Hivi inakuwaje msomi wa mambo ya fedha hajui shilingi Elfu 10 ina mnyama gani? Anashindwa kujibu kwenye interview

Hivi inakuwaje msomi wa mambo ya fedha hajui shilingi Elfu 10 ina mnyama gani? Anashindwa kujibu kwenye interview

ooh,okey..so the aim ilikuwa kuchuja tu na sio kupima uwezo wao sio??...
Vyote viwili .Unasoma mambo ya pesa miaka kibao na digrii kibao za mambo ya pesa halafu pesa yenyewe huijui!!! pana maneno hapo!!!
 
Kwa hiyo finance Manager anayesimamia mikopo na marejesho hatakiwi kujua hata hela ya marejesho inafananaje?
Kujua elfu 10 ina mnyama gani inamsaidia nini kusimamia mikopo??..Anasimamia picha au anasimamia fedha?,na aliyekwambia mikopo inalipwa kwa cash peke yake ni nani hadi umuulize elfu 10 inafananaje??..
 
Wewe ndo ujielewi sasa aliyekwambia utaulizwa maswali yako uliyosoma ukiwa class ni nani? Unajua maana halisi ya interview wewe??[emoji848]
Hongera kwa wewe unaejikuta unajielewa kwa comment yangu ndogo tu inakutoa povu kwa kudandia gari kwa mbele
 
Wewe ndio hujielewi pia,interview inatakiwa ipime common sense and understanding sio uwezo wa kukariri vitu visivyo na maana...Wewe ukiulizwa sh 50 in angles ngapi,lengo la swali linakuwa kupima nini hasa,uwezo wa kukariri ama nini..Maswali ya kiboya kabisa,Mwishoni watakuja kuajiri watu vilaza sababu ya maswali ya hovyo kama hayo...
Akirudi kukujibu niambie shwain zake
 
Vyote viwili .Unasoma mambo ya pesa miaka kibao na digrii kibao za mambo ya pesa halafu pesa yenyewe huijui!!! pana maneno hapo!!!
Sio vyote viwili,mlikuwa mnataka kuchuja watu,huwezi pima uwezo wa mtu kwa kumuuliza swali kama hilo,akijua elfu 10 ina mnyama gani ndio hapo umepima uwezo gani sasa,wa kukariri au umepima nini??,Kama ni finance manager anapimwa kwa kuulizwa uwezo alionao kwenye field yake na mangine ambayo lengo ni kupima reasoning capacity and decision making,sio ujinga wa elfu 10 ina sijui rangi gani au mnyama gani,for what?..Rubbish!!!..
 
Hahahahah Wazungu wenye Brexit yao wameuliza swali linaloeleweka. Ila sisi wamatumbi ambao Brexit tunaisikia tu kwenye Radio na TV ndo tunajifanya kuuliza swali complex, very sad indeed.
 
Ndugu kutokana na technologia inawezekana kabisa ,mimi pia nako kwenye issue za hela na naweza kusukuma mzigo mpaka wa ambition ya fedha kwa siku lakini through online banking nk so kuona hard cash ni ngumu na miaka 5 hivi sijashika noti mkononi zaidi ya hela ya parking fee .Hilo sio swali kabisa la kum disqualify candidate at all
 
Kwa hiyo pesa sio sehemu ya field yake huyo finance manager koko?
Finance management is very broad, sio kujua picha ya pesa inafananaje,Na aliyekwambia pesa lazima iwe physical cash ni nani??.Nyie na ma interviewer wote Mna mentality kama za gold standard age...Swali kama hilo muulize mwanao upime uwezo wa kukariri na ku interprate picha sio mtu wa degree...
 
Wana mentality kama za gold standard age,hawafkirii mabadiliko ya technologia katika fedha ilivyo kua...hao ma interviewer ndi hopeless halafu anakuja kudhalilisha vijana wetu hapa kwa kuwaita vilaza and hopeless...
 
Wana mentality kama za gold standard age,hawafkirii mabadiliko ya technologia katika fedha ilivyo kua...hao ma interviewer ndi hopeless halafu anakuja kudhalilisha vijana wetu hapa kwa kuwaita vilaza and hopeless...
Teknolojia wapi wewe ? acha kijificha kwenye teknolohia asilimia kubwa ya mzunguko wa pesa na biashara Tanzania ni Cash!!!
 
Hata huko ulikosoma ulisoma kwa kukariri ungekuwa hukusoma kwa kukariri ungejiongeza kuijua pesa kuwa ohh nasomea mambo ya pesa .Hivi Pesa nini na ina ina features gani walau.

Wewe Ulikuwa unameza notisi tu wewe ufaulu tu mitihani hukujiongeza!!

Moja ya lengo la interview ni kupembua kati ya mumeza notisi na anayejiongeza out side the box!!!
 
Teknolojia wapi wewe ? acha kijificha kwenye teknolohia asilimia kubwa ya mzunguko wa pesa na biashara Tanzania ni Cash!!!
So what?,Ukijua mnyama gani kwenye elfu 10 ndio inakusaidia nini kwenye managerial decisions and fund management??,Just give me the connection(s)..
 
Hicho si kigezo mtu wangu cha maana sana kwanza unaijua vizuri hiyo course unayotamka? Acha ujinga
konda pamoja na kuzishika mia tano kila siku kuna siku nilimuuliza mia tano ina alama gani kwa nyuma akakosa. Je nichukue hicho ni kigezo hafai kuwa kondakta wa daladala?
Hafai maana anaweza pewa hela feki asiijuie.

wewe unaonaje???

sisi kipindi tunakua,tulikuwa tunaunguza shilingi moja na kwenda kununua pipi za shilingi mia.kwenye vibanda vya wauzaji kwenye sherehe za ngoma.
lazima ujue gesture za pesa yako kwa kuishika na kuiona tu.
 
Nilikuwa nasoma kupata understanding ya vitu sikuwahi kupenda kukariri vitu,kama nikisoma kitu sikielewe nauliza kupata even a simple logic yake au idea..Sasa nyie mliokariri ndio mnakuja kuuliza vijana maswali ya kukariri kama watoto wa vidudu...Leo wewe nikikuuliza sh 50 ina angles ngapi nakusaidia nini,na ukishindwa kujibu ndio nikuita hopeless??,Mimi muuliza swali ndio ntakuwa hopeless...
 
Back
Top Bottom