Hivi hizi Pete za Ndoa, hazivuliwagi?

Hivi hizi Pete za Ndoa, hazivuliwagi?

Nje na uchawa kumbe huwa unakua na akili hivi
...
Gentleman,
huenda una pepo, siana cha kukufadhili,
ila nakuombea baraka na neema tele za Mungu katika kazi na majukumu yako ya kila siku

nakutakia maandalizi mema ya Christmas na mwaka mpya 2025 :pulpTRAVOLTA:
 
Tabora mke wa mtu umri miaka 50 mwenye pete amekutwa amekufa akiwa na mchepuko mjeshi mstaafu huko Tabora.

Yaani mtu mzima wa 50 yrs bado anaendekeza ufuska wakati una mme.
 
Ovaletedi tuuu, mbona zamani ndoa zilifungwa kukiwa hakuna haya maurembo yenu ya sikuihizi, si tunajifunza kutoka kwa vitabu vitakatifu?.
 
La mama siku ya kujifungua uchungu ukigoma huwa wanazivua. Kuna muda imani zinafurahisha na kushangaza sana
 
Ni imani tu za watu, kuvaa Pete 24/7 inachosha ila lwa sababu ni imani, na tunasoma imani ina uwezo wa kuhamisha milima basi tuwaache wavae pete.

Sisi wasabato hatuna huo utaratibu, ukivaa ni kwa matakwa yako..
 
Kub
Morning,

Natumai tuko salama wote wanajamvi. Nina kitu naomba kueleweshwa hivi, hizi pete za uchumba na ndoa ukishavalishwa ndio unatakiwa kuvaa kila siku? Yaani unalala nazo? Unaenda nazo kuoga? Unaenda nazo kupika, kufua, kuosha vyombo? Mpaka chooni?

Mfano mtu unajisikia wiki hii kupumzika, unaweza kujipumzisha kidogo? Au ndio zinapotea kwa njia ya kutatanisha kama wananzengo wanavyodai? Hebu wazoefu niambieni maana kuna jambo linanitatiza.

Have lovely weekend guys
Kuvaa Pete ya ndoa ni UPUMBAVU, ni sawa na askari avae nyota yake Kila anapoenda ,ama mwenye degree abebe cheti chake kial aendapo.........uaminifu upo moyoni na ni ishara ya dhati uioneshayo wewe binafsi
 
Kub

Kuvaa Pete ya ndoa ni UPUMBAVU, ni sawa na askari avae nyota yake Kila anapoenda ,ama mwenye degree abebe cheti chake kial aendapo.........uaminifu upo moyoni na ni ishara ya dhati uioneshayo wewe binafsi
Oòhhh imekaa vizuri
 
We si uko busy na kko endelea na busy wako🤣🤣🤣
Naomba irudiwe yani inipite mimi last born wa familia?? 😹😹

Kkoo kunanifanya nakosa matukio muhimu, vijora vinanipeleka mbio aloo.!! 🤣
 
Back
Top Bottom