Hivi kuna kabila lenye watu wenye roho mbaya kama Wasagara?

Hivi kuna kabila lenye watu wenye roho mbaya kama Wasagara?

Status
Not open for further replies.
Walikuwepo wazuri kinoma [emoji38] kienyeji kabisa. Mimi nilikuwa naenda wikiend na marafiki zangu wanaume, sometimes tulikuwa tunasafiri kama adventure tu, tukiwa kule mida ya jioni jioni hivi unashangaa wanaume wote wamepotea katika mazingira yakutatanisha wameenda kusaka mbususu za kienyeji [emoji1]
Aiseee hebu nipe ramani

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Ila Tanzania ukisikia Kuna makabila 120 c mchezo,ukianza kuyatacha ayafiki 50 unayoyafahamu.Kila wilaya Tanzania Kuna kabila kubwa mwenyeji.
 
Sasa hao wamasai kwa nini wasifike saa kumi kabisa? Kuwahi kazini ni moja ya indication kwamba mtu yuko serious... Ila nimecheka wamasai kupiga matuta [emoji23][emoji23]
Sijui kwa sehemu zingine lakini kule kwangu maboma yao mengi unakuwa wanawake na watoto labda na vijana wadogo tu wanaume wakubwa sijui hata wameendaga wapi (may be wameondokaga na mifugo/kuhama hama) Sasa wale wamama walobaki namna pekee ya kupata pesa ni kupiga kazi mashambani.
 
Hawa ndugu zetu wanaparikana wilaya za Kilosa,Morogoro naKilolo ,Iringa.

Hawa ndio wale Carl Peters aliingia mkataba na chief wao jamaa fulani hivi mjanja ila alikuwa hajui kusoma,Chief Mangungo.

Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.

Ukikodi shamba watakukodisha shamba lisilo na rutuba ili mradi tu usivune.

Ukinunua miche au mbegu kwao watakuuzia ile hafifu ili i usivune.

Kulisha sumu mifugo ya wenzao ni kawaida sana.

Ruaha mbuyuni ni kata ila imekuwa na kituo cha polisi tangu enzi za mkoloni chenye hadhi ya wilaya kutokana na matukio ya wasagara.

Kuuna na kutupana vichakani au kurogana ni kawaida sana hawa jamaa.

Kwanza huwezi kujua kama wanaexist kwenye miji mingine

Nilishangaa Mwanza na Tanga kuna sehemu zinaitwa Usagara

Badilikeni washkaji
Ushawahi kutana na warangi wewe?...jamaa wana roho za hovyo sana
 
Walikuwepo wazuri kinoma 😆 kienyeji kabisa. Mimi nilikuwa naenda wikiend na marafiki zangu wanaume, sometimes tulikuwa tunasafiri kama adventure tu, tukiwa kule mida ya jioni jioni hivi unashangaa wanaume wote wamepotea katika mazingira yakutatanisha wameenda kusaka mbususu za kienyeji 😄
Ulikuwa msosa,kware,mtandika,malolo au kinusi
 
Mkuu ulikaa na wasukuma wa wapi?
Maana wasukuma wanapatikana katika mikoa ya Mwanza,Geita,Shinyanga,Simiyu,Tabora na kwa sasa wameukamata mkoa wa Katavi.
Na kila mkoa wana viutamaduni vyao vidogovidogo vinavyowatofautisha na mkoa mwingine mf namna ya kuongea pengine na aina ya maisha.
Wasukuma wa Mwanza ni tofauti kabisa na wale wa Tabora japo wote ni wasukuma.
Wale wa Simiyu pia wana maneno yao ambayo ni mara chache kuyasikia Tabora na Mwanza.

Sasa ukisemea roho mbaya kwa wasukuma sijui unakuwa unazungumzia msukuma wa wapi tu,maana sisi Mwanza unaweza kwenda kwenye mji wowote ukaomba kupikiwa chakula na ukala bila shida,mashamba haya zamani wasiokuwa nayo unapewa tu kulima kwa wale wasiokuwa na mashamba ya kutosha na hamna shida kabisa,ubaguzi wa makabila mengine hakuna kabisa cha msingi jitahidi tu ujue lugha yao japo kidogo itakusaidia sana kupata unachokitaka maana wana utaratibu wa kumpuuza asiyejua wana ile hali ya kuamini kila mtu anajua tu kisukuma.
Unajua magufuli alifanya watu wadhani wasukuma wako vile,ila yule jamaa
 
Chifu Mangungo of Msovero. Msowero huko!
Hapo huwa naamini ndiyo kwenye chimbuko la utapeli. Hapo utakuta babu bibi watoto wajukuu wote matapeli wa ardhi! Kijiji kizima wanashirikiana kukuua, wanaweza kumkodisha mtu shamba la mpunga hata mahindi kiangazi kukavu, msimu wa mvua bwawa la kambale, hapalimiki!

Wageni wakifika huko mawili wapigwe au wakiwa wajanja wanachomoka.
Huko ni kawaida Sana wazee kukusakizia binti yao, mradi uwe kibarua Mgunda!

Kwa uchawiii wamesimama! Unalima wewe, bukula wanavuna wao!

