Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Ni kweli maana kuna wanaume wameleft group tayari ila sisi wale wanaume toleo la kwanza suala la kubadilisha nguo kila siku huo tunaona ni udada
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nipo kwa mama mkwe hapa nimevaa tshirt moja siku ya 3 naipulizia perfume tu kaniambia Kama una nguo chafu utoe dada afue
😂😂😂😂🙋
 
Nilisema tutaelewana tu.
Naona somo limeanza kuwaingia.
#KATAANDOA #KATAAUTUMWA
 
Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.

Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.

Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.

Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.

Ndo hivo.

dah!

waoaji hao wamefeli mahali...line zikiingiana watarudi kwenye ubora wao!
 
Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.

Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.

Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.

Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.

Ndo hivo.
mkiambiwa wanawake wengi wana roho mbaya mnakuja juu
 
mkiambiwa wanawake wengi wana roho mbaya mnakuja juu

Perspectives mkuu!

Ukiziona roho mbaya zao, wanakuwa hivyo - wabaya.

Ukiona wema wao, wanakuwa wema.

Wao pia wanaona wanaume kwa perspectives (mitazamo) hii. Imesemwa; uhondo wa ngoma ni vile uichezavyo
 
Maisha noma brother hamna kitu kibaya kama kuzaa mfurulizo af kipato hakiongezek kipo palepale...
 
Perspectives mkuu!

Ukiziona roho mbaya zao, wanakuwa hivyo - wabaya.

Ukiona wema wao, wanakuwa wema.

Wao pia wanaona wanaume kwa perspectives (mitazamo) hii. Imesemwa; uhondo wa ngoma ni vile uichezavyo
lakini kati ya wanaume na wanawake, wanawake ni wabinafsi sana.
 
Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.

Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.

Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.

Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.

Ndo hivo.
Mwanamke anaweza kweli kutaka kununua nguo kwa ajili ya mme/mpenzi wake lkn she will go for the lowest deal.

Asipokushonea kitenge basi atakubebea mitumba ya hamsini kitu, kadeti la buku 7 au lijinzi lipanaaa...

Kama ni kiatu, utaletewa Mokasino hiyo bonge la Kisigino....Halaf bado atataka umsifie eti kakuletea kiatu kizuri

Mimi huwa sitaki kabisa na alishajua
 
Mwanamke anaweza kweli kutaka kununua nguo kwa ajili ya mme/mpenzi wake lkn she will go for the lowest deal.

Asipokushonea kitenge basi atakubebea mitumba ya hamsini kitu, kadeti la buku 7 au lijinzi lipanaaa

Mimi huwa sitaki kabisa na alishajua
Ha ha ha,kumbe!
 
Dunia hii usipojipenda hakuna wa kukupenda, though kwangu ni tofauti. My love ananinunulia sana tu, nixe shirts, cadets..tena za viwango, hataki nionekane "mchimba migodi"!!

Ukioa mtu mbinafsi, hata ukimpa hela akafanye shopping, hata boksa yako tu hatanunua, wakati hela ya shopping umempa wewe.
🤣🤣🤣🤣Hataree
 
Back
Top Bottom