Aiseee hebu nipe ramaniWalikuwepo wazuri kinoma [emoji38] kienyeji kabisa. Mimi nilikuwa naenda wikiend na marafiki zangu wanaume, sometimes tulikuwa tunasafiri kama adventure tu, tukiwa kule mida ya jioni jioni hivi unashangaa wanaume wote wamepotea katika mazingira yakutatanisha wameenda kusaka mbususu za kienyeji [emoji1]
Ni kweli ni wachapa kazi sana, wanaume kwa wanawake.Hao ni wachapa kazi, kama wanakuja saa 11 na wengine wanakuja saa 2 Bora wanaowahi wapate hiyo kazi
Wasagara kumbe wachapa kazi, Safi Sana.
Sijui kwa sehemu zingine lakini kule kwangu maboma yao mengi unakuwa wanawake na watoto labda na vijana wadogo tu wanaume wakubwa sijui hata wameendaga wapi (may be wameondokaga na mifugo/kuhama hama) Sasa wale wamama walobaki namna pekee ya kupata pesa ni kupiga kazi mashambani.Sasa hao wamasai kwa nini wasifike saa kumi kabisa? Kuwahi kazini ni moja ya indication kwamba mtu yuko serious... Ila nimecheka wamasai kupiga matuta [emoji23][emoji23]
Ushawahi kutana na warangi wewe?...jamaa wana roho za hovyo sanaHawa ndugu zetu wanaparikana wilaya za Kilosa,Morogoro naKilolo ,Iringa.
Hawa ndio wale Carl Peters aliingia mkataba na chief wao jamaa fulani hivi mjanja ila alikuwa hajui kusoma,Chief Mangungo.
Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.
Ukikodi shamba watakukodisha shamba lisilo na rutuba ili mradi tu usivune.
Ukinunua miche au mbegu kwao watakuuzia ile hafifu ili i usivune.
Kulisha sumu mifugo ya wenzao ni kawaida sana.
Ruaha mbuyuni ni kata ila imekuwa na kituo cha polisi tangu enzi za mkoloni chenye hadhi ya wilaya kutokana na matukio ya wasagara.
Kuuna na kutupana vichakani au kurogana ni kawaida sana hawa jamaa.
Kwanza huwezi kujua kama wanaexist kwenye miji mingine
Nilishangaa Mwanza na Tanga kuna sehemu zinaitwa Usagara
Badilikeni washkaji
Ulikuwa msosa,kware,mtandika,malolo au kinusiWalikuwepo wazuri kinoma 😆 kienyeji kabisa. Mimi nilikuwa naenda wikiend na marafiki zangu wanaume, sometimes tulikuwa tunasafiri kama adventure tu, tukiwa kule mida ya jioni jioni hivi unashangaa wanaume wote wamepotea katika mazingira yakutatanisha wameenda kusaka mbususu za kienyeji 😄
Unajua magufuli alifanya watu wadhani wasukuma wako vile,ila yule jamaaMkuu ulikaa na wasukuma wa wapi?
Maana wasukuma wanapatikana katika mikoa ya Mwanza,Geita,Shinyanga,Simiyu,Tabora na kwa sasa wameukamata mkoa wa Katavi.
Na kila mkoa wana viutamaduni vyao vidogovidogo vinavyowatofautisha na mkoa mwingine mf namna ya kuongea pengine na aina ya maisha.
Wasukuma wa Mwanza ni tofauti kabisa na wale wa Tabora japo wote ni wasukuma.
Wale wa Simiyu pia wana maneno yao ambayo ni mara chache kuyasikia Tabora na Mwanza.
Sasa ukisemea roho mbaya kwa wasukuma sijui unakuwa unazungumzia msukuma wa wapi tu,maana sisi Mwanza unaweza kwenda kwenye mji wowote ukaomba kupikiwa chakula na ukala bila shida,mashamba haya zamani wasiokuwa nayo unapewa tu kulima kwa wale wasiokuwa na mashamba ya kutosha na hamna shida kabisa,ubaguzi wa makabila mengine hakuna kabisa cha msingi jitahidi tu ujue lugha yao japo kidogo itakusaidia sana kupata unachokitaka maana wana utaratibu wa kumpuuza asiyejua wana ile hali ya kuamini kila mtu anajua tu kisukuma.
Hao wasagara tunawasoma ktk vitabu tu. Ila mkoa wa morogoro hauna sifa ya watu wenye roho mbaya labda midomo tu waluguru na wapogoro wengine wapole sana tuHawa ndugu zetu wanaparikana wilaya za Kilosa,Morogoro naKilolo ,Iringa.
