Hivi ilikuaje Kangi Lugola akawa waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi?

Hivi ilikuaje Kangi Lugola akawa waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi?

Kama sikosei Mh. Nyang'anyi alikuwa mteuliwa wa JKN kihistoria naye akiwa head boy Minaki alikokuwa akifundisha mwalimu Nyerere.

Mwalimu Nyerere hakuwahi kufundisha Shule ya MINAKI na Mustapha Nyang'anyi hakuwahi kusoma shule ile iliyotukuka!

Hapo umechapia , Mwalimu alifundisha shule ya PUGU pale Mwakanga!!

Mustapha hata hakusoma PUGU alisomea huka mkoani Dodoma!!
 
Mwalimu Nyerere hakuwahi kufundisha Shule ya MINAKI na Mustapha Nyang'anyi hakuwahi kusoma shule ile iliyotukuka!!! Hapo umechapia , Mwalimu alifundisha shule ya PUGU pale Mwakanga!! Mustapha hata hakusoma PUGU alisomea huka mkoani Dodoma!!

Ukishindwa kuliona neno "sikosei" utakuwa umeshindwa kujitendea haki. Kuna hata haja ya kuendelea na maelezo?

Tambua:

Kama JPM, JKN aliondoka na head boy Pwani - Pugu.

Hadi hapo unalo jingine?
 
Hayati Magufuli enzi za uhai wake alipata kumteua Kangi Lugola Ninja luwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.

Jana nikawa mtandaoni YouTube nikasachi jina la Kangi Lugola, video zilizokuja nyingi ni kukata viuno au kuongea ujinga huku alitambulika kama Waziri.

Je, vigezo gani hayati alivitumia kumpa Uwaziri poti Kangi Lugola Ninja? Maana ni miongoni mwa watu wa hovyo kuwahi kushika madaraka hayo
Alivutiwa na raba zake yani raba na suti
 
Ukishindwa kuliona neno "sikosei" utakuwa umeshindwa kujitendea haki. Kuna hata haja ya kuendelea na maelezo?

Tambua:

Kama JPM, JKN aliondoka na head boy Pwani - Pugu.

Hadi hapo unalo jingine?
Ndio, Mustapha Nyang'anyi hakuwahi kuwa mwanafunzi wa Mwalimu na hakuwahi kusoma PUGU!!

Kama aliwahi kuwa head boy ni huko shule za mkoa wa Dodoma!
 
Ndio, Mustapha Nyang'anyi hakuwahi kuwa mwanafunzi wa Mwalimu na hakuwahi kusoma PUGU!! Kama aliwahi kuwa head boy ni huko shule za mkoa wa Dodoma!

Wala haikuwa nia kujikita kwenye correctness za majina.

Ila:

1. JKN alipotoka Pugu head boy aliula.
2. JPM kutoka Mwanza (sengerema) head boy aliula.

IMG_20220309_071156_323.jpg


Zingatia ukiona "kama sikosei" kutokea hapo majina yenu yatuhusu nini sisi wengine tulio komaa na bongo zetu to stay?

Hiiiiii bagosha!
 
Alikuwa swahiba wa jiwe.

Lugora alikuwa head boy kwenye shule jiwe akiwa mwalimu.

Kama sikosei Mh. Nyang'anyi alikuwa mteuliwa wa JKN kihistoria naye akiwa head boy Minaki alikokuwa akifundisha mwalimu Nyerere.

Hiyo ndiyo Tanzania yetu kusikotakiwa katiba mpya.
Nyerere hakuwahi kufundisha Minaki, alifundisha St Francis ambayo sasa ni Pugu sekondari. Usilishe watu matango pori hapa.
 
Mwalimu Nyerere nae katika Utawala wake aliwateua wanafunzi wake wa zamani kule PUGU kwenye Cabinet yake ndio hao wakina :- Pius Msekwa, Nicolas Kuhanga, Benjamin Mkapa.

Kikwete hakuwahi kuwa Mwalimu bali kwenye serikali yake aliteua wengi aliosoma nao ndio hao wakina ; Mathias Chikawe, Lila Mkila, Mwanaidi Majjar, Ami Mpungwe, Abdallah Kigoda etc
 
Nyerere hakuwahi kufundisha Minaki, alifundisha St Francis ambayo sasa ni Pugu sekondari. Usilishe watu matango pori hapa.

Ilikuwa slip of a tongue. Nisiache kutambua kuwa ulimi wako huwa una mfupa.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Wala haikuwa nia kujikita kwenye correctness za majina.

Ila:

1. JKN alipotoka Pugu head boy aliula.
2. JPM kutoka Mwanza (sengerema) head boy aliula.

View attachment 2146012

Zingatia ukiona "kama sikosei" kutokea hapo majina yenu yatuhusu nini sisi wengine tulio komaa na bongo zetu to stay?

Hiiiiii bagosha!

Mara nyingi watu wanaojinasibu kuwa wana akili huwa wanakuwa makini pia!! Ama sivyo watakuwa wanajilisha wenyewe matango pori!!! Na hiyo haikuwa slip of the tongue bali slip of the pen!
 
Mara nyingi watu wanaojinasibu kuwa wana akili huwa wanakuwa makini pia!! Ama sivyo watakuwa wanajilisha wenyewe matango pori!!!

Sijawahi kujinasibu kuwa na akili bali mwangalifu sana. Kama "sikosei" seals it!
 
Hayati Magufuli enzi za uhai wake alipata kumteua Kangi Lugola Ninja luwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.

Jana nikawa mtandaoni YouTube nikasachi jina la Kangi Lugola, video zilizokuja nyingi ni kukata viuno au kuongea ujinga huku alitambulika kama Waziri.

Je, vigezo gani hayati alivitumia kumpa Uwaziri poti Kangi Lugola Ninja? Maana ni miongoni mwa watu wa hovyo kuwahi kushika madaraka hayo
Kabla ya kuwa waziri alikuwa ni mchangiaji mzr sana wa wizara hiyo. Lakini pia nae ni X polisi. Hivyo alitegemewa kuifahamu wizari na kwamba akuwa ni waziri chanya. Lakini matokeo yake akawa mkata viuno maarufu na mwenye sifa wa kuwaharibia anaowaongoza
 
Asante kunirekebisha neno "sikosei" lilikuwa na maana ya kuyabeba makosa makosa haya ukizingatia hatuko kwenye UE humu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
UE ndio nini? Tuandike maneno ambayo ni common kwa wote, hata kama ni vifupisho. Sasa hapo mtu mwingine atafikiria ulimaanisha ultraedit, United Emirates, Unemployed Elites, nk.
 
Back
Top Bottom