Hivi inakuwaje msomi wa mambo ya fedha hajui shilingi Elfu 10 ina mnyama gani? Anashindwa kujibu kwenye interview

Hivi inakuwaje msomi wa mambo ya fedha hajui shilingi Elfu 10 ina mnyama gani? Anashindwa kujibu kwenye interview

Nimechoka, nilienda kusimamia interview watu wa ana degree za finance za kwanza na za pili na CPA wameshindwa kujibu swali la written interview lililohoji Noti ya Elfu kumi ina mnyama gani? Nimechoka. Sasa mtu anasomea mambo ya fedha ya kitu gani wakati hajui hata hela noti ya elfu 10 ina mnyama gani.

Hopeless kabisa wasomi wetu wajiongeze waache kukariri notisi vyuoni kufaulu tu. Hizo bachelor na masters za finance na CPA walipataje? Wana Jamii forums naomba ufafanuzi. Nimechoka Leo nimeamini wasomi wetu wengi wako below standard.

Wote wameshindwa kujibu hilo swali na sifa za midigrii yao na CPA zao very sad
Mkuu hata wewe hayo yangekukumba ,mtu katoka chuoni,kamaliza degree ga kwanza ,kaunganisha masters . Sasa hapo kaenda kusoma picha za fedha?au kaenda kusomea usimamizi wa rasilimali fedha?...

Uchumi tunaoelekea ni digital ,Fedha ni only numbners .mfano kuna taasisi hawajawahi shika cash ofisini , kila kitu konafanyika bank ,tena kupitia internet banking ,mhasibu akienda bank ni kufanya transfer.


Hilo swali ni la kupunguza tu competition ,lakini sio lerevant kwa maoni yangu, sio ligezo cha kumkosoa msomi .Hata ambae anaijua hela anaweza sahau picha ya mnyama ,lakini anaijua elf 10 akiiona

Mngeuliza anawezaje kuizalisha elfu , au kuepusha foreign exchange risk kwenye pesa za kampuni,hapo sawa....
 
Mimi ningeitoa 10,000 mfukoni na kuiangalia chap chap!
Consultant angepunguza maksi kwenye hilo swali ,alijua fika kwamba mfukoni weupe labda? , graduate hana ramani ,inawezekana ana nauli tu mfukomi ya daladala................sio fair..alafu maksi 70?
 
Consultant angepunguza maksi kwenye hilo swali ,alijua fika kwamba mfukoni weupe labda? , graduate hana ramani ,inawezekana ana nauli tu mfukomi ya daladala................sio fair..alafu maksi 70?
Hao Watahiniwa walipaniki tu,wangetuliza akili na kuaanza kumfikiria Myama Twiga kwenye Air Tanzania,mbona Tembo nae angejitokeza kirahisi sana kichwani akiwa anaonekana kwa Msimbazi!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Juyo kukosea ruksa sababu ni Mwanasayansi sio mwana historia angekuwa kasomea historia akakosea hapo sawa sababu ingekuwa ni area yake. Kwenye area yake ya sayansi yuko vizuri ndio maana aligundua hadi mapapai kuwa yana corona

Tatizo mtu kwa nmomi ambaye kasoma mambo ya pesa halafu haijui pesa !!! ni jambo la kushangaza. Hajui hata noti ya elfu 10 ina mnyama gani halafu anaomba kazi ya pesa!!!
Mkuu ,hao finance experts wanaomba kazi ya pesa? No.wanaomba kazi ya kusimamia rasilimali za kampuni hata kama hawatakuja kuiona pesa cash ,kampuni inafanya kazi......finance manager hausiani na pesa kabisa !!!!!!!tena anaweza asije iona cash yoyote ya kampuni, sio kazi yake hata kuhesabu pesa........

,na hakuna mtu ambae hajui pesa ,hata ambaye hajasoma kabisa ,ila kujua material ya pesa ndio irrerevant ........


Hata finance mnanager wa bank anaweza akawa ahusiki na pesa kabisa(cash) yeye ni kumanage funds (fedha au pesa )kupitia mifumo na kanuni zilizowekwa , katika mifumo ndio unakuta hadi cashiers ,lakini sikuhizi hata cashiers wanadeal na digital zaidi ,labda wa bank na kampuni ndogo au kubwa kiasi..........
 
Kwa hiyo huwa mnasoma mambo ya pesa bila kuijua pesa yenyewe?
Mkitaka kutafuta finance manager ,tafuteni consultant ambaye ni mtaalamu wa mambo ya fedha na awe CPA or ACCA registerd . Kama ni hr consultant lazima a seek reference kwa financial consultant
 
Nina
Hata huko ulikosoma ulisoma kwa kukariri ungekuwa hukusoma kwa kukariri ungejiongeza kuijua pesa kuwa ohh nasomea mambo ya pesa .Hivi Pesa nini na ina ina features gani walau.

Wewe Ulikuwa unameza notisi tu wewe ufaulu tu mitihani hukujiongeza!!

