Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Binafsi sijawahi kuivua, hata kama nitakuwa nimeenda kumsalimia Bibi yenu wa MombasaSasa babu mbona kama kuna saa unahitaji kuwa free tu hivi kiroho safi si unaweza pumzika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi sijawahi kuivua, hata kama nitakuwa nimeenda kumsalimia Bibi yenu wa MombasaSasa babu mbona kama kuna saa unahitaji kuwa free tu hivi kiroho safi si unaweza pumzika?
Hahaha............Mchepuko lazima ajue una familiaMwanaume anayevua pete akienda kwa mcheps huyo ni fala wakutupwa🤣🤣🤣🤣
Wanawake wenyewe hawa ata ukiwa na mke ndalama ikiwepo wanakupa tuu mbususu sasa unavua pete ili iweje?
Wee mcheps unamchana live mie nina mke na nina mpenda na sitamuwacha. Wee tuenjoy tuu hapa ukipata kidume wakukuoa wee olewa
Haha hahahaha 😂😂 yan kukaa na kitu inakubana kidole 24hrs duuuhMi mwenzio naona karibu nitayatimba mambo yenyewe ndio kwanzaaa mabichi😂
NdyDuuuh
Joan njoo bas.Duuuh
yule mchaga amekukubalia?Habari wadau Mimi naomba kufahamu kwa Dar ni wapi ninaweza kupata Pete nzuri za uchumba kwa bei nafuu. Angalau gram 2 za gold mix na tanzanite
Asante
Wewe sema ushamchoka shem unamtafutia sababu 😹Nimempata mume na ushangazi wangu ndio sielewi naona heeeee yaani hata toilet niko nazo?😇
For future usenipate ujuzi pia
Yes sirFor future use
Nje na uchawa kumbe huwa unakua na akili hivikuvua pete ya ndoa kwa mwanandoa ni sawa na kutikisa au kuhatarisha uimara wa agano la ndoa, na pengine inaweza kupelekea kuvunja ndoa kabisa.
Mungu amewaunganisha Kiroho, na kuwafanya mwili moja. Pete zilizobarikiwa ni alama ya kimwili ya agano lenu la ndoa. Ni muhimu kuheshimu hiyo sio tu kwasasabu ya thamani na gharama ya pete yenyewe bali pia maana ya pete kiroho.
Usivunje agano hilo kwa kuvua pete ya ndoa ikiwa hakuna sababu ya maana ya kufanya hivyo.
ni sawa na kutubu dhambi, halafu baadae ukasema ngoja nitende tena dhambi kidogo nitatubu.
Msalaba bila Yesu ndani yake ni mti tu. Ni muhimu kubeba msalaba kamili na Yesu akiwa ndani ya masala huo.
Ndoa takatifu ni msalaba Mtakatifu, ni muhimu sana kuubeba bila kuchoka wala manung'uniko bali kwa furaha, ustahimilivu, amani na upendo.
usivue pete ya ndoa tafadhali.
Bwana asifiwe sana mama Joannah
Habari ya mailisita kiongozi
Hahahaha. Alikuwa mtoto wa kipare Yule mkuu, kanizidi akili sina budi kuingia kingi Tu, sina ujanja ndugu yangu nimekamatika 😀yule mchaga amekukubalia?
hongera bro
SalamaHabari ya mailisita kiongozi
Ninavokutafuta jamaniPete ya Ndoa haitakiwi kuvuliwa Kwa mujibu wa mafundisho ya Ndoa.
Kwasababu wakati tunavalishana kuliambatana na Dua maalumu kuziombea.
Watu hufanya makosa Kuvua waendapo kukutana na michepuko yao.