lukubuzo Samsis
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 2,920
- 3,388
Ndo maana alitaka kwenda kupigana na kina J.Cena,akaambiwa aongeze uzito kwanza.Mpaka mieleka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana alitaka kwenda kupigana na kina J.Cena,akaambiwa aongeze uzito kwanza.Mpaka mieleka?
fido vato je?Mtu kama Bou Nako najua kabisa yupo vizuri na ni Mtu wa karate tangu zamani na mazoezi sana, so ana technic na pumzi ya kutosha na alishampiga kalapina na mshkaji wake.
Lord eyes pia, hao wengine wa DSM sijui kwakweli
mzee unapiga dry au na sigara kali?Lady Jd nasikia ndio wanamuita comando
huyo Zola d inaonekana sio mtu wa matukioHebu angalia kwanza sura zenyewe halafu uniambie pina atamkalisha vipi Zola DView attachment 1541257View attachment 1541258View attachment 1541259
Mkasa mzima uko hapa..Huyu bou nako naskia washakaj wa kikosi cha mizinga 6 aliwakalisha mpk wakamjia na nondo ndo wakampatia
kaseba sijui aliishiaga wapiJaphet kaseba anamchakaza Zola d ndani ya sekunde
zola kumbe ni boxer?Ndo maana alitaka kwenda kupigana na kina J.Cena,akaambiwa aongeze uzito kwanza.
huyo Zola d inaonekana sio mtu wa matukio
Zola kacheza michezo yote ya ngumi unayojua wewe.zola kumbe ni boxer?
DuhZola D msimlinganishe na hao wachumba, anaweza kuvunjavunja mtu kwa mikono yake!
Yuko vizuri na bado anazingatia mazoezi daily, Yuko fiti Sana!
Huyo kalapina akipewa jab moja tu mnachimba kaburi!
Au ughaibunkaseba sijui aliishiaga wapi
Sijui kwann bongo harakati kama xa jamaa hawazipi kipaumbeleZola kacheza michezo yote ya ngumi unayojua wewe.
kuna fight moja ya kaseba na cheka ilpgwa jamhuri-moro, kaseba alchezea sn vitasa mara paap akatokea Zora dah! jamaa almrusha cheka kutoka kwenye ring hadi nje kama kashka karatasiJaphet kaseba anamchakaza Zola d ndani ya sekunde
Unamzungumziaje Bu NakkoZola D anakalisha mandezi wote ila kwa pina anaweza akakaa
Bou ni mtata kweli.. sidhani kama kuna anayemuingia..Mbona naskia yule bou nako sijui aliwadhibit jamaa wa kikosi cha mizinga kama sita hivi wakampiga na nondo wenzake kuskia wakala kona..
Zola hatari,kacheza michezo yote yuko fit hatari.Usicheze na ule moto.Bou ni mtata kweli.. sidhani kama kuna anayemuingia..
Huyo Zola D naona ni mwili tu, technique za kimedani sijui kama anazo.
Huyu Huyu anaeoga maji ya tangawizi?Mboso ni hatari zaidi