Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi sanaMwanaume ukiwa na mwanamke ambae hakupendi utateseka sana
Kwani si nimesikia hata kwa 5k unauziwa, sasa ulitaka upate chini ya hapo mkuu?kama ni hivyo,
basi bei ishushwe kidogo ili wengi waweze kuafaord maana inaonekana gharama inaongezwa kiholela ndio maana mahusiano mengi yana matatizo hivi sasa 🐒
Just simple, muulize baba yake ana vitu vyote hivyo anavyohitaji pamoja na umri wake kwenda?Mapenzi yalikuwapo kabla ya pesa kuja.
So mkorofi ni yule anayeipa pesa umuhimu kwenye mapenzi as if siku zote na miaka yote pesa ilikuwa na umuhimu.
Shida wanawake zetu wa kisasa wana "entitlement mindset" sana. Kwao ni muhimu sana kutaka jambo hata kama sio stahiki yao ndipo wakupe mahusiano.
Imagine mtu anataka uwe na gari, nyumba vyote viwe vya gharama, uwe na salio kubwa benki ili wakupe thamani ya kuwa mume katika maisha.
Ila ukiwaambia tuanze vitafuta hawakuelewi.
Ukweli mtupu mchungu,dah 🐒Mapenzi yalikuwapo kabla ya pesa kuja.
So mkorofi ni yule anayeipa pesa umuhimu kwenye mapenzi as if siku zote na miaka yote pesa ilikuwa na umuhimu.
Shida wanawake zetu wa kisasa wana "entitlement mindset" sana. Kwao ni muhimu sana kutaka jambo hata kama sio stahiki yao ndipo wakupe mahusiano.
Imagine mtu anataka uwe na gari, nyumba vyote viwe vya gharama, uwe na salio kubwa benki ili wakupe thamani ya kuwa mume katika maisha.
Ila ukiwaambia tuanze vitafuta hawakuelewi.
Sijawahi kufanya manunuzi ya moja kwa moja mkuu.wazoefu wa masoko kama hivi,
ndio sasa muwaelekeze wadau hayo machimbo yalipo ili nao wakajiuguze ndrugu zango 🐒
Dadeq 🤣unajua pepo la kataa ndoa ni bishi kichizi, nadhani kuna haja ya manabii kukutana na kujadiliana namna ya kulikabili 🐒
kabila langu lipi sasa Suni au Shia?🐒Mwanaume epuka wanawake hawa;
1. Mwanamke aliyefulia (a broke woman)
2. Single mother.
Ila wewe Tlahtlah hilo kabila lenu ukioa lazima mkeo atembelewe na mabinamu wengi sana wa kiume. Yaani kila mwanaume wa kabila lake ni binamu. Imekaaje hii?
Iraqwkabila langu lipi sasa Suni au Shia?🐒
K- inayonuka haivumiliki abadanihiyo ni kuvumilia tu 🐒