Hivi kijana unaejielewa inakuaje hadi unaoa single mother?

Hivi kijana unaejielewa inakuaje hadi unaoa single mother?

Hakuna mtu ana options nyingi kama mwanaume, kwann unaoa single mother, katika wanawake wote hawa hujapata kweli ambaye hana watoto?

We ni mwanaume, unataka kuanzisha familia, inakuaje unaenda kuchukua mtu ambaye tayar ana kifamilia chake pembeni?

Mwanaume mwenzangu, take your time choosing your woman, usikurupuke, utapata tuu mwanamke unayemtaka.

Unaanzishaje maisha na mtu ambaye tayar yuko One step ahead of you.

Kuna raha yake wote wawili mwanamke na mwanaume mkikaribisha mtoto wenu wa kwanza duniani.

Hata kama unampenda, achana nae utapata tu unayemtaka, najua inauma ila nakuhakikishia kuna siku utaamka hayo maumivu hayatokuwepo tena.
Mwingine utamsikia anasema "Huyu ni soulmate wangu", nakwambiaje hakuna kitu kama "Soulmate" hapa duniani, (yaan kwamba kuna mtu amezaliwa kwa ajili yako tuu na wewe umezaliwa kwa ajili yake tuu) hayo mapokeo ya "Soulmates" yameanzishwa na wagiriki zamani huko hayana ukweli wowote, ni kama tuu wanawake wanavodanganyana "ooh sijui mm ni Sagittarius au Virgo" yaan haiwezekani mpangilio wa nyota huko angani wakati unazaliwa ika-determine personality yako, hio kitu haipo na hata huyo unayemwita "Soulmate" mnalishana uongo tuu.
Ndoa ni muunganiko wa watu wawili mwanamke na mwanaume, wenye kasoro na tofauti nyingi tuu sio lazima waendane kila kitu, ila katika kuishi mnajikuta hizo kasoro zina neutralise.
Ewe mwanaume usiendekeze huo ujinga wa "soulmate" utakugharimu.

Unaponunua gari used, unalipia matatizo yalisababishwa na mwanaume mwingine. (I'm not talking about cars)

kama mwanaume una kila sababu ya kuanzisha familia na mtu ambaye hana watoto, kwann unaenda kuoa single mother?

Don't marry single mothers,
They don't need Love,
They need help.​
Mh sasa kama ndohivyo single mothers wataolewa na nan? Au unamaanisha wakae bila ndoa?
 
Nigga!! Nigga!!! Nigga!!
How many times did I call you?
Nilifanya kama wewe tena kwa kufichwa baadae ndio mtoto akaletwa toka kwao, nikajivesha mahogo..
Mwaka wa kumi ulivyoingia Booom shakaraka!!! Maisha yangu yakasambaratishwa kisa yule yule mtoto niliyemkuta nae..
Now I'm like a living dead.
I dont want to hear about marriage and I dont wanna get in bed with a woman till death..





Cc Atoto
Polee mzee
 
Mimi naona hapa kila mtu aamue vile nafsi yake imemtuma.

Maswala ya kupangiana cha kufanya hapana.

Mtu kama unaona unaweza ishi na single mother sawa.

Kama moyo wako hauna amani kuwa nae acha.
 
Hao single mother ushawaona lakini?
d84143354770c96f482cee14029bceb1.gif
 
Hao single mother ushawaona lakini?
View attachment 3094281
Yaan hizo move za mikono na vile anaweka sura ndio inaleta picha kamili ya hao viumbe.

Kuna mwingine hapa sasa hivi katoka kuniambia ooh nimechoka nishafunga virago vyangu, nataka kuondoka kwangu nikaishi maisha yangu ya amani..
Nikamuuliza una watoto?
Kajibu: wawili na wote wa huyu mwanaume.
Nimemwambia tu kuwa ukiondoka ujue kabisa umeisha, hutaweza kupambana na hii dunia.

Utawika kwa miezi kadhaa yaani nilivyomwambia kuwa hata buku nne ya dawa ya mtoto itasababisha atanue mapaja bila chaguo kaogopa kisenge na kunisikiliza kwa makini sana, akanipa na reference kwao kuna shangazi yake keshamuonya maana yeye ni mkubwa kishenzi like 49 but anatamani angekuwa kwenye ndoa, but kabaki kuwa single mother.
Manz akachukulia aunt yake anataka tu yeye abakie kwenye himaya ya mwamba but baada ya kunisikiliza kwa muda kuwa wakwangu nae aliondoka huu mwezi wa sita na ninachopanga kumfanyia ni suprise yaani.

