Hivi Hayati Magufuli angekuwa hai hali ingekuwaje mpaka sasa

Hivi Hayati Magufuli angekuwa hai hali ingekuwaje mpaka sasa

Kipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.

Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.

Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.

Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.
Hali ingekuwa ni mbaya mnoo...
 
Kipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.

Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.

Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.

Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.
Mungu fundi
 
Kipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.

Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.

Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.

Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.
Tungekuwa tunapigana vita za kikabila saa hii.
 
Kipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.

Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.

Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.

Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.
JPM kama binadamu mwingine yoyote yule, ana mazuri yake, lakini pia ana mabaya yake, japokuwa mabaya yake ni mengi zaidi kuliko mazuri yake.
 
Huyo JPM mnayemtukana humu kwani aliwapa Ujauzito alaf akaukataa au ? Huu uzi umejaa Wajinga tupu

Nauli zimepanda, vyakula bei zimepanda, Dola nchini imepungua, rushwa imeshamiri, watumishi wa hospitalini na Maofisini kazi yao saiv ni kusimanga watu wanaoenda kupata huduma,

Hayo yote kipindi cha JPM hayakuwepo maan utawala wake ulitukuka sana na kuogopwa, alikuwa na sifa za Kuwa kiongozi na itabaki hivyo ni ngumu kuifuta historia ya JPM mtahangaika sana ila Mtashindwa. Mtu katawala miaka 5 tu ila kaacha historia ya maendeleo bora ambayo awamu zote zilizopita hawajawahi kuiweka.
 
Wewe acha porojo zako uchumi wakati wapi? Mbona alishindwa hata kuongeza mishahara kwa watumishi? Mbona mifuko ya hifadhi za jamii iliunganishwa? Mbona alileta sheria za kikokotoo? Mbona Bank zilifungwa?
Aliiba uchaguzi kisha akaingiza wabunge 19 haramu bungeni ilikuwa shida
Sheria hazikufanya kazi bali mamuzi ya mtu mmoja
Mishahara ya nyoko?

Unaongezewa elfu 20 kisha gharama za maisha zinapanda kwa 200% kisha unakata viuno kushangilia?

Huo ni utahira
 
Huyo JPM mnayemtukana humu kwani aliwapa Ujauzito alaf akaukataa au ? Huu uzi umejaa Wajinga tupu

Nauli zimepanda, vyakula bei zimepanda, Dola nchini imepungua, rushwa imeshamiri, watumishi wa hospitalini na Maofisini kazi yao saiv ni kusimanga watu wanaoenda kupata huduma,

Hayo yote kipindi cha JPM hayakuwepo maan utawala wake ulitukuka sana na kuogopwa, alikuwa na sifa za Kuwa kiongozi na itabaki hivyo ni ngumu kuifuta historia ya JPM mtahangaika sana ila Mtashindwa. Mtu katawala miaka 5 tu ila kaacha historia ya maendeleo bora ambayo awamu zote zilizopita hawajawahi kuiweka.
Huu Sasa ndo mfano halisi wa ufinyu wa mawazo.
 
Kipindi kile kila kitu kilikuwa ovyo ovyo biashara kila siku zinafunga yakiwemo mahotel na viwanda kama hususani vya chumvi. Kule bagamoyo viwanda vya chumvi vyote vilikuwa vimebaki magofu tu.

Hali ya mabank au financial system ilikwa paralysed na mabank kibao yakafunga biashara mf bank ya efata nk.

Bureau de change zote biashara ikafa. Kila sehemu ilikuwa ni vilio tu.

Sasa angekuwa yupo hai mpaka Leo nchi ingekuwa inaomboleza daily kwa watu kufa ama kwa stress au kwa msongo wa mawazo mana biashara hakuna, ajira hakuna kila kituhakuna.
Fukwe za bahari zingetapakaa miili ya watu kwenye sandarusi
FB_IMG_1698722947521.jpg
1679652251550.jpg
 
Back
Top Bottom