Hivi haya yanayofanyika siku hizi ni mapenzi kweli au biashara ya mapenzi?

Hivi haya yanayofanyika siku hizi ni mapenzi kweli au biashara ya mapenzi?

Yes,
hapa ndio penyewe,
ndiko waliko jaa ma first brain class ya mambo haya,

JF ni dawa, shule na suluhisho la mambo mengi mno si tu mapenzi au ndoa lakini pia hata maisha ya kawaida,

kwani unataka kusema hakuna ulichojifunza humu JF tangu umejiunga?🐒
Yaishe mkuu umeshinda
 
Maana bila pesa hapo katikati ni sawa na hasara kwenye biashara. mapenzi hayafanyiki kabisa..

Mtu moja ana hudumia au kuhumiwa na michepuko zaidi ya minne,
ukavu na msinyao wa via vya uzazi ni wa kupindukia..

Bila pesa wapenzi hawakutani, lakini pia bila fedha hakuna mawasiliano ni ukimya tu, bila pesa hakuna maelewano,
uaminifu unaanza kuchuja...
vurumai, vitimbi na malumbano hayaishi..

Zaidi sana hakuna uvumilivu, ustahimilivu wala subra kwenye pesa, ni kwa wachache sana hili linafanyika na ni nadra sana kubaini..

Kumbe basi, vijana,
ake kwa waume, ni muhimu sana kumake money vya kutosha ili kupata utulivu na kuenjoy mapenzi ya dhati na biashara ya mapenzi kwa pamoja, other wise utapata tabu sana aise 🐒
Pesa haikupi mapenzi ya dhati, wenye mapenzi ya dhati huvumilia hali zote na siku hizi hawapo. Ila pamoja na hayo yote, ngono imekuwa rahisi na kupoteza maana yake sababu ya fedha.
 
Mapenzi yalikuwapo kabla ya pesa kuja.

So mkorofi ni yule anayeipa pesa umuhimu kwenye mapenzi as if siku zote na miaka yote pesa ilikuwa na umuhimu.

Shida wanawake zetu wa kisasa wana "entitlement mindset" sana. Kwao ni muhimu sana kutaka jambo hata kama sio stahiki yao ndipo wakupe mahusiano.

Imagine mtu anataka uwe na gari, nyumba vyote viwe vya gharama, uwe na salio kubwa benki ili wakupe thamani ya kuwa mume katika maisha.

Ila ukiwaambia tuanze vitafuta hawakuelewi.
 
Maana bila pesa hapo katikati ni sawa na hasara kwenye biashara. mapenzi hayafanyiki kabisa..

Mtu moja ana hudumia au kuhumiwa na michepuko zaidi ya minne,
ukavu na msinyao wa via vya uzazi ni wa kupindukia..

Bila pesa wapenzi hawakutani, lakini pia bila fedha hakuna mawasiliano ni ukimya tu, bila pesa hakuna maelewano,
uaminifu unaanza kuchuja...
vurumai, vitimbi na malumbano hayaishi..

Zaidi sana hakuna uvumilivu, ustahimilivu wala subra kwenye pesa, ni kwa wachache sana hili linafanyika na ni nadra sana kubaini..

Kumbe basi, vijana,
ake kwa waume, ni muhimu sana kumake money vya kutosha ili kupata utulivu na kuenjoy mapenzi ya dhati na biashara ya mapenzi kwa pamoja, other wise utapata tabu sana aise 🐒
Mbn tabu yenyewe tushaiona na tunaikumbatia mzee tuachekwanza ndoa ni utapeli 😂 kataaa
 
Yes,
hapa ndio penyewe,
ndiko waliko jaa ma first brain class ya mambo haya,

JF ni dawa, shule na suluhisho la mambo mengi mno si tu mapenzi au ndoa lakini pia hata maisha ya kawaida,

kwani unataka kusema hakuna ulichojifunza humu JF tangu umejiunga?🐒
ni kweli kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom