Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

Ukiona BUKTA ujue dushe ni refu na haliwezi kulazwa kama nyoka kwenye boxer, huwa wengi ndio wanaanaya hivyo na wazee wa kiswahili wenye busha wao wanavaa kanzu, dushe linanlalia mapajani kwa raha zake, kama wamasai tu
 
Mawazo yako tu hayo funny enough sister wangu ndo alinikataza kuvaa boxer. Mwanaume anaejali reproductive health yake hawez kuvaa boxer za mpira tupu atleast ziko sikuiz ambazo haziban kidogo tunazitafuta pia.
Kumbuka maumbile yetu hayaruhusu nguo za ndani za kubana hizo vaeni nyie
 
Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?

Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako?kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.

Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
Fashion za kulazimisha hizi na nafikiri tatizo ni bongo fleva inawalostisha mno. Mtu una akili timamu utavaaje bukta ndani ya suruali kama si ujinga ni nini?
 
Sikuhizi tunaanza kupangiana mavazi...


Kichwa BoX
Haa😁😂😀
Watu Wamevurugwa Sana, Lawama Ziende NEC

Naona Watu Hawajiulizi Viwanda Vikatengeneza Chupi Nyeusi, Yenye Rangi Ya Upinde Wa Mvua
Zote Zinapata Wavaaji Haa😀😁😂😄
Leo Wanashangaa Bukta
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuuuh hatareeeeh San lol
 
Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?

Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako?kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.

Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
Mzinzi mkubwa
 
Back
Top Bottom