Hivi inakuwaje mzazi anakua tegemezi Kwa mtoto ambaye amejitafuta Kwa jasho lake bila kumrithisha hata mbuzi mmoja

Embu msituletee umagharibi hapa; mama yako kakuzaa kwa uchungu na baba yako alijikaza asihonge malaya au kunywea hela zote ili akulee , ulijinyea na wakawa wanapambana na kinyesi chako, ulikuwa unalia usiku mzima na wakakuvumilia na asubuhi na usingizi wote walitoka kwenda kupambana kwa niaba yako

Leo hii kisa na wewe unaweza zaa au kuzalisha unajiona umeshuka toka mbinguni kwa nguvu za roho mtakatifu

Kwa utamaduni wetu utaonekana ni mtu wa ajabu sana ukisema utoe haya mawazo uliyoyaandika kwenye huu uzi mbele ya hadhira
 
wazazi wawili wanaweza kulea watoto 8 ila watoto nane wakashindwa kuwalea wazazi wawili.
 
Hao watu ambao Mimi niwasaidie ni vilema au maana sijaja nao duniani nikurupuke tu kusaidia mtu ambae sio kilema na hata kilema ni kazi ya serikali kusaidia sababu tunatoa kodi
Omba Mungu akuweke kwenye position ya kutoa msaada
Asikuweke kwenye position ya kushitaki msaada
We saidia kama una uweZo, Mungu atakubariki zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…