Nampelekea vitu vyote ili nihame mkoa kabisa kaogopa sana na kuanza kumuombea mwenzake msamaha.
Lakini kusikia nasema kuwa yule hana nafasi tena kwangu maana nilimkuta singo mama but nikamuoa then ameleta habari za kumove on nimemwambia atulie ili achukue funzo kwa huyu wa kwangu.
Asidhani kuwa kila mwanaume anapofanya maamuzi anatoa taarifa..
Mimi niliapa hatua zangu zote zitakuwa ni suprise kwake yaani atashangaa tu picha limeisha yamebaki matokeo aliyoyaandaa mwenyewe..
Kama nakosea ni sawa but I need to be free from these suckers and heart diseases.
 
Hakuna mtu ana options nyingi kama mwanaume, kwann unaoa single mother, katika wanawake wote hawa hujapata kweli ambaye hana watoto?

We ni mwanaume, unataka kuanzisha familia, inakuaje unaenda kuchukua mtu ambaye tayar ana kifamilia chake pembeni?

Mwanaume mwenzangu, take your time choosing your woman, usikurupuke, utapata tuu mwanamke unayemtaka.

Unaanzishaje maisha na mtu ambaye tayar yuko One step ahead of you.

Kuna raha yake wote wawili mwanamke na mwanaume mkikaribisha mtoto wenu wa kwanza duniani.

Hata kama unampenda, achana nae utapata tu unayemtaka, najua inauma ila nakuhakikishia kuna siku utaamka hayo maumivu hayatokuwepo tena.
Mwingine utamsikia anasema "Huyu ni soulmate wangu", nakwambiaje hakuna kitu kama "Soulmate" hapa duniani, (yaan kwamba kuna mtu amezaliwa kwa ajili yako tuu na wewe umezaliwa kwa ajili yake tuu) hayo mapokeo ya "Soulmates" yameanzishwa na wagiriki zamani huko hayana ukweli wowote, ni kama tuu wanawake wanavodanganyana "ooh sijui mm ni Sagittarius au Virgo" yaan haiwezekani mpangilio wa nyota huko angani wakati unazaliwa ika-determine personality yako, hio kitu haipo na hata huyo unayemwita "Soulmate" mnalishana uongo tuu.
Ndoa ni muunganiko wa watu wawili mwanamke na mwanaume, wenye kasoro na tofauti nyingi tuu sio lazima waendane kila kitu, ila katika kuishi mnajikuta hizo kasoro zina neutralise.
Ewe mwanaume usiendekeze huo ujinga wa "soulmate" utakugharimu.

Unaponunua gari used, unalipia matatizo yalisababishwa na mwanaume mwingine. (I'm not talking about cars)

kama mwanaume una kila sababu ya kuanzisha familia na mtu ambaye hana watoto, kwann unaenda kuoa single mother?

Don't marry single mothers,
They don't need Love,
They need help.​
Sina cha kuongeza wala kupunguza, NAKAZIA tu.
 
Yaan hizo move za mikono na vile anaweka sura ndio inaleta picha kamili ya hao viumbe.

Kuna mwingine hapa sasa hivi katoka kuniambia ooh nimechoka nishafunga virago vyangu, nataka kuondoka kwangu nikaishi maisha yangu ya amani..
Nikamuuliza una watoto?
Kajibu: wawili na wote wa huyu mwanaume.
Nimemwambia tu kuwa ukiondoka ujue kabisa umeisha, hutaweza kupambana na hii dunia.

Utawika kwa miezi kadhaa yaani nilivyomwambia kuwa hata buku nne ya dawa ya mtoto itasababisha atanue mapaja bila chaguo kaogopa kisenge na kunisikiliza kwa makini sana, akanipa na reference kwao kuna shangazi yake keshamuonya maana yeye ni mkubwa kishenzi like 49 but anatamani angekuwa kwenye ndoa, but kabaki kuwa single mother.
Manz akachukulia aunt yake anataka tu yeye abakie kwenye himaya ya mwamba but baada ya kunisikiliza kwa muda kuwa wakwangu nae aliondoka huu mwezi wa sita na ninachopanga kumfanyia ni suprise yaani.

