Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

Baby wangu hawezi jishindiliaa manguo mi ndo namvalisha bwanaaa
 
Huyu Mtoa Mada Ana Matatizo Kweli Hivi Unajua Faida Yakuvaa Bukta Ya Ndani Au Umekurupuka Hebu Muulize Bwana Wako Kwanza
Faida unaijuaa ww unayejidabodishaa haina faida yoyote zaidi kunukaa tu na uwezo wa kufuaa mara mojaa huna mpaka urudie siku tatu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Baba wangu hawezi jishindiliaa manguo mi ndo namvalisha bwanaaa
That's INCEST ujue ama we unaona sawa tu tena unaropoka mbele ya Great Thinkers tena hapa hapa nyumbani kwao Jamii Forums...

Ama kweli ujio wa Yesu umekaribia...
 
That's INCEST ujue ama we unaona sawa tu tena unaropoka mbele ya Great Thinkers tena hapa hapa nyumbani kwao Jamii Forums...

Ama kweli ujio wa Yesu umekaribia...
Yes why not nisiseme bwana angu kazima nimpangiee nguo za kuvaa esp boxer
 
Boxer inabana, inasababisha joto hatimaye fungus.

Niliwahi kuvaa boxer nikakubwa na janga fungus, kuanzia siku hiyo hadi leo sijavaa boxer tena.

Kuna pensi nzuri na nyepesi za kuvaa ndani sio za kuchezea mpira tu.
Unajuaa ninavyopendaga hako ka picha kako na maneno unayoyaongeaa hakikaa naanza jukuimagine ulivyo .....kuna boxer za kilaa dizaini na kilaa size kuvaa zinazobana ni mtu kutaka sasa ya nn ukavaa mapensi na wanaume uwezo wa kufuaa mapensi everyday hmna yaan zaid saana huwa mnafuaa baada ya siku 3 sasa hapo huoni ni uchafu my dear??plzz stop it ulipata fangus kwa sababu ulikuwa hubadilishi boxer labda....
 
wengine wanajishindilia sababu bado wanakula viboko hatari mpk leo!!
 
Huwezi nishawishi niache bukta ndani ya suruale ninapotoka zangu. Zipo bukta mdogo na nyepesi tu. Kwa mfano nikiwa field siafu walinipamba , kwa kuwa nilivaa bukta ndani , niliwatoa taratibu. Nakushauri dada katika kuishi na jamii vizuri si kila unachokiamini na kukipenda ,kinapendwa au kuwafurahisha wengine. Nyie ndo wale maofisini unalazimisha wote waamini unachoamini wewe , Jingine , acha umalaya dada .
 
Umalaya sifa ya mwanamke alafu sijakuforce nimetoaa maoni yangu be informed and thnks me later
 
Basi pole ila kuna boxer over size ...nzuri na unapendezaaa piaa
 
Kama utak pens na nyie vaaa chupi tu. Mbona mnavaaa na Tait Mara vitu gani. Kumbuka mwanaume anytime yuko kazini ndo maana akukuta gar lako au umepata shida anata pens anapiga kazi ikiisha anavaa.je wewe unataka avae boxer tu ili ikitokea shida avue abak na hy tu au.....
 
Ofisi gani hiyo acha mbwembwe nguo za ofisini zinajulikana sema wakati unaliwa acha chengachenga
Huna mahusinao mazuri na wadada ww ofisini.mhona mi wengi wanachomekeaa mbele yangu labda unapofanya ww
 
Inakuwaje page ya 21 hakuna hata kapicha.

Mkuu tunaomba kapicha ka hayo mabukta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…