Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chai ya maziwa kakaKuna story kwamba Kalapina aliwahi kuwatishia Nako2Nako kuwapa kisago wakaogopa na kukimbilia Arusha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kweli au chai ?
Hip hop.. nenda youtube utaona nyimbo zakeKwani huyo Zola D ni msanii wa nini? Mnaweza nisaidia kapicha?
Bu Nakko kolo tuUnamzungumziaje Bu Nakko
Mzee kwa kusifia tu uko vizuri, au wewe ni Zola mwenyewe?Zola kacheza michezo yote ya ngumi unayojua wewe.
Angalia post #57Kwani huyo Zola D ni msanii wa nini? Mnaweza nisaidia kapicha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu angalia kwanza sura zenyewe halafu uniambie pina atamkalisha vipi Zola DView attachment 1541257View attachment 1541258View attachment 1541259
HahahaMzee kwa kusifia tu uko vizuri, au wewe ni Zola mwenyewe?
Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
Uafande ni brotherhood sio ukiwa pekeakoDuh afande alishindwa kutumia mafunzo yake
Keyboard warriorMtoto mdogo hapa salute
Naongea na kaka zake
Mziki huu cv hii mwenyewe anaijua
Ova
Nakumbuka hili tukio......Uyo Zola d a.k.a unde.....Ni noma alikalisha wote na aliingia Hadi kwenye ulingokuna fight moja ya kaseba na cheka ilpgwa jamhuri-moro, kaseba alchezea sn vitasa mara paap akatokea Zora dah! jamaa almrusha cheka kutoka kwenye ring hadi nje kama kashka karatasi
Cv yngu rekodi zng tu anazijuaKeyboard warrior
Bou hafai kaka.. Msikie tuMtu kama Bou Nako najua kabisa yupo vizuri na ni Mtu wa karate tangu zamani na mazoezi sana, so ana technic na pumzi ya kutosha na alishampiga kalapina na mshkaji wake.
Lord eyes pia, hao wengine wa DSM sijui kwakweli
Hapo Ngumi Jiwe ni:-
Kalapina
Zola D
Dudubaya Kashazeeka Pombe zimemuharibu kwasasa hata NYANDU TOZI anamkalisha DUDU.
Au amesoma hii threadPina nimemwona juz anapiga tizi kiroho mbaya atakuja kuwatoa roho wenzie
Adam MchomvuHivi tukiongelea ubabe, ununda, kiasi kwa akianzisha varangati hakuna msanii mwenzake atakayemuweza..yaani ukimchokoza tu anafunga mtaa.
Huku mtaani kuna hawa jamaa wanatajwa sana
Zola D
Kalapina
Nay wa Mitego
Profesa Jay
Chid Benz
Dudu Baya
bou nako
p funky
fido Vato
lord eyes
Wewe unahisi nani ni fire?