Moja ya lengo la interview ni kupembua kati ya mumeza notisi na anayejiongeza out side the box!!!
Ninashaka na ujibuji wako na ,are you HR officer?or ni engineer ulipewa majukumu ya u HR ?
 
Nimechoka, nilienda kusimamia interview watu wa ana degree za finance za kwanza na za pili na CPA wameshindwa kujibu swali la written interview lililohoji Noti ya Elfu kumi ina mnyama gani? Nimechoka. Sasa mtu anasomea mambo ya fedha ya kitu gani wakati hajui hata hela noti ya elfu 10 ina mnyama gani.

Hopeless kabisa wasomi wetu wajiongeze waache kukariri notisi vyuoni kufaulu tu. Hizo bachelor na masters za finance na CPA walipataje? Wana Jamii forums naomba ufafanuzi. Nimechoka Leo nimeamini wasomi wetu wengi wako below standard.

Wote wameshindwa kujibu hilo swali na sifa za midigrii yao na CPA zao very sad
Hilo swali la kijinga. Japo ni swali
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenifanya nicheke sana leo, hapa ofisini nimewauliza Ma -Accountant wote wamekosa[emoji1787][emoji1787]
 
Hiyo ni interview au utumbo, Mnyama wa kwenye pesa wa nini, wanaotunga maswali ya namna hii kama ndio tunawategemea kwenye nchi, ni majanga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenifanya nicheke sana leo, hapa ofisini nimewauliza Ma -Accountant wote wamekosa[emoji1787][emoji1787]
Umeona sasa ,tena experienced accountants . Wamewakosea sana ,wawaite wawape aptitude test
 
Nimechoka, nilienda kusimamia interview watu wa ana degree za finance za kwanza na za pili na CPA wameshindwa kujibu swali la written interview lililohoji Noti ya Elfu kumi ina mnyama gani? Nimechoka. Sasa mtu anasomea mambo ya fedha ya kitu gani wakati hajui hata hela noti ya elfu 10 ina mnyama gani.

Hopeless kabisa wasomi wetu wajiongeze waache kukariri notisi vyuoni kufaulu tu. Hizo bachelor na masters za finance na CPA walipataje? Wana Jamii forums naomba ufafanuzi. Nimechoka Leo nimeamini wasomi wetu wengi wako below standard.

Wote wameshindwa kujibu hilo swali na sifa za midigrii yao na CPA zao very sad
Mkuu, anaetaiwa kujua kuhusu hizo alama za pesa ni "Cashier". Ilikuwa ni interview ya "Cashier"? Isije kuwa ni nyinyi mliweka "wrong" question kwenye iyo interview. Mtu mwenye CPA na Degree ya pili huyo anaqualify kuwa senior Finance personnel, hiyo haimuhusu.
 
Jibu sahihi la hilo swali lina Tija gani katika Kazi husika mluu?
Pengine angeonyeshwa Noti husika akashinwa kuitambua ni ya kiasi gani hapo pengine ingeonekana ni uzembe,
Lakini picha ndani ya Noti unaikariri ili iweje?
 
Hata huko ulikosoma ulisoma kwa kukariri ungekuwa hukusoma kwa kukariri ungejiongeza kuijua pesa kuwa ohh nasomea mambo ya pesa .Hivi Pesa nini na ina ina features gani walau.

Wewe Ulikuwa unameza notisi tu wewe ufaulu tu mitihani hukujiongeza!!

Moja ya lengo la interview ni kupembua kati ya mumeza notisi na anayejiongeza out side the box!!!
Kubalini mmeharibu kazi ya watu. Interview yenu inaweza mpata mtu ambae Ni hopeless kabisa mwenye poor reasoning and creativity.

Nyinyi wazee mfumo wa elimu ulio waandaa ndo tatizo.

Inawezekanaje kwenye interview unatoa norm referenced test? Halafu mkipata mfanyakazi mbovu mnaanza kulia Lia kumbe tatizo lilianzia kwenu.


Swali kama Hilo lilitakiwa Kama added advantage lenye marks mbili au tatu.

Content based education system imepitwa na wakati. Huu Ni wakati wa competence based education system.
 
Aisee imeniuma walikuja wamelamba masuti na mitai shingoni, viatu vinang'aa sikuamini kwao kushindwa kujibu swali dogo kama hilo. Kuna tatizo sio kwenye elimu yetu lakini nadhani wasomi wetu wanakariri tu masomo na hawajui hasa wanasoma nini? Nimepata shock serious .Sijawahi maisha yangu yote kuwa shocked kiasi hiki
Kwa uandishi huu mbona we mwenyewe unaonekana mweupe kichwani.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenifanya nicheke sana leo, hapa ofisini nimewauliza Ma -Accountant wote wamekosa[emoji1787][emoji1787]
Nikuhakikishi 70% ya watu waliotembelea Uzi huu na wakajaribu kufikiri Ina mnyama gani walikosa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenifanya nicheke sana leo, hapa ofisini nimewauliza Ma -Accountant wote wamekosa[emoji1787][emoji1787]
ha ha ha ma accountat watunza pesa wasioijua pesa ikoje na mimi umenifanya nicheke
 
Back
Top Bottom