Hizo wilaya za zamani lakini kamwe haziwezi kuendelea
 
Hawa ndugu zetu wanaparikana wilaya za Kilosa,Morogoro naKilolo ,Iringa.

Hawa ndio wale Carl Peters aliingia mkataba na chief wao jamaa fulani hivi mjanja ila alikuwa hajui kusoma,Chief Mangungo.

Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.

Ukikodi shamba watakukodisha shamba lisilo na rutuba ili mradi tu usivune.

Ukinunua miche au mbegu kwao watakuuzia ile hafifu ili i usivune.

Kulisha sumu mifugo ya wenzao ni kawaida sana.

Ruaha mbuyuni ni kata ila imekuwa na kituo cha polisi tangu enzi za mkoloni chenye hadhi ya wilaya kutokana na matukio ya wasagara.

Kuuna na kutupana vichakani au kurogana ni kawaida sana hawa jamaa.

Kwanza huwezi kujua kama wanaexist kwenye miji mingine

Nilishangaa Mwanza na Tanga kuna sehemu zinaitwa Usagara

Badilikeni washkaji
Hao wasagara tunawasoma ktk vitabu tu. Ila mkoa wa morogoro hauna sifa ya watu wenye roho mbaya labda midomo tu waluguru na wapogoro wengine wapole sana tu
 
Chifu Mangungo of Msovero. Msowero huko!
Hapo huwa naamini ndiyo kwenye chimbuko la utapeli. Hapo utakuta babu bibi watoto wajukuu wote matapeli wa ardhi! Kijiji kizima wanashirikiana kukuua, wanaweza kumkodisha mtu shamba la mpunga hata mahindi kiangazi kukavu, msimu wa mvua bwawa la kambale, hapalimiki!

Wageni wakifika huko mawili wapigwe au wakiwa wajanja wanachomoka.
Huko ni kawaida Sana wazee kukusakizia binti yao, mradi uwe kibarua Mgunda!

Kwa uchawiii wamesimama! Unalima wewe, bukula wanavuna wao!

Hizo wilaya za zamani lakini kamwe haziwezi kuendelea
Kweli unawajua,kilosa kweli ya ling time ila mambo yao
 
Hao wasagara tunawasoma ktk vitabu tu. Ila mkoa wa morogoro hauna sifa ya watu wenye roho mbaya labda midomo tu waluguru na wapogoro wengine wapole sana tu
Unadhani wasagara nistory tu za kwenye vitabu vya history,wapo wanaexist wapole ndio hawana midomo ila mambo yao hatari
 
Mm sio msagara ila mtoa post asichafue watu bila sababu asee hao wasagara huji skia wana ishu za hovyo basi tu mtoq mada kaamua kuwachafua bure ila niwatu poa sana ndiomqnq husikii chochote chaajabu kuhusu wao kuhusu kulima na kusaidiqna ni uongo mtupu huyo kakutana na nduguzake wana roho mbayq sasa anataka kufanya wote wenye kabila hilo ni wabaya
 
Hawa ndugu zetu wanaparikana wilaya za Kilosa,Morogoro naKilolo ,Iringa.

Hawa ndio wale Carl Peters aliingia mkataba na chief wao jamaa fulani hivi mjanja ila alikuwa hajui kusoma,Chief Mangungo.

Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.

Ukikodi shamba watakukodisha shamba lisilo na rutuba ili mradi tu usivune.

Ukinunua miche au mbegu kwao watakuuzia ile hafifu ili i usivune.

Kulisha sumu mifugo ya wenzao ni kawaida sana.

Ruaha mbuyuni ni kata ila imekuwa na kituo cha polisi tangu enzi za mkoloni chenye hadhi ya wilaya kutokana na matukio ya wasagara.

Kuuna na kutupana vichakani au kurogana ni kawaida sana hawa jamaa.

Kwanza huwezi kujua kama wanaexist kwenye miji mingine

Nilishangaa Mwanza na Tanga kuna sehemu zinaitwa Usagara

Badilikeni washkaji
1. Wasagara
2. Wakara
3. Wasumbwa
4. Wamanyema
5. Wahaya
Hawa watu dah
 
Hawa ndugu zetu wanaparikana wilaya za Kilosa,Morogoro naKilolo ,Iringa.

Hawa ndio wale Carl Peters aliingia mkataba na chief wao jamaa fulani hivi mjanja ila alikuwa hajui kusoma,Chief Mangungo.

Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.

Ukikodi shamba watakukodisha shamba lisilo na rutuba ili mradi tu usivune.

Ukinunua miche au mbegu kwao watakuuzia ile hafifu ili i usivune.

Kulisha sumu mifugo ya wenzao ni kawaida sana.

Ruaha mbuyuni ni kata ila imekuwa na kituo cha polisi tangu enzi za mkoloni chenye hadhi ya wilaya kutokana na matukio ya wasagara.

Kuuna na kutupana vichakani au kurogana ni kawaida sana hawa jamaa.

Kwanza huwezi kujua kama wanaexist kwenye miji mingine

Nilishangaa Mwanza na Tanga kuna sehemu zinaitwa Usagara

Badilikeni washkaji
Hawa si ndio wanaitwa WAVIDUNDA?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom