Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila za mpindo ndio nzuri maana zinakuna pande zote kuliko mnyookomkama wa wasukumaUnaonekana unapendezewa na mashine mpindo maana ndo madhara ya boxer
Unaonekana fundi!Ila za mpindo ndio nzuri maana zinakuna pande zote kuliko mnyookomkama wa wasukuma
Fashion za kulazimisha hizi na nafikiri tatizo ni bongo fleva inawalostisha mno. Mtu una akili timamu utavaaje bukta ndani ya suruali kama si ujinga ni nini?Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?
Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako?kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.
Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
Safi.Mwanaume ni mtu wa kazi,sasa kunaweza kutokea dharura ya kufanya kazi lazima uvue suruali na kubaki na bukta kisha unapiga kazi kama za kuchimba,kusukuma,gari,kuvuka maji N.k sasa ukivaa boksa huwez kuvua hadharani ili uwajibike kama mwanaume
Haa😁😂😀Sikuhizi tunaanza kupangiana mavazi...
Kichwa BoX
🚶🚶🚶Weee unavaaga chupi tu kama vazi landani kama unavaa na taiti ,basi uzi wako hauna maana.
Sasa ulitaka mwana ccm avae rangi gani?Mwanaume unakuta kavaa smart balaa ila hilo lipensi alafu bora liwe jeupe unakuta lakijan au la njano pooooh
Mzinzi mkubwaJamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?
Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako?kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.
Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata