Gentleman,Nje na uchawa kumbe huwa unakua na akili hivi
...
inatofauti gani na kuvaa suruali au boxerKuvaa pete ya ndoa ni utumwa tu kama utumwa mwingine. kwanza hakuna maandiko yoyote yanayotoa agizo la kuvaa pete
Bei nafuu shngapHabari wadau Mimi naomba kufahamu kwa Dar ni wapi ninaweza kupata Pete nzuri za uchumba kwa bei nafuu. Angalau gram 2 za gold mix na tanzanite
Asante
Asante sana...CCM oyeeGentleman,
huenda una pepo, siana cha kukufadhili,
ila nakuombea baraka na neema tele za Mungu katika kazi na majukumu yako ya kila siku
nakutakia maandalizi mema ya Christmas na mwaka mpya 2025
Hujaamua tu kunipatia Mjukuu, nipo zangu nimejaa tele huku shambani kwangu 🤗Ninavokutafuta jamani
300,000 , Pete ya uchumbaBei nafuu shngap
Kuvaa Pete ya ndoa ni UPUMBAVU, ni sawa na askari avae nyota yake Kila anapoenda ,ama mwenye degree abebe cheti chake kial aendapo.........uaminifu upo moyoni na ni ishara ya dhati uioneshayo wewe binafsiMorning,
Natumai tuko salama wote wanajamvi. Nina kitu naomba kueleweshwa hivi, hizi pete za uchumba na ndoa ukishavalishwa ndio unatakiwa kuvaa kila siku? Yaani unalala nazo? Unaenda nazo kuoga? Unaenda nazo kupika, kufua, kuosha vyombo? Mpaka chooni?
Mfano mtu unajisikia wiki hii kupumzika, unaweza kujipumzisha kidogo? Au ndio zinapotea kwa njia ya kutatanisha kama wananzengo wanavyodai? Hebu wazoefu niambieni maana kuna jambo linanitatiza.
Have lovely weekend guys
Mie mzima kabisa babu yanguHujaamua tu kunipatia Mjukuu, nipo zangu nimejaa tele huku shambani kwangu 🤗
Hujambo lakini??
Kwani dada harusi ilikuwa lini? 😹Bwana kupumzika imo,yaani kila saa kidole kinahitaji mapumziko😅
Naomba irudiwe yani inipite mimi last born wa familia?? 😹😹We si uko busy na kko endelea na busy wako🤣🤣🤣
Hahaha...........hebu niachie ujumbe Kwa yule Kijana wangu anayefanya Kazi Ofisi ya Waziri MkuuMie mzima kabisa babu yangu
Toa basi hicho kitasa ulichoweka😅