Hivi inakuwaje msomi wa mambo ya fedha hajui shilingi Elfu 10 ina mnyama gani? Anashindwa kujibu kwenye interview

Hivi inakuwaje msomi wa mambo ya fedha hajui shilingi Elfu 10 ina mnyama gani? Anashindwa kujibu kwenye interview

Nimechoka, nilienda kusimamia interview watu wa ana degree za finance za kwanza na za pili na CPA wameshindwa kujibu swali la written interview lililohoji Noti ya Elfu kumi ina mnyama gani?...
Hata maprofesa wa finance wangefeli hiyo interview uchwara.

Financiers siyo artists wa noti. Wanakuwa na maarifa ya kusimamia mifumo ya fedha kwa ujumla, siyo noti ya Tanzania. Na ndo sabb wanaweza kufanya kazi nchi yoyote
 
Aisee imeniuma walikuja wamelamba masuti na mitai shingoni, viatu vinang'aa sikuamini kwao kushindwa kujibu swali dogo kama hilo. Kuna tatizo sio kwenye elimu yetu lakini nadhani wasomi wetu wanakariri tu masomo na hawajui hasa wanasoma nini? Nimepata shock serious .Sijawahi maisha yangu yote kuwa shocked kiasi hiki

Kwanini ilo swala linafundishwa shuleni
 
Leo nimemkuta binti kwenye daladala anajisomea.
Nikachungulia nikaona
Types of listening
Importance of listening.
Nikasema kama University kwenyewe wanafundisha upumbavu huu ni heri mwanangu P aishie form four nimpe mtaji akalime parachichi za kisasa.
 
Hapo ndo utagundua hata wasomi waliopo maofisini Wana mambo ya kipumbavu na kishetani yaani swali dogo na lisilo na mantiki ndo Lina disqualify CPA kwa kupewa marks kubwa lakini swali gumu linapewa marks ndogo tena kwa ushetani huu marks zaweza fanyiwa adjustment wakati wa kusahihisha ili wengi waangukie pua halafu anakuja humu kujitapa kwa upuuzi walofanya it's like:

EU UE questions model
(1) Explain cons of BREXT to English economy (25 marks)

African UE questions model
(1) Elucidate without eloquence and dadavuate the nut shell of the term BREXT as to why and how the resignation of Conservative Party Prime minister Theresa May altimatised the English economic testmonial (2.5 marks).
 
Wabongo mnaulizana maswali ya kukoseshana kazi tuu kisa roho mbaya...
Maswali ya kipuuzi tu ili kujimwambafy.
Mi msomi wa kiuchumi unaniuliza noti ya elfu 10 ina picha gani kweli?
Hata kama najua, hilo swali la kipuuzi sana yaani muulizaji ni kilaza wa kufa mtu.
Na lilivyokua bwege kinaleta mada hapa ubaoni.
Sasa wewe utafuatwa ulipo na jiandae na maswali ya ajabu tujue hiyo elimu yako.
 
Sasa na nyie maswali gani ya kijinga kiasi hicho? Hivi hilo ni swali la kupima uelewa wa mtu? Mnyama kwenye not anasaidia nini kwenye finance?
 
Akijua kuna mnyama gani ndipo tutapanda hadhi kama taifa kuwa First World Country, au!???
 
Yaani mmetunga maswali ili watu wachemke badala ya kupima uwezo was mtu.. Sasa huyo mnyama anasaidia nn kwenye Mambo ya hesabu..
 
Alietunga hilo swali naye ana tatizo. Hayo ni maswali ya shule ya msingi na chekechea.
 
Hilo swali lilikuwa na marks 70. Hawajatoboa wote, kwenye written interview waende oral interview
Acha urongo book 7 mwenzangu, au ilikuwa interview ya kazi kwenye VICOBA. Hilo swali liwe na marks 70, kwanza sio swali ni utoto mtupu.
 
Kwani role ya hiyo nafasi ni kukagua pesa mpaka kuuliza swali la namna hiyo?
 
Aliyesema Saddam Hussein ni Rais wa Libya je? Tumweke kundi gani?
Juyo kukosea ruksa sababu ni Mwanasayansi sio mwana historia angekuwa kasomea historia akakosea hapo sawa sababu ingekuwa ni area yake. Kwenye area yake ya sayansi yuko vizuri ndio maana aligundua hadi mapapai kuwa yana corona

Tatizo mtu kwa nmomi ambaye kasoma mambo ya pesa halafu haijui pesa !!! ni jambo la kushangaza. Hajui hata noti ya elfu 10 ina mnyama gani halafu anaomba kazi ya pesa!!!
 
Aliyekwambia chuoni tunaenda kufundishwa kushika hela ni nani huyo nae aliyekupa kusimamia hiyo interview hajielewi
Kwa hiyo huwa mnasoma mambo ya pesa bila kuijua pesa yenyewe?
 
Back
Top Bottom