Hivi kuna kabila lenye watu wenye roho mbaya kama Wasagara?

Hivi kuna kabila lenye watu wenye roho mbaya kama Wasagara?

Status
Not open for further replies.
Imekuwaje wakawa wengi kila sekta ya serikali??
Wana ukabila wa kupitiliza Kama mpare ndio mkubwa sehemu ataingiza wenzake hata wasio na sita.
Lkn pia wapare wamesoma sio Kama hao jirani zako wasagara.
 
Hebu tupe Hiyo ya mkalimani Ramzan alikua wa wapi?
Je ana undugu na yule mkalimani wa Taifa kwenye msiba wa Mwendazake?
😁😁😁😁😁🔥
Carl Peters alipokuja huku alipita Zanzibar huko kwa ujanja ujanja wake akaomba watu wa kumsindikiza toka kwa Sultan na ndiyo akapewa huyo Ramzan na wenzake 25 japo nadhani jina lake lilikuwa Ramadhan sema kwenye ule mkataba maarufu na Mangungo na Carl Peters alitambulishwa kama Ramzan. Mkataba wenyewe huu hapa chini kadri ulivyosomeka.


Mkataba wa ulaghai baina ya Karl Peters na Mangungo, ambao ndio maarufu unasomeka hivi kwa Kiingereza:
Mangungo, Sultan of Msovero in Mwenyisagara, and Dr. Karl Peters. Mangungo simultaneously for all his people and Dr. Peters for alt his present and future associates hereby concluded a treaty of Eternal Friendship.

Mangungo offers all his territory with all its civil appurtenances to Dr. Karl Peters, as the representative of the Society for German Colonization, for the exclusive and universal utilization for German colonization.

Dr. Karl Peters, in the name of the Society for German Colonization declares his willingness to take over the territory of the Sultan Mangungo with all rights for German Colonization subject to any existing suzerainty of Mwenyi Sagara.

In pursuance thereof, Sultan Mangungo hereby cedes all the territory of Msovero, belonging to him by inheritance or otherwise for all time, to Dr. Karl Peters, making over to him at the same time all his rights.

Dr. Karl Peters in the name of the Society for German Colonization undertakes to give special...attention to Msovero when colonizing Usagara.

This treaty has been communicated to the Sultan Mangungo by the interpreter Ramzan in a clear manner and has been signed by both sides, with the observation of the formalities valid in Usagara the Sultan on direct enquiry having declared that he was not in anyway dependent upon the Sultan of Zanzibar, and that he did not even know the existence of the latter.

Sgd. Dr. KARL PETERS
Sgd. MANGUNGO

This contract has been executed legally and made valid for all time before a great number of witnesses, we testify herewith:
Kwagakinga (mark);
Sultan Mangungo’s son of Golola (mark);
Sultan Mangungo’s second son of Draman (mark);
Graf Pfeil August Otto;
Mark of the intepreter Ramzan etc.
Dr. Karl Juhlke.
Msovero Usagara November 29, 1884.




Kwa tafsiri isiyo rasmi, kwa Kiswahili unasomeka hivi:
Mangungo, Sultan wa Msovero katika Mwenyisagara, na Dk. Karl Peters. Mangungo sambamba na watu wake wote na Dk. Peters kwa niaba yake na washirika wake wengine wajao kwa pamoja wanaweka mkataba wa Urafiki wa Kudumu.

Mangungo amekubali kutoa himaya yake yote pamoja na watu wake na hadhi yake kwa Dk. Karl Peters, kama mwakilishi wa Umoja wa Ukoloni wa Kijerumani (Society for German Colonization), kwa ajili ya matumizi ya moja kwa moja ya koloni la Kijerumani.

Dk. Karl Peters, kwa niaba ya jina la Umoja wa Ukoloni wa Ujermani anatangaza dhamira yake ya kuitwaa himaya yote ya Sultan Mangungo na haki zote kwa ajili ya Koloni la Ujerumani inayohusisha kila kona na amali za Mwenyi Sagara.

Katika kutekeleza hilo, Sultan Mangungo anakabidhi himaya yote ya Msovero, inayomilikiwa na yeye mwenyewe kwa urithi au kwa namna yoyote ile kwa nyakati zote, kwa Dk. Karl Peters, na wakati huo huo kumkabidhi haki zake zote.

