Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi tukiongelea ubabe, ununda, kiasi kwa akianzisha varangati hakuna msanii mwenzake atakayemuweza..yaani ukimchokoza tu anafunga mtaa.
Huku mtaani kuna hawa jamaa wanatajwa sana
Zola D
Kalapina
Nay wa Mitego
Profesa Jay
Chid Benz
Dudu Baya
bou nako
p funky
fido Vato
lord eyes
Wewe unahisi nani ni fire?
hauna kapicha mkuu.. nataka nikimuona niwe nampisha njia!
!
Sensei Kenny......Yupo Kibaha Hapo. Maaanina gusa unate
Bongo movie ni Lulu upande wa kusukuma na bongo fleva ni mtoto Nandy nasikia ana ngumi kali sana
Hivi boxer na wazee martial arts nani mbayaaaSasa chidi benzi si anapigwa hata na mke wangu.. hapo mbabe ni fido vato peke yake sababu ni mzuri kwenye martial arts .Zola D ni boxing na kala pina hamna kitu..
Kwa mbaali??????labda kwa mbaaaaali zola d
Watu wnanamchkkulia poa kisa mbungee etiProf J
Mmmmh huyo Nunda hatareeeehWatu wnanamchkkulia poa kisa mbungee eti
Boxer bwege tu kwa hao jamaaHivi boxer na wazee martial arts nani mbayaaa
Hivi boxer na wazee martial arts nani mbayaaa
Ubabe wa aina hii uliisha 2007, siku hizi wana wanapambana na maisha, life la usela mavi ulishaisha, kufunga mtaa kwa maugomvi yalikuwa mambo ya zamani siku hizi people are advanced.Hivi tukiongelea ubabe, ununda, kiasi kwa akianzisha varangati hakuna msanii mwenzake atakayemuweza..yaani ukimchokoza tu anafunga mtaa.
Huku mtaani kuna hawa jamaa wanatajwa sana
Zola D
Kalapina
Nay wa Mitego
Profesa Jay
Chid Benz
Dudu Baya
bou nako
p funky
fido Vato
lord eyes
Wewe unahisi nani ni fire?
Dah!..umenikumbusha mkuu, inasemekana jamaa alitishiwa kufungiwa kuhudhuria mapambano yote ya ngumi hapa Tz asipoomba radhi hadharani,sikumbuki kama alifanya hayo.kuna fight moja ya kaseba na cheka ilpgwa jamhuri-moro, kaseba alchezea sn vitasa mara paap akatokea Zora dah! jamaa almrusha cheka kutoka kwenye ring hadi nje kama kashka karatasi
ndiyo mkuuWewe ni msanii?
ndiyoK
Kwa mbaali??????