Atlantic Star
JF-Expert Member
- Feb 22, 2023
- 539
- 1,696
.......mwanangu kama bibie kakupa fursa ya kunenepa we nenepa.......mwanamke akikupenda kweli mwanaume lazima utakuwa na muonekano wa kupendeza kiafya, kimwili hata kiakili utaona uko well settled......sisi wanaume ni dhaifu sana Kwa hawa akina mama, tupo tayari kujinyima Ili kuwafurahisha........so ili usiumie lazima upate bibie mwenye hekima na upendo wa kweli, kitu ambacho wengi wetu huwa tunaangukia pua na kuanza kufubaa na kunyauka ndani ya ndoa......Nakaribia kunenepa hapa, miaka 3 ndani ya ndoa[emoji3][emoji3]
Sikusemi, ila nakusihi msaidie either kumkumbusha au ikiwezekana mnunulie.Sawa Mkuu
......acha kabisa ni shida haswaa....Sio poa unaweza kupanda juu ya paa uhakiki na fundi bati zilizotumika kama ni sawa. Huku dogo anadaiwa ada. Wanaume tumeumbwa mateso aisee
Sawasawa mkuuSikusemi, ila nakusihi msaidie either kumkumbusha au ikiwezekana mnunulie.
Siyo kwamba ulichoandika ni uongo; ila nimewaza pengine umeexprience kwako au kwa jamaa wa karibu. That's why nime suggest hivyo, kwani wahenga wanasema "charity begins from home".
Saa nyingine mnanunuliwa nguo nyingi ili kujaribu kuwapunguzia tamaa za kuchepuka.
Ukwelu mtupu........mwanangu kama bibie kakupa fursa ya kunenepa we nenepa.......mwanamke akikupenda kweli mwanaume lazima utakuwa na muonekano wa kupendeza kiafya, kimwili hata kiakili utaona uko well settled......sisi wanaume ni dhaifu sana Kwa hawa akina mama, tupo tayari kujinyima Ili kuwafurahisha........so ili usiumie lazima upate bibie mwenye hekima na upendo wa kweli, kitu ambacho wengi wetu huwa tunaangukia pua na kuanza kufubaa na kunyauka ndani ya ndoa......
Shukran.Pole mkuu🤣🤣😜
Dah!.. hatari sana hawa viumbe...hapo jamaa kashatengenezwa kwa mganga..Kuna nguvu ipo inayofanya hayo yote yawezekane nadhani ni miongoni mwa limbwata. Huwa nasema nirogwe kwenye mengineyo ila sio mapenzi maana huwa unafanya kazi haraka na kwa ufanisi mkubwa mno. Kuna ndugu yangu ni mkorofi sana ila kwa mkewe hana kauli atapika, atafua, kazi zote yeye na kugombezwa juu. Mshahara karibia wote anaacha kwa mke, ndugu washamshauri wakachoka lile ni limbwata grade A kabisa.
Ndoa kuna mahala inabidi uachane nayo ili kuishi kwa amani.Kipindi kingine ambacho wanaume tunajinyima na tunajisahau ni wakati wa ujenzi wa mjengo
Lazima kuna namna sio bure, anaekuwekea sumu huwa hatoki mbali ni mtu unaemuamini sana.Dah!.. hatari sana hawa viumbe...hapo jamaa kashatengenezwa kwa mganga..
Hapo ndipo komredi dronedrake anapoonekana kuwa na mantiki🤣🤣Kabisa
🤣🤣Achana naye huyoHapo ndipo komredi dronedrake anapoonekana kuwa na mantiki🤣🤣
Hahahah🤣🤣Achana naye huyo
🤣🤣🤣KumbeHahahah
Lakini hamuweI kuamini nikiwaambia ninaamini kupitia JF nimempata yule wa ndoto zangu.
Hapo ndo linapokuja suala la udhaifu wetu wanaume. Ukishazoea kuchakata kihalali basi huwezi kuishi kisela sela ukafurahi, lazima ukwapue jiko mahala ukalimiliki kabisa😄
Asikwambie mtu.🙈🙈🙈🤣🤣🤣Kumbe