Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Mimi ni shabiki wa Yanga (kiasi) ila kitendo cha huyu msemaji wa Yanga kutaka Jumatano kazi ndani ya ofisi za umma kuishia saa sita mchana siku ya Jumatano kwakuwa Yanga inacheza HAPANA.
Hata ingekuwa ni final bado hatupaswi kusitisha shughuli za umma kwa vitu vyenye tija kwa wachache huku maelfu na maelfu ya Watanzania wakikosa huduma muhimu kwenye ofisi za umma. Yeye anastawi kwa kuhamasisha mashabiki, na awapo uwanjani na maelfu ya washangiliaji hapo yupo kazini huku account ikipanda graph.
Rais Samia kataa hili ombi batili.
Hata ingekuwa ni final bado hatupaswi kusitisha shughuli za umma kwa vitu vyenye tija kwa wachache huku maelfu na maelfu ya Watanzania wakikosa huduma muhimu kwenye ofisi za umma. Yeye anastawi kwa kuhamasisha mashabiki, na awapo uwanjani na maelfu ya washangiliaji hapo yupo kazini huku account ikipanda graph.
Rais Samia kataa hili ombi batili.