Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi mkuukujipendekeza kulea anae lelewa, right?🐒
Kwani huwa mnapenda??Mwanaume ukiwa na mwanamke ambae hakupendi utateseka sana
Yaishe mkuu umeshindaYes,
hapa ndio penyewe,
ndiko waliko jaa ma first brain class ya mambo haya,
JF ni dawa, shule na suluhisho la mambo mengi mno si tu mapenzi au ndoa lakini pia hata maisha ya kawaida,
kwani unataka kusema hakuna ulichojifunza humu JF tangu umejiunga?🐒
Pesa haikupi mapenzi ya dhati, wenye mapenzi ya dhati huvumilia hali zote na siku hizi hawapo. Ila pamoja na hayo yote, ngono imekuwa rahisi na kupoteza maana yake sababu ya fedha.Maana bila pesa hapo katikati ni sawa na hasara kwenye biashara. mapenzi hayafanyiki kabisa..
Mtu moja ana hudumia au kuhumiwa na michepuko zaidi ya minne,
ukavu na msinyao wa via vya uzazi ni wa kupindukia..
Bila pesa wapenzi hawakutani, lakini pia bila fedha hakuna mawasiliano ni ukimya tu, bila pesa hakuna maelewano,
uaminifu unaanza kuchuja...
vurumai, vitimbi na malumbano hayaishi..
Zaidi sana hakuna uvumilivu, ustahimilivu wala subra kwenye pesa, ni kwa wachache sana hili linafanyika na ni nadra sana kubaini..
Kumbe basi, vijana,
ake kwa waume, ni muhimu sana kumake money vya kutosha ili kupata utulivu na kuenjoy mapenzi ya dhati na biashara ya mapenzi kwa pamoja, other wise utapata tabu sana aise 🐒
Kabisa mkuuNi jukumu la baba kumtunza binti yake ambaye hajaolewa
Usijipe umuhimu kwenye majukumu yasiyokuhusu
Mbn tabu yenyewe tushaiona na tunaikumbatia mzee tuachekwanza ndoa ni utapeli 😂 kataaaMaana bila pesa hapo katikati ni sawa na hasara kwenye biashara. mapenzi hayafanyiki kabisa..
Mtu moja ana hudumia au kuhumiwa na michepuko zaidi ya minne,
ukavu na msinyao wa via vya uzazi ni wa kupindukia..
Bila pesa wapenzi hawakutani, lakini pia bila fedha hakuna mawasiliano ni ukimya tu, bila pesa hakuna maelewano,
uaminifu unaanza kuchuja...
vurumai, vitimbi na malumbano hayaishi..
Zaidi sana hakuna uvumilivu, ustahimilivu wala subra kwenye pesa, ni kwa wachache sana hili linafanyika na ni nadra sana kubaini..
Kumbe basi, vijana,
ake kwa waume, ni muhimu sana kumake money vya kutosha ili kupata utulivu na kuenjoy mapenzi ya dhati na biashara ya mapenzi kwa pamoja, other wise utapata tabu sana aise 🐒
hata anaekupenda anahitaji umuhudumie kwa hiyo pesa ni lazima uwe nazo, wanasema pesa haziwezi kununua mapenzi ya dhati lakini pesa zinaweza kulinda mapenzi ya dhatiMwanaume ukiwa na mwanamke ambae hakupendi utateseka sana
ni kweli kabisa mkuuYes,
hapa ndio penyewe,
ndiko waliko jaa ma first brain class ya mambo haya,
JF ni dawa, shule na suluhisho la mambo mengi mno si tu mapenzi au ndoa lakini pia hata maisha ya kawaida,
kwani unataka kusema hakuna ulichojifunza humu JF tangu umejiunga?🐒