Hivi Hayati Magufuli angekuwa hai hali ingekuwaje mpaka sasa

Hivi Hayati Magufuli angekuwa hai hali ingekuwaje mpaka sasa

we juha tu.
kwani hujui wawekezaji walikimbia?
makusanyo TRA yalishuka
Haya yaliyopanda yamesaidia nini? Barabara ya Kutoka Kahama kwenda kakola Kupitia Segese mgodi umetoa zaidi ya bilion 80 Ijengwe Serkali ya Samia Imeshikilia hela na kuzitumia!
Sema Kuropoka ni rahisi sana!
 
Hujui Bureau De Change zilikua zinafanya haram gani. Unaropoka tu.. hivyo viwanda vya chumvi kufungwa uliona chumvi ikipanda bei?…
Jitu jinga sana hili. Hivyo viwanda vina maana gani kwa watanzania zaidi ya kuwanyonya?

Wenye navyo hawalipi kodi badala yake wanalipwa kodi na serikali.

Wewe bado unatozwa hata kutuma na kutoa sh 10,000 tu.



Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Watawala wote wa CCM wana tabia zinazifanana. Huwa wanapenda kutanguliza maslahi ya chama chao kwanza, halafu yale ya Taifa yanawekwa mwishoni.
Nani alithubutu Nyerere hp? Ni mali ya ccm?

Tumia japo akili kisoda uliyonayo kutafakari.

Mlimwua kwa sababu alikata mirija yenu ya unyonyaji. Hizo bureau de change na viwanda mzigo kwa wananchi. Mnachukua mikopo halafu viwanda badala ya kuzalisha vinaagiza bidhaa nje na hakuna kulipa kodi lakini bidhaa bei juu.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.

Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.

Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.

Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.
Usingesikia dola haipatikani
Usingesikia kuna mgao wa umeme
Usingesikia ubadhirifu kwenye SGR
Usingesikia tunakopa bila kupitia bunge
Usingesikia makinikia yanasafirishwa tena
Usingesikia wizi kwenye halmashauri
Usingesikia JNHPP haijaisha mpaka leo
Usingesikia watu wanaandika upumbavu kama ulioleta hapo.
Waliokuwa wanafunga biashara walikuwa hawalipi kodi, hakukuwa na sheria mpya, ni kwamba Serikali ilikuwa inakazia tu.
 
Nilikonda sana kwa kweli. Nadhani hadi sasa ningekuwa na Kilo 3 tu[emoji1787]
Ulikuwa hupati kuiba hicho kitengo ulipo au pengine wewe ni wale walioghushi vyeti upate kuajiriwa wakati wenzio walitumikia shule na hawana ajira
 
Ulikuwa hupati kuiba hicho kitengo ulipo au pengine wewe ni wale walioghushi vyeti upate kuajiriwa wakati wenzio walitumikia shule na hawana ajira
Mkuu we jua tu kwamba nilikonda sana. Acha kukisiakisia mambo!
 
Wewe acha porojo zako uchumi wakati wapi? Mbona alishindwa hata kuongeza mishahara kwa watumishi? Mbona mifuko ya hifadhi za jamii iliunganishwa? Mbona alileta sheria za kikokotoo? Mbona Bank zilifungwa?
Aliiba uchaguzi kisha akaingiza wabunge 19 haramu bungeni ilikuwa shida
Sheria hazikufanya kazi bali mamuzi ya mtu mmoja
Mifuko ya Hifadhi iliunganishwa kwa sababu mtangulizi wake aliifilisi kwa kuikopa na kuingia kwenye miradi ya ujenzi isiyo na tija
 
Bagamoyo hakukua na kiwanda cha chimvi, huo ni uongo.

Sema biashara yako ilikua hovyo enzi za Magufuli, usitusemee wengine.

Usipende kuongelea waume za wenzio, acha watajiongelea wenyewe
Bagamoyo hakuna kiwanda cha chumvi?
 
Ila miradi ya nchi ingekuwa juu sana! Hili ndilo tunasahau! JPM alikuwa vizuri sana kwenye ujenzi!
 
Kuna mambo angejikuta tu mfumo wa unambadili msimamo wake unless awe genius mno kupigana na mfumo na kuushinda.

Mfano mabank kukosa deposit kutoka kwa wafanyabiashara sababu ya kushikilia fedha za wafanyabiashara na serikali kuondoa fedha zake kwenye mabank ya biashara huwezi ng'ang'ana na huo msimamo, otherwise utafeli vibaya na huwezi tengeneza wafanyabiashara wapya lazima urudi kwa wale wale ambao ni sehemu ya mfumo.
Ulitaka waziache halafu Serikali ikiuza dhamana au hati fungani zinatumika pesa zake yenyewe kununua kwa faida ya watu wachache. Hushangai awamu zote Serikali haikuwahi kulipwa gawio kutoka mashirika au kampuni inapomiliki hisa...mpaka alipoingia mwamba
 
we juha tu.
kwani hujui wawekezaji walikimbia?
makusanyo TRA yalishuka
Jakuna muwekezaji aliyekimbia. Waliokuwa wanapiga kelele ni waliozoea mteremko na misamaha ya kodi iliyotoka kwa upendeleo, JPM alifuta mambo hayo. Waliokuwa wanapiga kelele na kurudi kwao ni wageni ambao ajira zao zilikuwa zinaisha kwa kunyimwa vibali vya kazi ili nafasi zichukuliwe na Watanzania. Mtu ni foreman, mpishi, muongoza watalii, mhasibu, HR, unaambiwa eti ni mgeni. Mwenye kumiliki mradi hakuna uliyemsikia kalalamika
 
Tungekuwa bado tymunaambiwa "bakini na mavi yenu majumbani mwenu".
ukikosa hela ya kula wakati unakwena kutembea unahakikisha umekula kabisa nyumbani,ila ukikosa hela ya kulipia choo wakati unatoka nyumbani unaondoka hivyo hivyo ukitegemea kunya kwa hisani[emoji23][emoji23].

hakuna haki pasi na wajibu.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
ukikosa hela ya kula wakati unakwena kutembea unahakikisha umekula kabisa nyumbani,ila ukikosa hela ya kulipia choo wakati unatoka nyumbani unaondoka hivyo hivyo ukitegemea kunya kwa hisani[emoji23][emoji23].

hakuna haki pasi na wajibu.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Khaa,

Ndiyo kwa kusimangwa vile?
 
Back
Top Bottom