Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna eneo njia ya kwenda Kilosa kutokea Dumila baada ya kumaliza mashamba ya mkonge panaitwa Msowero sasa sijui ni matamshi tu au ndo hapo msoveroMsovero ni wapi exactly? Iko wapi hiyo sehemu?
Dunia haiko fair..kubali tu walikua hawana akili ndio mana wamepoteza vyote walivyokua navyo.Kwa taarifa yako matajiri wamwanzo katika nchi hii walikuwa watu wa Pwani, na Jamii ya mwanzo kustaarabika Tanzania ilikuwa ni Pwani, kosa la watu wa Pwani ni kukaribisha jamii za washenzi wenye roho mbaya, chuki, ubinafsi na unafiki kwenye maeneo yao...
Watu wa Pwani ni jamii inayoamini kwenye usawa, upendo na haki.... Jamii ya watu wanaoridhika na kidogo na hofu kubwa kwa Mungu... Uungwana wao uliwaponza kwa kukaribisha washenzi wanaomini kwenye utajiri na ubinafsi, wasio na hofu ya Mungu, wezi, wanafiki na wabinafsi kifupi Akili yao inawaza dunia zaidi..
Ukisoma historia utaona inatajwa miji iliyoendelea zama hizo na wafanyabiashara zama hizo kutoka ukanda wa Pwani kuanzia Kilwa, Tanga, Bagamoyo na Dar es salaam, unazungumzia karne nyingi mbele kabla hata ya ukoloni...
Mimi nahoji wewe huwezi kuhoji hata kidogo ukianza kuhoji utaambiwa unakufuru kesho nenda kahoji kanisani au msikitini kwenu kuwa mungu wako ndio ana makosa alikubali kuumba maovu na mabaya hivyo akisema hawapeleke watu motoni huyo mungu wenu atakuwa hana uadilifu anaumba maovu halafu anataka watu wawe wema kweli huyu mungu anaakili?Sasa na wewe unatofauti gani na mimi..mana hata unayoyasimamia ni hayohayo ambayo huwezi kuhoji..laa ufungiwe mabomu ukajiripue.
#MaendeleoHayanaChama
Angalau tumetetewa maana mimi ni MsagaraTunapenda kuwapa sifa mbaya jamii/kabila/mtu asiyekuhusu au kuwa na ukaribu nawe.Ni namna ya kujifariji au kujitengenezea hali ya kujiona sisi au mimi ni bora kuliko yule au wale.
Siamini katika "kudemonize" jamii nzima..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Mpaka kilosaWe ulidhani chief mangongo wa msovero kabila gani?yaani mikumi yote ile wamejaa wenyewe wakija mjini sijui wanajiitaje
JK ni wa wapi?Makabira yote ya Tanzania watu wake wana roho mbaya na ubinafsi.... ukiacha watu wa Pwani hasa Wazaramo, Wakwere, Wadoe, Wandengereko, Wadigo na Wamakonde...
Ni watu wa Pwani tu pekee katika nchi hii ndio hawana roho mbaya na ubinafsi...
Kumbe pale Ruaha Mbuyuni ni Kwa wasagara sikulifahamu Hilo na pale Mikumi wenyeji kabila Gani?Hawa ndugu zetu wanaparikana wilaya za kilosa,morogoro na kilolo ,iringa.
Hawa ndio wale Carl Peters aliingia mkataba na chief wao jamaa fulani hivi mjanja ila alikuwa hajui kusoma,Chief Mangungo.
Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.
Ukikodi shamba watakukodisha shamba lisilo na rutuba ili mradi tu usivune.
Ukinunua miche au mbegu kwao watakuuzia ile hafifu ili i usivune.
Kulisha sumu mifugo ya wenzao ni kawaida sana.
Ruaha mbuyuni ni kata ila imekuwa na kituo cha polisi tangu enzi za mkoloni chenye hadhi ya wilaya kutokana na matukio ya wasagara
Kuuna na kutupana vichakani au kurogana ni kawaida sana hawa jamaa.
Kwanza huwezi kujua kama wanaexist kwenye miji mingine
Nilishangaa Mwanza na Tanga kuna sehemu zinaitwa Usagara
Badilikeni washkaji
Yani minyege yako mwenyewe ya kutongoza tongoza ovyo na uzembe wa kutovaa mpira halafu unataka kulaumu watu wengine.Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.
Imekuwaje wakawa wengi kila sekta ya serikali??Wasagara sio wengi kwenye ofisi za umma hivyo impact Yao huwezi kuiona kirahisi Kama wapare ambao Kila sekta ya serikali wapo. Kwanza wakikaa ofisini utakuta wamenuna tu wanasubiri mtu wa ku victimize.
JK ni wa wapi?
Sasa hao wamasai kwa nini wasifike saa kumi kabisa? Kuwahi kazini ni moja ya indication kwamba mtu yuko serious... Ila nimecheka wamasai kupiga matuta [emoji23][emoji23]Shambani kwangu vibarua ni wasagara na wamasai (wakike). Ukiwambia kesho kuna kazi wasagara wanawahi saa 11 asubuhi wanagawana matuta yote, wamasai hadi wamalize kukamua wakija wanakuta matuta yote yako booked, Ugomvi wake hapo hadi mwenye shamba uje kuingilia.
Yaani mtu anakamata matuta yote wenzake wanabaki wamekaa chini hawana kazi, halafu matuta yenyewe atayamaliza jioni anaishia kukucheleweshea kazi. Anyways sijasema wanaroho mbaya. [emoji1]
Hebu tupe Hiyo ya mkalimani Ramzan alikua wa wapi?Mkalimani wa Carl Peters Bw. Ramzan aliwaweza sana hawa mabwege
Wamasai wa kule feki wanakula ugali na mlenda,pia ukijipanga we mswahili unaweza kumuoa kabisaSasa hao wamasai kwa nini wasifike saa kumi kabisa? Kuwahi kazini ni moja ya indication kwamba mtu yuko serious... Ila nimecheka wamasai kupiga matuta [emoji23][emoji23]
hiyo ya demu sio wasagara tu iko Tanzania nzima, demu ukigonga baadae ndio utasikia skendo zake. Ukishapiga tu kesho utaskia mtaani yule demu aliwahi kubakwa na darasa zima
Una uhakika?JK mkwere wa Msoga+ Bagamoyo , huoni alivyokuwa muungwana na roho safi...