Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchagua K si mtom..jiK- inayonuka haivumiliki abadani
na MUDA huu Niko hapa lakini ogopa mnuko wa hiyo...njoo hapa kontena upande wapili hapa nipo nahesabu melihuenda una tatizo la kiafya,
hivi ukikatiza feri ile smell ikikupiga puanni hadi utosini unapaki gari unaiacha kukimbia harufu au?🐒
we ni wa dar ee,
mapenzi yanahitaji kuvumiliana sana...
Sasa bila pesa lodge na ndomu itakuwaje?!kweli bila ya pesa ni shido sana
Hii pia kwa sasa sio nzuri maan hata uko vijijini watu wameshavurugwa, kingne wanawake weng akili zao zinaendana hata awe msomi ktk mapenzi ujinga wao unakuwa the sameNina mpango niende kanda ya ziwa hasa nimepanga iwe ngara vijijini kabisa huko na nikifika huko nataka niishi maisha yasiyo ya uhalisia wangu nataka nijifanye ni maskini sana labda naweza kupata mke atakaenipenda
Naomba ibada ifanyike onlinehizi mambo ni nzintro sana ndrugu zango mpaka kwenye ulimwengu wa roho, maombi na maombezi 🐒
HahahaWewe tafuta fedha, mapenzi ni fedha, ufundi peleka VETA:
sasa hao vjana ake inabd uwatoe mana wenyewe ndo wanataka pesa na sasa usiwaweke hapoMaana bila pesa hapo katikati ni sawa na hasara kwenye biashara. mapenzi hayafanyiki kabisa..
Mtu moja ana hudumia au kuhumiwa na michepuko zaidi ya minne,
ukavu na msinyao wa via vya uzazi ni wa kupindukia..
Bila pesa wapenzi hawakutani, lakini pia bila fedha hakuna mawasiliano ni ukimya tu, bila pesa hakuna maelewano,
uaminifu unaanza kuchuja...
vurumai, vitimbi na malumbano hayaishi..
Zaidi sana hakuna uvumilivu, ustahimilivu wala subra kwenye pesa, ni kwa wachache sana hili linafanyika na ni nadra sana kubaini..
Kumbe basi, vijana,
ake kwa waume, ni muhimu sana kumake money vya kutosha ili kupata utulivu na kuenjoy mapenzi ya dhati na biashara ya mapenzi kwa pamoja, other wise utapata tabu sana aise 🐒
Hiyo kawaida mkuu, hakuna K ya bure hata kidogo.umefanya ile ya kutapeliwa eti sina nauli au vocha na jana umetuma laki, right?🐒