho kinakutoka mara hisia uzipeleke kigoma ili umalize lakini humalizi,

unajaribu kuzipeleka tanga lakini wap humalizi, mwenzio anasisitiza maliza bana, unarudisha hisia kwa wategeta sasa,
mpaka unamaliza umepeleka hisia kwa michepuko wako woto mikoa minne na mwenzi wako yuko hoi taabani dah 🐒
 
Bila pesa wapenzi hawakutani, lakini pia bila fedha hakuna mawasiliano ni ukimya tu, bila pesa hakuna maelewano,
uaminifu unaanza kuchuja...
vurumai, vitimbi na malumbano hayaish
Acha kutembea na sex workers braza utakufa.
 
Acha kutembea na sex workers braza utakufa.
kwa Neema na Baraka za Mungu nitakufa sawa sawa na mapenzi yake Mungu hiyo nakubali sikatai gentleman 🐒

ila haya mapenzi ya kimwili kama ni ya kweli au ni biashara ya mapenzi tu lazma nijadili vizuri sana kwasabubu kuna wako wanapona humu, lakini pia wanapata uelewa wa ufahamu kiasi juu ya masuala haya,

kwani kuna ubaya gani, eti gentleman ambae hutakufa?🐒
 
Nina mpango niende kanda ya ziwa hasa nimepanga iwe ngara vijijini kabisa huko na nikifika huko nataka niishi maisha yasiyo ya uhalisia wangu nataka nijifanye ni maskini sana labda naweza kupata mke atakaenipenda
 
changamoto kubwa ni kwamba huyo mwanamke anaekupenda wewe mwanaume humuelewi kabisa, aisee dah 🐒

hii business ni ngumu inahitaji umakini na kujizatiti kweli kweli..
Sasa ndo usilalamike pambana na changamoto za unayemtaka
 
Sasa ndo usilalamike pambana na changamoto za unayemtaka
hakuna kulalamika hapa,

ni kutafuta ukweli na namna bora ya kutambua haya mapenzi ni ya dhati au ni biashara ili hatimae mtu apate utulivu 🐒
 
Maana bila pesa hapo katikati ni sawa na hasara kwenye biashara. mapenzi hayafanyiki kabisa..

Mtu moja ana hudumia au kuhumiwa na michepuko zaidi ya minne,
ukavu na msinyao wa via vya uzazi ni wa kupindukia..

Bila pesa wapenzi hawakutani, lakini pia bila fedha hakuna mawasiliano ni ukimya tu, bila pesa hakuna maelewano,
uaminifu unaanza kuchuja...
vurumai, vitimbi na malumbano hayaishi..

Zaidi sana hakuna uvumilivu, ustahimilivu wala subra kwenye pesa, ni kwa wachache sana hili linafanyika na ni nadra sana kubaini..

Kumbe basi, vijana,
ake kwa waume, ni muhimu sana kumake money vya kutosha ili kupata utulivu na kuenjoy mapenzi ya dhati na biashara ya mapenzi kwa pamoja, other wise utapata tabu sana aise 🐒
Take note! Mwanamke kuwa na mchepuko zaidi ya wawili watatu ni asset kwake ila mwanaume kuwa na michepuko ni liability kwake
 
Ndio uje utafutie JF huo ukweli
Yes,
hapa ndio penyewe,
ndiko waliko jaa ma first brain class ya mambo haya,

JF ni dawa, shule na suluhisho la mambo mengi mno si tu mapenzi au ndoa lakini pia hata maisha ya kawaida,

kwani unataka kusema hakuna ulichojifunza humu JF tangu umejiunga?🐒
 
Back
Top Bottom