Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika Kozi za biashara magumashi ni Procurement.Kusoma master' degree ya procurement kisha uje kua bodaboda ndio plan? That's not plan, its stupidity.
Inaonekana umesomea HR weweHayakuhusu hangaika na maisha Yako
Huwezi moangia mtu Hela yake aitumiaje
Hela Yao wewe kinakuuma Nini ? Acha umbeya
Kama ana Degree ya Accountancy asome CPA hiyo CPA ni marketable than mastersUkweli ni kwamba hata kuunganisha kama pesa ipo fresh ,unaunga huku unatafuta kazi.
Kusoma masters mapema ni bora zaidi ukiwa chini ya miaka hata 28,29,30.
Kama ni kutoa ujinga Degree inatosha kabisa kutoa ujingaKwani watu wanasoma ili waajiriwe tu mkuu?
Elimu ni kwa ajili ya kutoa ujinga
Kama ni kutoa ujinga Degree inatosha kabisa kutoa ujinga
Hao wengi wanaosoma hizo masters ni kutaka kuaongeza wigo wa Kuajiriwa
Wote wanasota tu, cpa, masters, degree. Graduate asiye na bahati ya kazi na hana uwezo wa kujiajiri kwa kiwango cha elimu yake hata umpe level gani ya elimu haitampa kipato.Kama ana Degree ya Accountancy asome CPA hiyo CPA ni marketable than masters
Kama ana Degree ya Law ni Bora asome law school awe Wakili,
Hao wanaosoma hizo MBA ili kuja kuendesha biashara zao binafsi ni asilimia ngapi?Kuna watu wanafanya MBA kuongeza elimu ya namna ya kuendesha biashara zao na wala hawana mpango wa kuwa watumwa wa kazi za wengine...
Elimu ya form four inatosha kuondoa ujinga.Kama ni kutoa ujinga Degree inatosha kabisa kutoa ujinga
Hao wengi wanaosoma hizo masters ni kutaka kuaongeza wigo wa Kuajiriwa
Au mtu anatoka 1st Degree anaunganisha na Masters.Wakuu habari za Jumapili,
Niseme, mwaka huu 2023 nimehitimu Shahada ya Umahiri ama Master's Degree kwenye fani ya uchawi na ushirikina chuo kikuu.
Kwenye kuisoma hiyo fani, kilichonishangaza sana na bado nazidi kushangaa ni kuona vijana wakisoma Shahada za Umahiri huku hawana kazi.
Najiuliza, kwa hapa Tanzania kazi zinazotangazwa zinazotaka mtu awe mahiri ni kazi ambazo lazima uwe na uzoefu usiopungua miaka 8 na kuendelea na mara nyingi kama sio zote hua ni managerial positions.
Sasa kama Shahada ya awali haijakupa kazi, haijakusaidia kupata kazi, unawezaje kwenda kusoma Shahada nyingine ya juu zaidi huku huna kazi?
Kwa mtazamo wangu, wazazi wanapoteza pesa nyingi sana kusomesha watoto wao Master's Degree ambazo wangezitumia kuwafungulia miradi ya ujasiliamali na wakapata pesa.
Leo kukuta kijana yuko mtaani na anaendesha bodaboda na ana Master's Degree ni kitu cha kawaida, unajiuliza hiyo pesa ya Master's Degree zaidi ya 10m na 2+years za kusoma, angeanza kua bodaboda si angekua mbali sana, kwanza angekua na bodaboda 5 ambazo zinamuingizia wastani wa 1.2m kwa mwezi, miaka 2 angekua na 25m+ na bado bodaboda zake ziko pale pale.
Juzi nimeenda na girlfriend wangu mahala kwa tailor, nikakuta tailor katika mazungumzo anasema ana Master's Degree ya Accountancy halafu ni fundi nguo, yeye mwenyewe anajilaumu kusoma Master's Degree bora angeaza ushonaji mapema angekuwa mbali.
Master's Degree bongo zinasomwa kwa kujifurahisha?
Hii kozi unasoma ili tu uajiriwe serikalini, kama hujaajiriwa serikalini huna chako.Katika Kozi za biashara magumashi ni Procurement.
Mtu hana kazi halafu anasoma MBA Corporate Management 😂. Sasa hiyo corporate atakayokuja ku.manage ni ipi?Baadae wanakuja kulia mitaani
Kuelimika ili uendeshe Bodaboda? Sasa hapo umeelimika nini?We fala tu watu wanasoma kuelimika sio kuajiriwa
Elimu ya Form 4 inatosha kutoa ujinga.Kwani watu wanasoma ili waajiriwe tu mkuu?
Elimu ni kwa ajili ya kutoa ujinga
Umeelewa point yake? Hauna kazi masters ya nini?Mbona umesomea wewe master degree in witch craft?
Unadhani wasingekuwa bungeni wangezihangaikia hizo masters? TubutuuuLogic ni hata ukiwa na hela bila elimu kuna fursa utazikosa tuu ndio maana wanazihangaikia.