Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Kuelimika na nini haswa?We fala tu watu wanasoma kuelimika sio kuajiriwa
Leo ukitaka kujielimisha chochote hapa Duniani kiko mtandaoni, sasa hawa wanaosema kuelimika ni kwenda kusoma master's degree ndio siwaelewi.Kuelimika na nini haswa?
Maana ukitaka kujielimisha kila kitu kipo mtandaoni.
Hata huko vyuoni unapodai una elimishwa, Huyo mwalimu anaye kuelimisha anatoa vitu mtandaoni.
Kwani kazi ya bodaboda unaichukuliaje? Kipato chake ni sawa na afisa wa halimashauri. Pia ni kazi ya kubeba roho za watu so ni vizuri wafanye wasomi.Kuelimika ili uendeshe Bodaboda? Sasa hapo umeelimika nini?
Rudi shule ujifunze kuandika vizuri wewe kima.Hayakuhusu hangaika na maisha Yako
Huwezi moangia mtu Hela yake aitumiaje
Hela Yao wewe kinakuuma Nini ? Acha umbeya
Sio Tanzania nchi yanguWe fala tu watu wanasoma kuelimika sio kuajiriwa
Hizo sio plan, ni ujinga.PUNGUZA USHARI WATU WANA PLAN ZAO
Kila mtu ana njia yake atakayochagua iwe darasani au mtandaoni. Yote ni sawa kutegemea na uwezo wa mtu, Cha muhimu kusoma ni kusomaKuelimika na nini haswa?
Maana ukitaka kujielimisha kila kitu kipo mtandaoni.
Hata huko vyuoni unapodai una elimishwa, Huyo mwalimu anaye kuelimisha anatoa vitu mtandaoni.
Mabadiliko yanaanza na weweSio Tanzania nchi yangu
NakaziaKama kuna kosa tunalifanya ni kuendelea kuidharau elimu. Someni kama kuna fursa ya kufanya hivyo...ili hata msipoajiliwa muweze kuweka ubora kwenye shughuli zingine mnazozifanya.
Tumekuwa tukidharau kazi za mikono kuwa ni za watu wasio na elimu lakini ukweli ni kwamba ajira nyingi zitapungua hivyo tegemeeni kazi za suluba kuwa kimbilio la wasomi wengi.
Sijui mnautazamaje ujio wa robots and AI technology nyie wasomi.
😂 mpaka disemba iishe tutaona mengi huko uchagani.Elimu ni nzuri kama pesa unazo nje ya hapo ni kujilisha upepo. Utawaamkia hadi wadogo zako siku moja na hizo elimu zako ukiwa hela huna 🤣
Hivi kuna mzazi anamlipia Mtoto wake Ada ya Masters degree?Kwa mtazamo wangu, wazazi wanapoteza pesa nyingi sana kusomesha watoto wao Master's Degree ambazo wangezitumia kuwafungulia miradi ya ujasiliamali na wakapata pesa.
Shida inakuja efficiency ya kazi kwa wasomi ni ndogo pia.Kama kuna kosa tunalifanya ni kuendelea kuidharau elimu. Someni kama kuna fursa ya kufanya hivyo...ili hata msipoajiliwa muweze kuweka ubora kwenye shughuli zingine mnazozifanya.
Tumekuwa tukidharau kazi za mikono kuwa ni za watu wasio na elimu lakini ukweli ni kwamba ajira nyingi zitapungua hivyo tegemeeni kazi za suluba kuwa kimbilio la wasomi wengi.
Sijui mnautazamaje ujio wa robots and AI technology nyie wasomi.
Kwamba najibadilisha tu ?. Kwa jamii yetu watu wengi wanasoma na kusomesha ili baada ya hapo wapate ajira.Mabadiliko yanaanza na wewe
Anaenda ku - master alivyosoma vile vya DegreeAu mtu anatoka 1st Degree anaunganisha na Masters.
Sasa sijui anaenda kusoma kumaster kitu gani.
Kweli ni ngumu ila mabadiliko yatakuwepo siku za mbeleniKwamba najibadilisha tu ?. Kwa jamii yetu watu wengi wanasoma na kusomesha ili baada ya hapo wapate ajira.
Sidhani kama hilo linawezekanaKweli ni ngumu ila mabadiliko yatakuwepo siku za mbeleni
Boss mi nasoma sana sina ajira lakini sidhani kama naweza kuacha kusoma. Cha msingi naangalia nachotaka sio jamii inatakajeSidhani kama hilo linawezekana
Efficiency ni ndogo kwa sababu wasomi wengi wanawaza mshahara na sio ufanisi katika kazi.Shida inakuja efficiency ya kazi kwa wasomi ni ndogo pia.