Hivi ilikuaje hadi urafiki wa baba na jirani yake tolu kuvunjika?

Baba Lofa na Tolu Mjanja ulitarajia nini?
sasa toka lini mjanja akamnunia lofa,mbona unakuwa popoma wewe!!!!

baada ya mwamba kulala,bado kamejinunisha mpaka miezi kadhaa kupita,kama kalimuwin kasingekunja kwa bei hiyo.
 
[emoji38][emoji38], tukiishiwa chumvi tuu tumekwisha
 
Bado sielewi kwamba hapa kijijini kulikosekana washauri au wataalamu mpaka mshua akaamua kwenda kutafuta kijiji cha jirani? How come
 
Tolu siyo mtu wa kuaminika na watu wake.
Tolu alishakuwa mshkaji wa yule mzee wa karibu na Kagera na baadae akamgeuka na kumtumia majambazi.

Hakuishia hapo akahamishwa urafiki wa Jirani wa Namanga nae akapigwa dili kisawasawa Tolu alipofanikisha yake akamgeuka alimuahidi kumpa dili ya kususha mizigo kwenye bandari .

Tolu akahamia kwa yule kijana mwenye kabila, baadae akamgeuka mpaka pale kijana mwenye kabila alipoomba usaidizi kutoka kwa mzee wa ghorofa ya nne ndipo sasa ugomvi ukahamia kati ya Tolu na mzee wa ghorofa ya nne.

Mzee wa ghorofa ya nne alimkomesha maana alimpelekea kijana akakae awe balozi wa nyumba kumi yule kijana kumbe ni shushushu mbobezi na Tolu anamfahamu vizuri sana, akamkataa.

Mzee wa ghorofa ya nne akamwambia kama hamtaki basi wasitafutane kila mtu adeal na mtaa wake, ikabidi Tolu akubali.

Sasa alipotokea popoma Tolu akamhadaa kumuuzia wale njiwa hapo ndipo walipogombana.

Kimsingi Tolu can't be trusted.
 
Daaah! Kuongoza wanyama? Ok viumbe hai wamegawanyika makundi mawili wanyama na mimea kwahiyo poa tu
 
Tolu anajidai mjuaji sana
 
Tolu anajidai mjuaji sana
Tolu ni mhuni kweli ukijichanganya anakumaliza, kawazingua mpaka wazungu wakaishia kumsifia tu kwamba mtaa wake msafi sana na hakuna rushwa wakati jamaa ni mafia hatari hataki mtu aongelee mtaa wake.

Ukipata muda pitia kitabu cha Michela Wrong kinaitwa Do not Disturb.
 
Baba hakupenda story za UVIKO aliona zinatuchelewesha! Tolu yeye alikuwa makini na UVIKO hivyo walitofautiana itikadi maana bwana Tolu yeye alikuwa pamoja na mabeberu katika kuhakikisha anatiwa chanjo
 
Mi nachokumbuka tolu aliwahi kumchimba mkwara dingi mkubwa " If u play with my ass, i will find the right place and kick your ass" sasa kuhusu marehemu dingi hapo ndo sijajua.
 
Mi nachokumbuka tolu aliwahi kumchimba mkwara dingi mkubwa " If u play with my ass, i will find the right place and kick your ass" sasa kuhusu marehemu dingi hapo ndo sijajua.
Tolu alimwingiza mkenge kwenye ununuzi wa njiwa. Akawajengea na kiota nyumbani kule lakini njiwa wenyewe wamekosa afya ya kuruka. Muda wote wako ardhini kama kuku...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…