Hivi inakuwaje mzazi anakua tegemezi Kwa mtoto ambaye amejitafuta Kwa jasho lake bila kumrithisha hata mbuzi mmoja

Acha ujinga; ulijizaa mwenyewe. Kukuzaa Tu wazazi wamewekeza kwenye maisha yako hivyo mafanikio yako ni Yao pia; usiinue mabega
 
Mliolelewa na single mazaz ndio shida yenu hiyo mnakosa "UBABA" ndani yenu ...mna 'UMAMA" mwingi... Na mnaamini kabisa kila mnachoambiwa na hao mama zenu ....kama ni mwanaume yatakukuta tu humuhumu....
Fanya kazi wewe acha kutaka Ganda la ndizi wa watoto utaolewa
 
Hata Maandiko huelekeza kuheshimu wazazi..

Waefeso 6:2
Waheshimu baba yako na mama yako; amri hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi,

Waefeso 6:3
Upate heri, ukae siku nyingi katika dunia.
 
Hata Maandiko huelekeza kuheshimu wazazi..

Waefeso 6:2
Waheshimu baba yako na mama yako; amri hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi,

Waefeso 6:3
Upate heri, ukae siku nyingi katika dunia.
Maandiko hayo yameandikwa na binadamu ambao ni wazazi wapenda Ganda la ndizi
 
Si uache kumsaidia ..si sio lazima ...unahangaika na Nini kumsaidia acha..halafu uone aibu ni ya nani Kwa jamii... Acha....
 
Kitendo cha kuweka bandiko lako humu kulalamika juu ya mzazi wako inaonyesha kuna tatizo sehemu. Vinginevyo ungepiga kimya ukafanya vitendo tu.
 
kinachonikera wananogewa na msaada ukioa tu wanakuwa chanzo cha ugomvi na mke kwa kivuli cha ma mkwe.
 
Hahaha majitu yanaandika kirahisi tu unakuta mtoto umekulia shida basi katika kujitambua umejitafuta tena sehemu nyingine umepita za hatari halafu mzazi anataka kula pesa zako kibabe kama amezitafuta yeye
Kitendo Chako tu Cha kuleta hii mada huku "CONSCIOUS" yako inakusuta haupo sawa ..unatafuta sympathy ..pole sana.
 
Fanya kazi acha kusubiri kulelewa na mtoto
Shule zitafunguliwa mtapotea tu humu.... We Rudi Kwa mama wako aliyegongwa kifala akakuzaa bila malezi ya baba Sasa unateseka..unamlaumu baba bila kumlaumu mama aliyetanua nyapu...
 
Kuna baraka katika kusaidia/kuwatendea na kuwatakia/kuwaombea mema wengine hata wanaokuudhi.

Kama mzazi wako aliekuleta duniani tu unakuwa mchoyo kwake kwa kiasi hiki,je kwa watu baki itakuwaje??kumbe watu wenye Roho ya aina yako wapo duniani,kumbe sio hadithi tu ni halisi??

,kumbe kuna Watanzania wenye sifa tofauti na sifa za waTanzania tunazosifiwa nazo uko nje,UMOJA ,upendo na ukarimu hata kwa wageni,kama sisi kwa sisi tena sisi kwa familia zetu tutashindwa kuwa wakarimu na kuwajali watu walio (FAMILIA) watu wetu??je kwa wageni itakuwaje??
 

Attachments

  • Screenshot_20241231-194221~2.jpg
    43.5 KB · Views: 1
Shule zitafunguliwa mtapotea tu humu.... We Rudi Kwa mama wako aliyegongwa kifala akakuzaa bila malezi ya baba Sasa unateseka..unamlaumu baba bila kumlaumu mama aliyetanua nyapu...
Itoshe kusema wewe ni kubwa jinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…