Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Kabla ya yote ninapenda michezo, ila hili lililotokea jana usiku ni si la dunia hii. Yaani waziri na katibu wake wametumia kabisa magari kutoka mbali, sijui Dodoma kuja mlimani city kufanya kitu kama hiki? Hapo watajaza na overtime kabisa walipwe.
Kweli nimeamini watanzania wengi wana tatizo la afya ya akili.
Kweli nimeamini watanzania wengi wana tatizo la afya ya akili.