Dk. Karl Peters kwa niaba ya Umoja wa Ukoloni wa Kijerumani anakusudia kuweka mkazo maalum kwa eneo la Msovero wakati wa kuitawala Usagara.

Mkataba huu umewasilishwa kwa Sultan Mangungo na mkalimani Ramzan katika dhana ya wazi kabisa na umesainiwa na pande zote, kwa kuzingatia taratibu zilizopo katika Usagara, Sultan baada ya kuhojiwa moja kwa moja alikiri kwamba hakuwa na ushirika ama kutegemea kwa namna yoyote Sultan wa Zanzibar, na kwamba hakuwa hata akimfahamu.

Imesainiwa. Dk. KARL PETERS
Imesainiwa. MANGUNGO

Mkataba huu umefanyika kihalali kabisa na umehuishwa kwa nyakati zote mbele za mashahidi wengi, ambao tunakiri hapa:
Kwagakinga (dole gumba);
Golola mtoto wa Sultan Mangungo (dole gumba);
Draman mtoto wa pili wa Sultan Mangungo (dole gumba);
Graf Pfeil August Otto.
Dole gumba la mkalimani Ramzan etc.
Dk. Karl Juhlke.
Msovero Usagara Novemba 29, 1884.

Soma hii thread huu mkataba umejadiliwa sana humu.

 
Uungwana wao na ustaarabu wao ndio umewafikisha hapo, issue wala sio uvivu.... wangekuwa na roho mbaya na ubinafsi leo hii usingewadharau hivyo unavyowadharau, wangemiliki kila unachokijua wewe Tanzania hapa maana ndio watu walioanza kustaarabika Tanzania.

Uungwana wao, waliwapa watu maeneo bure Dar es salaam hapo, waliwapa watu mashamba bure Dar es salaam hapo, walikaribisha watu na kuishi nao kwa upendo Dar es salaam hapo na kuwa kama Ndugu... Hata Mzee wetu Baba wa Taifa Nyerere alikaribishwa na kukilimiwa na wazee wa Pwani hapo..

Nitajie mkoa tofauti na ya Pwani Tanzania hapa mgeni anaweza kukaribisha akapewa eneo bure na kuishi vIzuri na wenyeji, Nitajie mkoa Tanzania hapa wageni wanaweza kufika na kuishi kama ndugu na wenyeji zaidi ya unafiki..

Naweza kusema Tanga hapo japo kunauchawi ila ni wakarimu nakumbuka mwaka juzi tulipata shida njiani ilikua usiku ilibid tulale pale korogwe porin nyumba zakuhesab aise ingekua sehemu nyingine nahisi tungeshaibiwa but wale wanakijiji walikuja kutusaidia walitupikia chakula na tukakaa nao hadi asubuh ile siku sisahau kwakweli,Tanga[emoji3590]
 
Naweza kusema Tanga hapo japo kunauchawi ila ni wakarimu nakumbuka mwaka juzi tulipata shida njiani ilikua usiku ilibid tulale pale korogwe porin nyumba zakuhesab aise ingekua sehemu nyingine nahisi tungeshaibiwa but wale wanakijiji walikuja kutusaidia walitupikia chakula na tukakaa nao hadi asubuh ile siku sisahau kwakweli,Tanga[emoji3590]
Mikoa ya pwani uchawi ni utamaduni ila wana hofu ya Mungu
 
Mm kwangu naona wasukuma ndio wana roho mbaya,ushawai kukaa na wasukuma kuleee mashambani yaani wale jamaa wabinafsi sanaa mm nimekaa nao na kujifunza mengi sana na kama huwelewi lugha yao wanakusema nawe upo hapo hapo, kiufupi makabila yote yana tabia fulani hivi ambazo zinakuweka mbali ww ambae sio kabila lao au sio wa eneo hilo.kiufupi hakuna kabila takatifu
Mkuu ulikaa na wasukuma wa wapi?
Maana wasukuma wanapatikana katika mikoa ya Mwanza,Geita,Shinyanga,Simiyu,Tabora na kwa sasa wameukamata mkoa wa Katavi.
Na kila mkoa wana viutamaduni vyao vidogovidogo vinavyowatofautisha na mkoa mwingine mf namna ya kuongea pengine na aina ya maisha.
Wasukuma wa Mwanza ni tofauti kabisa na wale wa Tabora japo wote ni wasukuma.
Wale wa Simiyu pia wana maneno yao ambayo ni mara chache kuyasikia Tabora na Mwanza.

