Hivi Kibongobongo ni msanii gani ni mbabe yaani 'Ngumi Jiwe' zaidi ya wote?

Hivi Kibongobongo ni msanii gani ni mbabe yaani 'Ngumi Jiwe' zaidi ya wote?

Pina ananiamkia shikamoooo
Kabla ya kikosi kuwepo block 41
Pina bado dogo sana, blok kulikuwa na maskani inaitwa Indianapolis kaka zake ndiyo walikuwa pale
Pina kama pina ni mtu muoga hakuna mfano
Upande huo wa kwao mtu aliyekuwa vzr Labda Dani kwa wakati huo
Ila Zola d yuko fit anacheza ngumi anapiga mateke
Usipime.......

Ova
mbona anaonekana na anasifikA kama mtata hivi... au ndo mikwala
 
Hiyo list yako bila Msaga sumu sijaielewa bado jamaa nasikia ni hatari waimba singeli wenzake wengi amewakalisha wakimzingua
 
Mtu kama Bou Nako najua kabisa yupo vizuri na ni Mtu wa karate tangu zamani na mazoezi sana, so ana technic na pumzi ya kutosha na alishampiga kalapina na mshkaji wake.

Lord eyes pia, hao wengine wa DSM sijui kwakweli
 
Pina ananiamkia shikamoooo
Kabla ya kikosi kuwepo block 41
Pina bado dogo sana, blok kulikuwa na maskani inaitwa Indianapolis kaka zake ndiyo walikuwa pale
Pina kama pina ni mtu muoga hakuna mfano
Upande huo wa kwao mtu aliyekuwa vzr Labda Dani kwa wakati huo
Ila Zola d yuko fit anacheza ngumi anapiga mateke
Usipime.......

Ova
Sasa wewe si ushakuwa legend saivi na kitambi?
Sema mzee baba hakuna usilojuaga dar yotee
 
Back
Top Bottom