Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Sisi wengine second degree tulienda kusoma sababu ya passion ❤️😍Wakuu habari za Jumapili,
Niseme, mwaka huu 2023 nimehitimu Shahada ya Umahiri ama Master's Degree kwenye fani ya uchawi na ushirikina chuo kikuu.
Kwenye kuisoma hiyo fani, kilichonishangaza sana na bado nazidi kushangaa ni kuona vijana wakisoma Shahada za Umahiri huku hawana kazi.
Najiuliza, kwa hapa Tanzania kazi zinazotangazwa zinazotaka mtu awe mahiri ni kazi ambazo lazima uwe na uzoefu usiopungua miaka 8 na kuendelea na mara nyingi kama sio zote hua ni managerial positions.
Sasa kama Shahada ya awali haijakupa kazi, haijakusaidia kupata kazi, unawezaje kwenda kusoma Shahada nyingine ya juu zaidi huku huna kazi?
Kwa mtazamo wangu, wazazi wanapoteza pesa nyingi sana kusomesha watoto wao Master's Degree ambazo wangezitumia kuwafungulia miradi ya ujasiliamali na wakapata pesa.
Leo kukuta kijana yuko mtaani na anaendesha bodaboda na ana Master's Degree ni kitu cha kawaida, unajiuliza hiyo pesa ya Master's Degree zaidi ya 10m na 2+years za kusoma, angeanza kua bodaboda si angekua mbali sana, kwanza angekua na bodaboda 5 ambazo zinamuingizia wastani wa 1.2m kwa mwezi, miaka 2 angekua na 25m+ na bado bodaboda zake ziko pale pale.
Juzi nimeenda na girlfriend wangu mahala kwa tailor, nikakuta tailor katika mazungumzo anasema ana Master's Degree ya Accountancy halafu ni fundi nguo, yeye mwenyewe anajilaumu kusoma Master's Degree bora angeaza ushonaji mapema angekuwa mbali.
Master's Degree bongo zinasomwa kwa kujifurahisha?
Kwamba unawaongezea wana mlima.Kusoma kwa upande wangu ni kuongeza cv tuu. Na kuwapa watoto wangu kazi ya Kufanya
Elimu ni nzuri kama pesa unazo nje ya hapo ni kujilisha upepo. Utawaamkia hadi wadogo zako siku moja na hizo elimu zako ukiwa hela huna 🤣Unaposoma ni elimu ikusaidie kuishi kwa kuweza kutatua changamoto za wasiosoma. Mkisoma alafu mnarudi mtaani kulia na ambao hawakusoma ni fedheha. Someni mpate elimu....elimu ni nzuri.
Usomi hauna mwisho. Soma soma soma...Wakuu habari za Jumapili,
Niseme, mwaka huu 2023 nimehitimu Shahada ya Umahiri ama Master's Degree kwenye fani ya uchawi na ushirikina chuo kikuu.
Kwenye kuisoma hiyo fani, kilichonishangaza sana na bado nazidi kushangaa ni kuona vijana wakisoma Shahada za Umahiri huku hawana kazi.
Najiuliza, kwa hapa Tanzania kazi zinazotangazwa zinazotaka mtu awe mahiri ni kazi ambazo lazima uwe na uzoefu usiopungua miaka 8 na kuendelea na mara nyingi kama sio zote hua ni managerial positions.
Sasa kama Shahada ya awali haijakupa kazi, haijakusaidia kupata kazi, unawezaje kwenda kusoma Shahada nyingine ya juu zaidi huku huna kazi?
Kwa mtazamo wangu, wazazi wanapoteza pesa nyingi sana kusomesha watoto wao Master's Degree ambazo wangezitumia kuwafungulia miradi ya ujasiliamali na wakapata pesa.
Leo kukuta kijana yuko mtaani na anaendesha bodaboda na ana Master's Degree ni kitu cha kawaida, unajiuliza hiyo pesa ya Master's Degree zaidi ya 10m na 2+years za kusoma, angeanza kua bodaboda si angekua mbali sana, kwanza angekua na bodaboda 5 ambazo zinamuingizia wastani wa 1.2m kwa mwezi, miaka 2 angekua na 25m+ na bado bodaboda zake ziko pale pale.
Juzi nimeenda na girlfriend wangu mahala kwa tailor, nikakuta tailor katika mazungumzo anasema ana Master's Degree ya Accountancy halafu ni fundi nguo, yeye mwenyewe anajilaumu kusoma Master's Degree bora angeaza ushonaji mapema angekuwa mbali.
Master's Degree bongo zinasomwa kwa kujifurahisha?
Hamna cha plan wala niniIt's all about plan mkuu relax iyo hela huwapi ww
Unadhani kwanini wanasiasa wengi wanakimbilia degree za mchongo....kwamba hawana hela? Elimu ina nafasi yake hata kama utawaamkia wadogo zako,kuna namna utawasalimia kisomiElimu ni nzuri kama pesa unazo nje ya hapo ni kujilisha upepo. Utawaamkia hadi wadogo zako siku moja na hizo elimu zako ukiwa hela huna 🤣
Kwamba unawaongezea wana mlima.
Wanafanya hvo ili kulamba teuzi tuUnadhani kwanini wanasiasa wengi wanakimbilia degree za mchongo....kwamba hawana hela? Elimu ina nafasi yake hata kama utawaamkia wadogo zako,kuna namna utawasalimia kisomi
Hongera mkuu elimu ni nzuri...na mimi hii yangu ya form siksi kuna wakati ilinipa shavu katikati ya kundi la wajinga na sikuamini. Katu sitoidharau elimu. Mungu nisaidie.Mlima mpaka wakome.
Ila najua wapo manunda watasema kusoma sana ni ufala.
Na mimi kupitia mtazamo wao huo kila mara nitakuwa wale wazee wakujitapa mbele zao hasa nikiwa nimewaacha mbali
Ndio kuna tofauti kubwa sana kati ya Good morning na hamjambo.Unadhani kwanini wanasiasa wengi wanakimbilia degree za mchongo....kwamba hawana hela? Elimu ina nafasi yake hata kama utawaamkia wadogo zako,kuna namna utawasalimia kisomi
Zama za makaratasi zilishakwisha sasa hivi tuko zama za Connection.Hongera mkuu elimu ni nzuri...na mimi hii yangu ya form siksi kuna wakati ilinipa shavu katikati ya kundi la wajinga na sikuamini. Katu sitoidharau elimu. Mungu nisaidie.
Logic ni hata ukiwa na hela bila elimu kuna fursa utazikosa tuu ndio maana wanazihangaikia.Wanafanya hvo ili kulamba teuzi tu
Nje na hapo huwezi kuta wanazihangaikia
Sasa wewe huna mbele wala nyuma unafukuzia mi masters ya nini
Nazo zitakwisha turudi kwenye uhalisia....mambo hubadilika na muda haurudi nyuma kukupa fursa ya kurekebishaZama za makaratasi zilishakwisha sasa hivi tuko zama za Connection.
Hamjambo ni kelele....ujue hiloNdio kuna tofauti kubwa sana kati ya Good morning na hamjambo.
Wewe sasa ndo unaona hivyoKusoma master' degree ya procurement kisha uje kua bodaboda ndio plan? That's not plan, its stupidity.