Hapo sikatai,afu huongeza upendo ndaniKwani wewe kwenye mishe zako si unaingiza pesa mnunulie zawadi.
Halafu wanaume huwa tunajihisi fahari sana wapenzi wetu wakitupa zawadi. Tunajivunia na huwa tunawasifu mbele za wanaume wenzetu.
Kumbe unaongelea zawadi? Sasa nimekupata.. zawadi huwa tunatoa.sana tu...kama hujawahi kubahatika basi una mkosi.Kwani wewe kwenye mishe zako si unaingiza pesa mnunulie zawadi.
Halafu wanaume huwa tunajihisi fahari sana wapenzi wetu wakitupa zawadi. Tunajivunia na huwa tunawasifu mbele za wanaume wenzetu.
HahahaaNoo,demi ni binti mwema tu mkuu
Hapo sawa.Kumbe unaongelea zawadi? Sasa nimekupata.. zawadi huwa tunatoa.sana tu...kama hujawahi kubahatika basi una mkosi.
Ila nguo zako nenda dukani kajinunulie mwenyewe uvae upendeze. Unavyompendezesha mkeo na wewe pendeza.
Nunua nguo zako mwenyewe au kama unataka akununulie mpe hela akakununulie.
Unaweza ukampata anayejua mambo kama To yeye lakini ukamtenda balaa. Hamna shukrani nyie.Wewe unayajua mambo ila aliyemuoa Demi kazi anayo π€£π€£π€£
Weee!!?Mnavyosema tukiolewa tunajisahau unadhani nyie huwa hamjisahau?
Ni hali ya kawaida mkishazoeana haitakuwa kama mwanzo hata sisi tukienda kwa michepuko tunakuwa treated vizuri.
Sio kwamba huwa simnunulii zawadi. Hapa tulikuwa tunaongelea mavazi kwa ujumla..iweje uchakae halafu mke ndo alaumiwe?Hapo sawa.
Hata tukienda wote kununua inapendeza zaidi uniambie ipi nzuri inanipendeza.
Jitahidii ujue size za mume wako na mikato anayopenda siku msurprise mnunulie atakufarahia sana sio lazima mpaka akupe hela ukamnunulie tumia hela yako
Hamna bana ni wanaume wachache ndo hawana shukrani.Unaweza ukampata anayejua mambo kama To yeye lakini ukamtenda balaa. Hamna shukrani nyie.
Aliyenioa mimi ana raha sana halafu namuogopa kinoma huwezi amini kuna upuuzi siwezi kufanya au kumwambia...lakini kuna uboya siwezi fanya ili kumridhisha yeye, hapana kwa kweli..
Tupendane baas...ujinga mwingine staki kusikia. Usiponipenda sikai hapo hata kwa wiki mbili. I need peace.
Lini uliwahi kuwa na mke?Hamna bana ni wanaume wachache ndo hawana shukrani.
Sisi wanaume tunaweza kufanya ujinga wote huko lakini tukifika kwa wake zetu na familia zetu tunakuwa serious sana.
Mke atatunzwa vizuri na watoto hata kama nina mchepuko my family comes first
Inapendeza sana ila Kwa mume sio Hawa Cha wote ππHapo sawa.
Hata tukienda wote kununua inapendeza zaidi uniambie ipi nzuri inanipendeza.
Jitahidii ujue size za mume wako na mikato anayopenda siku msurprise mnunulie atakufarahia sana sio lazima mpaka akupe hela ukamnunulie tumia hela yako
How nice of youHivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.
Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.
Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.
Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.
Ndo hivo.
Mark Zuckerberg anamiliki Facebook na instagram lakini yeye aliamua awe ananunua na kuvaa t-shirt za aina moja kila siku ili asubuhi asipoteze muda mwingi kuchagua nguo ya kuvaa, kwhyo kila siku anaonekana hajabadilisha t-shirt had watu wamemkariri ila hajali ye anaangalia mambo yake muhimu.Nguo zile zile hadi ukiwa mbali tunajua tu, yule anayekuja ni fulaniπ sawa
Mbona hao cha wote hela zao mnakula? πInapendeza sana ila Kwa mume sio Hawa Cha wote ππ
Unajuaje je, kama tulishindwana nikaamua nijiunge kataa ndoa? πLini uliwahi kuwa na mke?
Unaongea nadharia tu hapa wewe baki na kataa ndoa yako. Huku kwingine hupawezi
Imekushinda huiwezi. Wanaoiweza wanadumu na hawalalamikiUnajuaje je, kama tulishindwana nikaamua nijiunge kataa ndoa? π
Nyinyi ndio wasaidizi wetuiweje uchakae halafu mke ndo alaumiwe?
Kujipenda kunaanzia kwako. Nunua nguo yeye atakusaidia kuzitunza na kukuandalia upendezeNyinyi ndio wasaidizi wetu
Wewe kama msaidizi mpaka huyu mwanaume achakae umechukua hatua gani
Ndio hvyo mama binadamu ni wazuri sana machoni ila moyoni ni zaidi ya shetani