Hivi hii kauli ya "ndio hivyo sasa" ina maana gani ukijibiwa na mke wako

Mkuu..mfatillie huyo hawa viumbe hawa aminiki skuiz ..kusuka na mtoto kipi mhmu kwanza ana suka kumvutia nan..

Wesimume wake muwashie moto kweli kweli kama ana kuheshimu mwambie anyoe akikubali bhs anakuheshimu..

Kuna mwamba alimfungulia mke duka mteja kanunua kaondoka naye mazima..mpaka kesho
 
Mimi mke wangu alipojifungua mtoto wa kwanza alipotoka malezi ya kichanga aliniambia nimpeleke salon ninayonyoa nywele akaondoe nywele zake kwa sababu ya mtoto.

Kumuuliza akasema anataka muda wote awe msafi na anataka awe serious na malezi so mpaka leo miaka 12 na watoto watatu vichwani tunafanana style ya unyoaji,mleta mada ukimwambia mkeo nae akanyoe ndoa yako itakuwa mashakani cha kufanya mpangie ratiba ya weekend kwenda huko salon.
 
Mafwele kwa kujifanya mshauri 😂😂 ila kwako unakuwa mbogo.
Gentleman,
kwa ninavyo fahamu, mihemko wanayo nyumbu pekeyake huko musituni.

huku uraiaini sijui mnapataga wapi ghadhab na hasira za kutaka kuact kama manyumbu, dah..

ukiwa na elimu ya kutosha unakua very fast kuasses advantages and disadvantages za uamuzi wako, then hekima na busara zinakuelekeza pema zaidi 🐒
 
Red flag
 
Tafuta hausi gelo😂😂😂😂
 
Kuna wimbo moja unaimbwa hivi huyo ni. "Chaguo lako " Ata kama ni mvivu ni "🤣🎼🎼🎶Chaguo lako"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…