Kuna mambo angejikuta tu mfumo wa unambadili msimamo wake unless awe genius mno kupigana na mfumo na kuushinda.Sidhani.....hakushaurika yule..
Tena ukimshauri ndio umeharibu kabisaaaaaaaaaa....
Uchumi wetu ingepaaaa kwa aslimia 9 uchumi wa Kati haswa aaKipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.
Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.
Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.
Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.
Kwanza umeongea hoja dhaifu sna eti chumvi viwwanda vilifungwaaa HV shule mlikwenda kusomeaa ujinga nnKipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.
Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.
Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.
Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.
Aliyeelewa hii comment aweke tafsiri p'se.Uchumi na kuongeza mishahara wapi kwa kwapi .mimi pato langu kiiongezeka sio laazin niongeze nguo .ninawa kuongeza hata kiwanja , na siku nikikiuza utaweza ukFikir I
Mimi ni mchawi kumbi ni akali tu
(AKINA SABAYA UBAYA UBAYA WANGEKUWA WANAJIZOLEA TU WAKE ZA WATU NA KUWAJAZA MIMBA)Baada ya kusoma Comments nimegundua Watanzania wengi ni wajinga wa kutupa!
PuuziHuu Sasa ndo mfano halisi wa ufinyu wa mawazo.
Mungu wako ameguswa naona unavyo ngaka kama kenge aliye jeruhiwa.Mishahara ya nyoko?
Unaongezewa elfu 20 kisha gharama za maisha zinapanda kwa 200% kisha unakata viuno kushangilia?
Huo ni utahira
Yeyote aliefanya huu upuuzi alionyesha ufinyu wa akiili,Fukwe za bahari zingetapakaa miili ya watu kwenye sandarusiView attachment 2836031View attachment 2836032
Akuongeze mshahara kwa kazi gani?Wewe acha porojo zako uchumi wakati wapi? Mbona alishindwa hata kuongeza mishahara kwa watumishi? Mbona mifuko ya hifadhi za jamii iliunganishwa? Mbona alileta sheria za kikokotoo? Mbona Bank zilifungwa?
Aliiba uchaguzi kisha akaingiza wabunge 19 haramu bungeni ilikuwa shida
Sheria hazikufanya kazi bali mamuzi ya mtu mmoja
Naunga mkono hoja mkuu. Sisi watu weusi tuna unafiki wa damuni kabisa.Huyo JPM mnayemtukana humu kwani aliwapa Ujauzito alaf akaukataa au ? Huu uzi umejaa Wajinga tupu
Nauli zimepanda, vyakula bei zimepanda, Dola nchini imepungua, rushwa imeshamiri, watumishi wa hospitalini na Maofisini kazi yao saiv ni kusimanga watu wanaoenda kupata huduma,
Hayo yote kipindi cha JPM hayakuwepo maan utawala wake ulitukuka sana na kuogopwa, alikuwa na sifa za Kuwa kiongozi na itabaki hivyo ni ngumu kuifuta historia ya JPM mtahangaika sana ila Mtashindwa. Mtu katawala miaka 5 tu ila kaacha historia ya maendeleo bora ambayo awamu zote zilizopita hawajawahi kuiweka.
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !Kipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.
Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.
Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.
Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.
Kabsa mkuu, yani ni matusi kuilinganisha awamu ya JPM na awamu nyingne yoyote Tanzania hiiNaunga mkono hoja mkuu. Sisi watu weusi tuna unafiki wa damuni kabisa.
Hakosi mabaya yake lakini alifanya mazuri yanayoonekana na bado yapo.Kabsa mkuu, yani ni matusi kuilinganisha awamu ya JPM na awamu nyingne yoyote Tanzania hii
Kwenye utawala wake nilikuwa namuuliza Mungu mara Kwa mara "tutaishi hivi hadi lini?"Kipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.
Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.
Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.
Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.
angefufuka[emoji10][emoji10][emoji10]Kipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.
Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.
Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.
Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.
we juha tu.Hujui Bureau De Change zilikua zinafanya haram gani. Unaropoka tu.. hivyo viwanda vya chumvi kufungwa uliona chumvi ikipanda bei?…
Tungekuwa uchumi wa chini kabisa ila tungeambiwa tupo uchumi wa juu ndugu zangu(right track)Kipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.
Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.
Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.
Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.
Heri ya Magufuli mara 100,kuliko huu uchawa wenu wa kujikombakomba usio maana yoyote. Totally failureKipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.
Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.
Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.
Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.