Nampelekea vitu vyote ili nihame mkoa kabisa kaogopa sana na kuanza kumuombea mwenzake msamaha.
Lakini kusikia nasema kuwa yule hana nafasi tena kwangu maana nilimkuta singo mama but nikamuoa then ameleta habari za kumove on nimemwambia atulie ili achukue funzo kwa huyu wa kwangu.
Asidhani kuwa kila mwanaume anapofanya maamuzi anatoa taarifa..
Mimi niliapa hatua zangu zote zitakuwa ni suprise kwake yaani atashangaa tu picha limeisha yamebaki matokeo aliyoyaandaa mwenyewe..
Kama nakosea ni sawa but I need to be free from these suckers and heart diseases.
Mkuu, kwa maelezo haya Single mother wataendelea kuimbwa mno.
 
Asanteni wadau wote ambao mmenikaribisha hapa kwa kuni-tag.

Kwa kipindi kirefu mahusiano ya kimapenzi yamekua ni utapeli kwa mwanaume, mbaya zaidi utapeli huu umehalalishwa na kufanywa ndio ustaarabu wa maisha hapa duniani.

Inasikitisha sana kuona mwanaume anaanza kupambana na maisha akiwa chini kwenye struggling phase huku wanawake alioingia nao kwenye age ya ujana wanamkwepa na kuchagua hoe and partying life style wakiwa sambamba na bad boyz na sugar dadz ambao washajipata

Halafu huyu mwanaume ambae bado ana-struggle na maisha akija kujipata badala ya yeye kula maisha akiwa hapo kwenye peak yake anaoa kahaba mstaafu ambae aliemfungia vioo akiwa kwenye strggling phase.

Ndio maana huwa nawaambia vijana, mwanamke ambae unaingia nae pamoja kwenye age ya ujana uyo sio mwanamke wa kiwango chako, uyo ni mwanamke wa kiwango cha wanaume wengine ambao wapo 30s na 40s. Kwa sababu kipindi ambacho mpo kwenye iyo age moja yeye thamani yake ni kubwa kuliko thamani yako.

Thamani ya mwanamke ni mwili wake na thamani ya mwanaume ni mali, kubali ukweli kwamba uyo mwanamke ambae ni age mate wako sio wa standard yako pambana kutengeneza thamani yako na pale utakapojipata kula maisha kwanza tembeza libolo ipasavyo mpaka ukifika wakati utakapoamua kuoa don't settle for less. Single mothers na makahaba wastaafu piga chini wote hao.

Single mother hakupendi, anachokitaka kutoka kwako ni uhakika wa kula na kulala yeye na mtoto wake.

Naomba nirudie tena, hakupendi, anahitaji umsitiri baada ya soko lake kushuka ivyo sio hitaji la bad boys boyz tena

Trust me, angekua amejipata na yupo katika peak yake ile siku ulivyomtongoza angekuambia hamuendani yaani hauna hadhi ya kudate na yeye.

Mtoto wa single mother hatokuja kuwa mtoto wako, kama unahitaji kuitwa baba adopt mtoto kwenye kituo cha kulea watoto yatima, lakini mtoto wa single mother sio mtoto wako.

Hakubakwa, mzazi mwenzie hajafa, kaa mbali hapo mzee mwenzangu. Kupasha kiporo na baba mtoto ni suala la right time na right place tu.

Baba, mama, kaka, dada na ndugu zako wamekaa kimya kuheshimu maamuzi yako lakini ukweli ni kwamba hawajafurahia maamuzi yako ya kuwa na single mother.

Kuoa single mother ni kuidhalilisha familia yako, marafiki zako na ukoo wako.
Niongeze nini tena hapa? Umemaliza kilakitu...mwenye macho na aone, mwenye sikio na asikie.
 
Hao single mothers wanaopondwa kila uchao ni matokeo ya muunganiko kati yao na wanaume. Lkn kwa sababu zozote ziwazo mwanamke akaja kuwa single mother.

Kwamba kuna single mothers hawaiatulia haindoi ukweli kwamba kuna wanaojielewa na wametulia.

Nilioa single mother(mtoto mmoja) hadi leo tunaishi vizuri kabisa.

Baba wa mtoto haifahamiki aliko ni mwaka wa 9 huu toka mke wangu atelekezwe.

Sijawahi kujutia kuwa nae maishani. Niko nae kwa miaka mitatu sasa.
Muda utaongea.
 
Back
Top Bottom