Hivi Kibongobongo ni msanii gani ni mbabe yaani 'Ngumi Jiwe' zaidi ya wote?

Hivi Kibongobongo ni msanii gani ni mbabe yaani 'Ngumi Jiwe' zaidi ya wote?

Jamaa anafundisha wanyanyua vyuma na watunisha misuli uarabuni ,anapiga mishe za kuwatrain mara yuko US ,urabuni ,south africa ,north africa ,na hata ubaunsa wa kulipwa .Kwa wasanii wa bongo Zola D anawakalisha wote
Ulikua unamjua mwibalanga enzi ya billz miaka ya 2000
 
Keyboard warrior
Pina mweupe tu alitakaga kuyakanyaga kwa smbdy anaitwa stiba, Ilibidi aombee poo atafute suluhu
Stiba alikuwa mtoto wa kitanga Ana muku
Pina Ilibidi aombe ushkaji na stiba

Ova
 
Pina mweupe tu alitakaga kuyakanyaga kwa smbdy anaitwa stiba, Ilibidi aombee poo atafute suluhu
Stiba alikuwa mtoto wa kitanga Ana muku
Pina Ilibidi aombe ushkaji na stiba

Ova
alikuwa ni msanii.... kapicha kake basi
 
kati ya wote hao sijaona wa kuniyumbisha wote maji baridi tu hao
 
Sasa chidi benzi si anapigwa hata na mke wangu.. hapo mbabe ni fido vato peke yake sababu ni mzuri kwenye martial arts .Zola D ni boxing na kala pina hamna kitu..
 
Back
Top Bottom