Sasa ukisemea roho mbaya kwa wasukuma sijui unakuwa unazungumzia msukuma wa wapi tu,maana sisi Mwanza unaweza kwenda kwenye mji wowote ukaomba kupikiwa chakula na ukala bila shida,mashamba haya zamani wasiokuwa nayo unapewa tu kulima kwa wale wasiokuwa na mashamba ya kutosha na hamna shida kabisa,ubaguzi wa makabila mengine hakuna kabisa cha msingi jitahidi tu ujue lugha yao japo kidogo itakusaidia sana kupata unachokitaka maana wana utaratibu wa kumpuuza asiyejua wana ile hali ya kuamini kila mtu anajua tu kisukuma.
 
Mkuu ulikaa na wasukuma wa wapi?
Maana wasukuma wanapatikana katika mikoa ya Mwanza,Geita,Shinyanga,Simiyu,Tabora na kwa sasa wameukamata mkoa wa Katavi.
Na kila mkoa wana viutamaduni vyao vidogovidogo vinavyowatofautisha na mkoa mwingine mf namna ya kuongea pengine na aina ya maisha.
Wasukuma wa Mwanza ni tofauti kabisa na wale wa Tabora japo wote ni wasukuma.
Wale wa Simiyu pia wana maneno yao ambayo ni mara chache kuyasikia Tabora na Mwanza.

Sasa ukisemea roho mbaya kwa wasukuma sijui unakuwa unazungumzia msukuma wa wapi tu,maana sisi Mwanza unaweza kwenda kwenye mji wowote ukaomba kupikiwa chakula na ukala bila shida,mashamba haya zamani wasiokuwa nayo unapewa tu kulima kwa wale wasiokuwa na mashamba ya kutosha na hamna shida kabisa,ubaguzi wa makabila mengine hakuna kabisa cha msingi jitahidi tu ujue lugha yao japo kidogo itakusaidia sana kupata unachokitaka maana wana utaratibu wa kumpuuza asiyejua wana ile hali ya kuamini kila mtu anajua tu kisukuma.
Na mimi nimemshangaa huyo jamaa,wasukuma ni miongoni mwa makabila yenye watu wakarimu sana
 
Kaka njoo kanda ya ziwa, Kihere here chote kitakuisha, hao wasagara hawafui dafu.

Huku ukienda dukani kuna bei mbili, bei ya jogoli (mkajila/mgeni) na bei ya mwenyeji.
 
Tunapenda kuwapa sifa mbaya jamii/kabila/mtu asiyekuhusu au kuwa na ukaribu nawe.Ni namna ya kujifariji au kujitengenezea hali ya kujiona sisi au mimi ni bora kuliko yule au wale.
Siamini katika "kudemonize" jamii nzima..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Mkuu ukweli ni lazima usemwe, "kuna makabila yamepitiliza roho mbaya", cha ajabu wao wanaona kawaida tu kubagua wenzao, wakati wao wanakula raha wakiwa ugenini(mikoa ya wenzao).
 
Kaka njoo kanda ya ziwa, Kihere here chote kitakuisha, hao wasagara hawafui dafu.

Huku ukienda dukani kuna bei mbili, bei ya jogoli (mkajila/mgeni) na bei ya mwenyeji.
Kanda ya ziwa ipi kana bukoba swa maana kuna jamaa alifungua duka na hajui kihaya hakuuza,anakuja mtu anakwambie iwe bojo ndetela akananka,sasa utamjibuje,duka likafa
 
Aisee nipe connection na Binti masai

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Walikuwepo wazuri kinoma 😆 kienyeji kabisa. Mimi nilikuwa naenda wikiend na marafiki zangu wanaume, sometimes tulikuwa tunasafiri kama adventure tu, tukiwa kule mida ya jioni jioni hivi unashangaa wanaume wote wamepotea katika mazingira yakutatanisha wameenda kusaka mbususu za kienyeji 😄
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom