Hivi Kibongobongo ni msanii gani ni mbabe yaani 'Ngumi Jiwe' zaidi ya wote?

Hivi Kibongobongo ni msanii gani ni mbabe yaani 'Ngumi Jiwe' zaidi ya wote?

!
!
Hivi tukiongelea ubabe, ununda, kiasi kwa akianzisha varangati hakuna msanii mwenzake atakayemuweza..yaani ukimchokoza tu anafunga mtaa.

Huku mtaani kuna hawa jamaa wanatajwa sana

Zola D
Kalapina
Nay wa Mitego
Profesa Jay
Chid Benz
Dudu Baya
bou nako
p funky
fido Vato
lord eyes


Wewe unahisi nani ni fire?

Sensei Kenny......Yupo Kibaha Hapo. Maaanina gusa unate
 
Kuna ambao wako fit ila sio watata hata kidogo mfano zola d.
Nadhani post ilitaka ambao watata, yaani ngumi mkononi.
Iwe hivi;
- Bou Nako
- Kala pina
- P Funk
- Fido Vato
- Chid Benz(yule wa zamani)
- Dudubaya
Hao watu ni watata sana na ni wakorofi by nature, ukizingua tu wala hawacheleweshi kurusha ngumi.
 
Hivi tukiongelea ubabe, ununda, kiasi kwa akianzisha varangati hakuna msanii mwenzake atakayemuweza..yaani ukimchokoza tu anafunga mtaa.

Huku mtaani kuna hawa jamaa wanatajwa sana

Zola D
Kalapina
Nay wa Mitego
Profesa Jay
Chid Benz
Dudu Baya
bou nako
p funky
fido Vato
lord eyes


Wewe unahisi nani ni fire?
Ubabe wa aina hii uliisha 2007, siku hizi wana wanapambana na maisha, life la usela mavi ulishaisha, kufunga mtaa kwa maugomvi yalikuwa mambo ya zamani siku hizi people are advanced.
 
kuna fight moja ya kaseba na cheka ilpgwa jamhuri-moro, kaseba alchezea sn vitasa mara paap akatokea Zora dah! jamaa almrusha cheka kutoka kwenye ring hadi nje kama kashka karatasi
Dah!..umenikumbusha mkuu, inasemekana jamaa alitishiwa kufungiwa kuhudhuria mapambano yote ya ngumi hapa Tz asipoomba radhi hadharani,sikumbuki kama alifanya hayo.
 
Back
Top Bottom