saleni
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 1,880
- 2,843
Kabisa, alafu MTU poa kweli ukimzoea.Aaah wap zola d.. namba nyinginee mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, alafu MTU poa kweli ukimzoea.Aaah wap zola d.. namba nyinginee mkuu
Jamaa ni GYM TRAINER...Zola D mwenyew anajiita moto wa tipa
Jana kapigwa roba ya kike nadhani muda huu anakandwa kwa chumviUlishaona mondi kapigwa mtama kiboyaa.
Au amesoma hii thread
hahaha watu mna machooJana kapigwa roba ya kike nadhani muda huu anakandwa kwa chumvi
Ulikua unamjua mwibalanga enzi ya billz miaka ya 2000Jamaa anafundisha wanyanyua vyuma na watunisha misuli uarabuni ,anapiga mishe za kuwatrain mara yuko US ,urabuni ,south africa ,north africa ,na hata ubaunsa wa kulipwa .Kwa wasanii wa bongo Zola D anawakalisha wote
Mwepesi tu nae hajakutana na wajuzi,boss wake mwibalanga unamkumbuka enzi za billz miaka ya 2000Zolla d yuko fit wengine wote hapo maneno tu
Ova
Alikuwa anafanyaje... Tupe mastoryMwepesi tu nae hajakutana na wajuzi,boss wake mwibalanga unamkumbuka enzi za billz miaka ya 2000
Duh umenikumbusha Enzi za bills Kuna jamaa walikuwa wanaitwa wutang Watoto wa kkoMwepesi tu nae hajakutana na wajuzi,boss wake mwibalanga unamkumbuka enzi za billz miaka ya 2000
Pina mweupe tu alitakaga kuyakanyaga kwa smbdy anaitwa stiba, Ilibidi aombee poo atafute suluhuKeyboard warrior
alikuwa ni msanii.... kapicha kake basiPina mweupe tu alitakaga kuyakanyaga kwa smbdy anaitwa stiba, Ilibidi aombee poo atafute suluhu
Stiba alikuwa mtoto wa kitanga Ana muku
Pina Ilibidi aombe ushkaji na stiba
Ova
please 4give me =majani ft dully sykes
Kwani kaseba ni mwanamziki?Japhet kaseba anamchakaza Zola d ndani ya sekunde
Sio Adam MabangeEmanuel mbasha
Wewe ni msanii?kati ya wote hao sijaona wa kuniyumbisha wote maji baridi tu hao