Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
hauna kapicha mkuu.. nataka nikimuona niwe nampisha njia
!
!
hahahahaha kaka sina kapicha kake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hauna kapicha mkuu.. nataka nikimuona niwe nampisha njia
kwa kipindi hicho ilikuwa lazima afanye hivyo bongo record ndio ilikuwa lazima ugonge bit hapo ngoma ifanye poa pia majani alikuwa na vihela vya kusumbua,alikuwa na kiburi kinyamaAfande Sele alilambwa makofi na P Funk halafu yeye ndio akaomba samahani. Yaani hii sio haki kabisa.
[emoji106]Ubabe wa aina hii uliisha 2007, siku hizi wana wanapambana na maisha, life la usela mavi ulishaisha, kufunga mtaa kwa maugomvi yalikuwa mambo ya zamani siku hizi people are advanced.
Halafu bado akafungasha virago kurudi morogoroAfande Sele alilambwa makofi na P Funk halafu yeye ndio akaomba samahani. Yaani hii sio haki kabisa.
Pembe la ngombe sku izi anapgana ngumiHammer Q
Balaa Yule ashawahj kumgonga kidukuPembe la ngombe sku izi anapgana ngumi
huyu huyu?Kingwendu
Alimpiga naniKingwendu
DuhDah!..umenikumbusha mkuu, inasemekana jamaa alitishiwa kufungiwa kuhudhuria mapambano yote ya ngumi hapa Tz asipoomba radhi hadharani,sikumbuki kama alifanya hayo.
Kwan kuna chid benz wawili??Kuna ambao wako fit ila sio watata hata kidogo mfano zola d.
Nadhani post ilitaka ambao watata, yaani ngumi mkononi.
Iwe hivi;
Hao watu ni watata sana na ni wakorofi by nature, ukizingua tu wala hawacheleweshi kurusha ngumi.
- Bou Nako
- Kala pina
- P Funk
- Fido Vato
- Chid Benz(yule wa zamani)
- Dudubaya
Kweli kabisa maana pesa ndo ubabeProf Jay,Sugu,Mond.
Yote ni maisha - Madee (Chorus kaimba Majani), Famous - Jay Moe (Chorus Majani) na zingine nyingiplease 4give me =majani ft dully sykes
Nimecheka sanaa,unatumia kali au k vant??Huyu Huyu anaeoga maji ya tangawizi?
Huyu Huyu anaeoga maji ya tangawizi?
Nimecheka sanaa,unatumia kali au k vant??
Mkuu kuna majibu mengine acha tu ,[emoji1][emoji1][emoji23][emoji23]
Napiga miguu yote mkuuNimecheka sanaa,unatumia kali au k vant??