Hawa ndio wale Carl Peters aliingia mkataba na chief wao jamaa fulani hivi mjanja ila alikuwa hajui kusoma,Chief Mangungo.
Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.
Ukikodi shamba watakukodisha shamba lisilo na rutuba ili mradi tu usivune.
Ukinunua miche au mbegu kwao watakuuzia ile hafifu ili i usivune.
Kulisha sumu mifugo ya wenzao ni kawaida sana.
Ruaha mbuyuni ni kata ila imekuwa na kituo cha polisi tangu enzi za mkoloni chenye hadhi ya wilaya kutokana na matukio ya wasagara.
Kuuna na kutupana vichakani au kurogana ni kawaida sana hawa jamaa.
Kwanza huwezi kujua kama wanaexist kwenye miji mingine
Nilishangaa Mwanza na Tanga kuna sehemu zinaitwa Usagara
Badilikeni washkaji
Kweli unawajua,kilosa kweli ya ling time ila mambo yaoChifu Mangungo of Msovero. Msowero huko!
Hapo huwa naamini ndiyo kwenye chimbuko la utapeli. Hapo utakuta babu bibi watoto wajukuu wote matapeli wa ardhi! Kijiji kizima wanashirikiana kukuua, wanaweza kumkodisha mtu shamba la mpunga hata mahindi kiangazi kukavu, msimu wa mvua bwawa la kambale, hapalimiki!
Wageni wakifika huko mawili wapigwe au wakiwa wajanja wanachomoka.
Huko ni kawaida Sana wazee kukusakizia binti yao, mradi uwe kibarua Mgunda!
Kwa uchawiii wamesimama! Unalima wewe, bukula wanavuna wao!
Hizo wilaya za zamani lakini kamwe haziwezi kuendelea
Unadhani wasagara nistory tu za kwenye vitabu vya history,wapo wanaexist wapole ndio hawana midomo ila mambo yao hatariHao wasagara tunawasoma ktk vitabu tu. Ila mkoa wa morogoro hauna sifa ya watu wenye roho mbaya labda midomo tu waluguru na wapogoro wengine wapole sana tu
Cc: former DIPIPIUnawajua wa Kara wa kule kijijini Ukerewe?
Wana roho mbaya sana halafu wanamiliki 'nyenzo za kazi' hata kule Mwandika kwa Mwami wanasubiri
1. WasagaraHawa ndugu zetu wanaparikana wilaya za Kilosa,Morogoro naKilolo ,Iringa.
Hawa ndio wale Carl Peters aliingia mkataba na chief wao jamaa fulani hivi mjanja ila alikuwa hajui kusoma,Chief Mangungo.
Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.
Ukikodi shamba watakukodisha shamba lisilo na rutuba ili mradi tu usivune.
Ukinunua miche au mbegu kwao watakuuzia ile hafifu ili i usivune.
Kulisha sumu mifugo ya wenzao ni kawaida sana.
Ruaha mbuyuni ni kata ila imekuwa na kituo cha polisi tangu enzi za mkoloni chenye hadhi ya wilaya kutokana na matukio ya wasagara.
Kuuna na kutupana vichakani au kurogana ni kawaida sana hawa jamaa.
Kwanza huwezi kujua kama wanaexist kwenye miji mingine
Nilishangaa Mwanza na Tanga kuna sehemu zinaitwa Usagara
Badilikeni washkaji
Sio msovero ni msowero ni kijiji kipo hapo katikati ukitoka dumira unaelekea kilosa.Msovero ni wapi exactly? Iko wapi hiyo sehemu?
Hawa si ndio wanaitwa WAVIDUNDA?Hawa ndugu zetu wanaparikana wilaya za Kilosa,Morogoro naKilolo ,Iringa.
Hawa ndio wale Carl Peters aliingia mkataba na chief wao jamaa fulani hivi mjanja ila alikuwa hajui kusoma,Chief Mangungo.
Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.
Ukikodi shamba watakukodisha shamba lisilo na rutuba ili mradi tu usivune.
Ukinunua miche au mbegu kwao watakuuzia ile hafifu ili i usivune.
Kulisha sumu mifugo ya wenzao ni kawaida sana.
Ruaha mbuyuni ni kata ila imekuwa na kituo cha polisi tangu enzi za mkoloni chenye hadhi ya wilaya kutokana na matukio ya wasagara.
Kuuna na kutupana vichakani au kurogana ni kawaida sana hawa jamaa.
Kwanza huwezi kujua kama wanaexist kwenye miji mingine
Nilishangaa Mwanza na Tanga kuna sehemu zinaitwa Usagara
Badilikeni washkaji
Kware mkuu.Ulikuwa msosa,kware,mtandika,malolo au kinusi