Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Okay
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akhkh umenikumbusha alipokuwa kule sauzi kwenye kikao akasema Tanzania ni muungano wa visiwa cha zanzibar na milima ya Zimbabwe! Huyu mwamba aliteuliwa na kikwete kutokana na kuwa mahiri kwenye nyimbo za kampeni 2005Unashangaa kangi, Kuna mtu anaitwa mulugo na aliwai kuwa waziri.
Nchi yetu Ina bahati mbaya sana
Wa hovyo kwako, kila mTanzania ana haki, hakufika pale kipuuzi kama unavyofikiri wewe, mbaya zaidi inawezekana wewe ukawa ndiyo wa hovyo zaidi kuliko yeyeHayati Magufuli enzi za uhai wake alipata kumteua Kangi Lugola Ninja luwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.
Jana nikawa mtandaoni YouTube nikasachi jina la Kangi Lugola, video zilizokuja nyingi ni kukata viuno au kuongea ujinga huku alitambulika kama Waziri.
Je, vigezo gani hayati alivitumia kumpa Uwaziri poti Kangi Lugola Ninja? Maana ni miongoni mwa watu wa hovyo kuwahi kushika madaraka hayo
aliweza kuimba mapambio vizuri.... hasa yale ya kuonesha kwamba yeye ni KATILI kama JPMHayati Magufuli enzi za uhai wake alipata kumteua Kangi Lugola Ninja luwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.
Jana nikawa mtandaoni YouTube nikasachi jina la Kangi Lugola, video zilizokuja nyingi ni kukata viuno au kuongea ujinga huku alitambulika kama Waziri.
Je, vigezo gani hayati alivitumia kumpa Uwaziri poti Kangi Lugola Ninja? Maana ni miongoni mwa watu wa hovyo kuwahi kushika madaraka hayo
Shule gani hiyo walikutana Kangi na Magufuli enzi hizo?Alikuwa swahiba wa jiwe.
Lugora alikuwa head boy kwenye shule jiwe akiwa mwalimu.
Kama sikosei Mh. Nyang'anyi alikuwa mteuliwa wa JKN kihistoria naye akiwa head boy alikokuwa akifundisha mwalimu Nyerere.
Hiyo ndiyo Tanzania yetu kusikotakiwa katiba mpya.