inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Tiss yuleUnashangaa kangi, Kuna mtu anaitwa mulugo na aliwai kuwa waziri.
Nchi yetu Ina bahati mbaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tiss yuleUnashangaa kangi, Kuna mtu anaitwa mulugo na aliwai kuwa waziri.
Nchi yetu Ina bahati mbaya sana
Wewe huna ishu, sasa huo ukaribu ulitokana na nini, maana mlitaka kutudanganya hapa kuwa eti alifundishwa na Mwalimu, wakati Mustafa alisoma Bihawana sec. Swali bado ni jee,Mwalimu ifundisha Bihawana? Na kwa taarifa yako nyingine Mwalimu hakuwahi kuwa na urafiki na fisadi yeyote !Mustapha Nyang'anyi akiwa waziri wa uchukuzi alipata kashfa ya kununua kivuko chakavu "UNIFLOT' ambacho hakikuendana na gharama yake halisi!! Ilikuwa kashfa nzito ya ubadhirifu wa fedha za umma ambayo alipona kwasababu tu ya ukaribu wake na mwalimu!!
Wewe huna ishu, sasa huo ukaribu ulitokana na nini, maana mlitaka kutudanganya hapa kuwa eti alifundishwa na Mwalimu, wakati Mustafa alisoma Bihawana sec. Swali bado ni jee,Mwalimu ifundisha Bihawana? Na kwa taarifa yako nyingine Mwalimu hakuwahi kuwa na urafiki na fisadi yeyote !
Je unaifahamu au uliwahi kuisikia hiyo kashfa ya Mustapha Nyang'anyi kuhusu " KIVUKO? Kama hukuwahi basi usibishe, kwa wale waliomfahamu mwalimu, watakueleza kuwa alikuwa na tabia ya kutokuona makosa yakifanywa na wale aliowapenda na Mustapha Nyang'anyi alikuwa mmoja wao!! Ndio maana wengi wao hakuwatumbua bali alikuwa anawahamisha hamisha tu.!!
Huyo alikuwa Raisi makini sema kwako alikuzibia milija ya kuinyonya TanzaniaKwa Kangi umeenda mbali sana,shangaa kwanza kwa Jiwe kuwa Rais wa Tz
Form four to Masijala to NGO to Mzumbe to Open University to ........................!Ni bahati tu,
Ukiwa na bahati unaweza kuandika historia kubwa katika maisha yako
Ungejiuliza alichaguliwaje kuwa Mbunge wa jimbo lake kabla ya kuteuliwa kuwa waziri.Hayati Magufuli enzi za uhai wake alipata kumteua Kangi Lugola Ninja luwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.
Jana nikawa mtandaoni YouTube nikasachi jina la Kangi Lugola, video zilizokuja nyingi ni kukata viuno au kuongea ujinga huku alitambulika kama Waziri.
Je, vigezo gani hayati alivitumia kumpa Uwaziri poti Kangi Lugola Ninja? Maana ni miongoni mwa watu wa hovyo kuwahi kushika madaraka hayo
Vigezo alikuwa anavijua mteuaji mkuu hapa utaumiza kichwa bila majibu, kwani hawa wanaoteuliwa sasa nao unavifahamu vigezo vyao ni vipi wanavyoteuliwa?
Ni bahati tu,
Ukiwa na bahati unaweza kuandika historia kubwa katika maisha yako
Wewe hebu tuambie umezaliwa mwaka gani ili tuanzie hapo.
wote waliozibiwa walimchukiaHuyo alikuwa Raisi makini sema kwako alikuzibia milija ya kuinyonya Tanzania
Sukuma ndaniHayati Magufuli enzi za uhai wake alipata kumteua Kangi Lugola Ninja luwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.
Jana nikawa mtandaoni YouTube nikasachi jina la Kangi Lugola, video zilizokuja nyingi ni kukata viuno au kuongea ujinga huku alitambulika kama Waziri.
Je, vigezo gani hayati alivitumia kumpa Uwaziri poti Kangi Lugola Ninja? Maana ni miongoni mwa watu wa hovyo kuwahi kushika madaraka hayo
Huyu jamaa ukimcheki tu kwa sura unaona kabisa kichwani hamna kitu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sishangai ndio maana nchi inaenda hovyi kama huko "TCCM" wamejaa vihiyo wa dizaini yakeTiss yule
Kwa kuwa aliiweka Zambia mahala pa Zanzibar!!!?...ulimi huteleza sheikhSishangai ndio maana nchi inaenda hovyi kama huko "TCCM" wamejaa vihiyo wa dizaini yake
Kwanza alikuwa mwanafunzi wake na pili aliwahi kuwa ocdHayati Magufuli enzi za uhai wake alipata kumteua Kangi Lugola Ninja luwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.
Jana nikawa mtandaoni YouTube nikasachi jina la Kangi Lugola, video zilizokuja nyingi ni kukata viuno au kuongea ujinga huku alitambulika kama Waziri.
Je, vigezo gani hayati alivitumia kumpa Uwaziri poti Kangi Lugola Ninja? Maana ni miongoni mwa watu wa hovyo kuwahi kushika madaraka hayo
Nchi hii ina safari ndefu sanaAlikuwa swahiba wa jiwe.
Lugora alikuwa head boy kwenye shule jiwe akiwa mwalimu.
Kama sikosei Mh. Nyang'anyi alikuwa mteuliwa wa JKN kihistoria naye akiwa head boy alikokuwa akifundisha mwalimu Nyerere.
Hiyo ndiyo Tanzania yetu kusikotakiwa katiba mpya.