Taarifa hii ni potofu, Mustafa Nyang'anyi alikuwa mtangazaji RTD kwa miaka mingi tu kabla ya kuingia siasa n kuja kuwa waziri baadaye. Na wala hakuwa na dosari yoyote katika utumishi wakeSijapaniki wala siwezi kupaniki. Aghalabu hizi ni facts:
1. JKN alikuwa mwalimu mkoa wa pwani. Kutokea huko head boy aliula.
2. JPM alikuwa mwalimu mkoa wa Mwanza. Kutokea huko head boy aliula.
Tuna mambo mengi ya kufanya kuwekeza kwenye nitty gritty. Maana kamili ya kutumia acronym UE where the nitty gritty belong.
Ni hayo tu ndugu mjumbe.
Hizi ni pumba tupu unawalisha watu. Labda tuambia umezaliwa mwaka gani na historia hiyo uliisoma wapi, na huyo Nyang'anyi alikuwa na dosari gani.Minaki - Pugu ilikuwa slip ya tongue tu mkuu.
Hata huyo head boy alikuwa wa Pugu siyo Minaki.
Kwa mara nyingine niwashukuru kwenye kuweka rekodi sawa.
Ni kweli Mustafa Nyang'anyi alisoma Bihawana sec Dodoma, sasa huyu sijui anaokota wapi pumba hizi, labda anataka kutuambia Mwl alifundisha Biawana sec.Ndio, Mustapha Nyang'anyi hakuwahi kuwa mwanafunzi wa Mwalimu na hakuwahi kusoma PUGU!! Kama aliwahi kuwa head boy ni huko shule za mkoa wa Dodoma!
Tunataka taarifa sahihi humu, tupo watu wa rika tofauti tofauti humu. Ukitia unajua vitu usivyovijua utaumbuliwa kama namna hii watu wabavyokuchapa za usoni humu.Unaelewa maana ya neno sikosei lakini mjomba?
Jikite kwenye mada mjomba. Au wewe ni Lugora?Tunataka taarifa sahihi humu, tupo watu wa rika tofauti tofauti humu. Ukitia unajua vitu usivyovijua utaumbuliwa kama namna hii watu wabavyokuchapa za usoni humu.
Mulugo ndo mzee wa zimbabwe?Unashangaa kangi, Kuna mtu anaitwa mulugo na aliwai kuwa waziri.
Nchi yetu Ina bahati mbaya sana
Ana tabia za sodomaJana nikawa mtandaoni YouTube nikasachi jina la Kangi Lugola, video zilizokuja nyingi ni kukata viuno au kuongea ujinga huku alitambulika kama Waziri.
Mada hii au upuuzi wa mada?Ijikite kwenye mada mjomba. Au wewe ni Lugora?
Alikuwa Naibu Waziri wa ElimuUnashangaa kangi, Kuna mtu anaitwa mulugo na aliwai kuwa waziri.
Nchi yetu Ina bahati mbaya sana
Mada hii au upuuzi wa mada?
Kwa sasa sifa mojawapo ya kuteuliwa ni kuwa mwanamkeVigezo alikuwa anavijua mteuaji mkuu hapa utaumiza kichwa bila majibu, kwani hawa wanaoteuliwa sasa nao unavifahamu vigezo vyao ni vipi wanavyoteuliwa?
yalikuwa maajabu...Kwa Kangi umeenda mbali sana,shangaa kwanza kwa Jiwe kuwa Rais wa Tz
Taarifa hii ni potofu, Mustafa Nyang'anyi alikuwa mtangazaji RTD kwa miaka mingi tu kabla ya kuingia siasa n kuja kuwa waziri baadaye. Na wala hakuwa na dosari yoyote katika utumishi wake
Usije shangaa Sana 2025,Hayati Magufuli enzi za uhai wake alipata kumteua Kangi Lugola Ninja luwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.
Jana nikawa mtandaoni YouTube nikasachi jina la Kangi Lugola, video zilizokuja nyingi ni kukata viuno au kuongea ujinga huku alitambulika kama Waziri.
Je, vigezo gani hayati alivitumia kumpa Uwaziri poti Kangi Lugola Ninja? Maana ni miongoni mwa watu wa hovyo kuwahi kushika madaraka hayo
Waziri zuzu kuwahi kuongoza wizara